Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Wadau... Naomba kufahamishwa aina za ajira ambazo mhitimu wa shada ya Social Work aweza zifanya katika sekta tofauti na serikalini... Serikali inajua ila yafumbia macho umuhimu wa wataalam hawa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunatafuta assistant lab technician mmoja aliyefuzu nakupata cheti halali, atafanya kazi kwenye dispensary iliyopo maeneo ya tandika. Call 0714 033 128.
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Nimekuta mtu kamnukuu mwanamakala kutoka Michuzi Blog akiwa ameipa kichwa cha habari watanzania wasomi ndio tatizo la nchi yetu.na kutoa sababu ni 1. Tunalalamika sana 2. Tunapenda kuajiriwa "...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
leo nimekutana na rafiki yangu mmoja,anasema yeye ameshapangiwa na mkoa wa kufanyia kazi!kwani walimpangia sehemu ambayo hataki!hivyo wamembadilishia,kwani yeye aliitwa tu kwani ana god...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi Pathfinder International walishaajiri ile nafasi ya Budget & Forecasting Officer??mwenye kujua anijuze...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wandugu, Niliangalia yale matangazo ya EAC yaliyoletwa hapa na nimeona kazi moja ambayo ningelipenda mno kupeleka maombi yangu. Tatizo ni kuwa tangazo linasema maombi yapelekwe kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Communication Engineer in Eastern Africa Job summary Job title: Communication Engineer Company: Danimex Communication Ltd. Location: The assignment will cover 11 Eastern Africa Countries...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MIMI NAITWA ALLY NIMEMALIZA MASOMO YANGU YA PHARMACEUTICAL ASSISTANT MWAKA 2011 KWAHIYO NATAFUTA KAZI YA MTOA DAWA MSAIDIZI KWENYE PHARMACY AU HOSPITALINI my contact:0763424125 au 0652492848...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaam wadau!! Tafadhali, kama kuna member yeyote humu jamvini ambae ni staff wa Standard Chartered Bank au anamfahamu staff wa hiyo benki, please; let me know!
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kazi kwenyuuuuuu..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wakuu kuna jamaa yangu kasoma hiyo kitu, analalamika kwamba hajawahi ona nafasi za kazi zenye kutaka qualification zake, je hizo kazi zipo au ndo alishaingia cha kike?
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Wadau salam zenyu bana!!!!!!!! Hivi jaman zile nafas za kazi kibao ambazo zilitangazwa na Hiki chuo arusha watu washaanza mzigo nini? naombeni mwenye kujua anijuze nawakilisha
0 Reactions
19 Replies
3K Views
wakuu kwa muda sasa nasikia kuhusu sensa ya 2012, vipi wameshaajiri watu? Vipi maslahi yao huwa yanakuwaje?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Swala/Swali ni hili; Hivi posho( allowances) huwa zinakatwa kodi?? Je huwa zinajumuishwa kwenye mshahara then kupata gross salary ambayo inakatwa kodi...kwa maana hiyo na posho zimekatwa kodi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau. Nimegraduate 2 010 as a mass communicator n pr. Experience ya mwaka 1 na nusu ivi kazini. Sex male, 25yrs. Contact mi 0652590519. Thank yo u in advans..
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NAFASI ZA KAZI ZA WAKALA MAUZO “SALES AGENTS” “Kongwa Beef” ni Nyama yenye Ubora wa Kimataifa inayozalishwa na NARCO, Kampuni ya Ranchi za Taifa Limited ambayo hivi sasa inafanya maboresho ya...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na EA.7/96/01/B/09 22 Februari, 2012 TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Sekretariati ya Ajira katika...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
We are looking for a qualified assistant lab technician... Those interested contact us 0714 033 128.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF kuna ndugu yangu amemaliza kozi ya PR, Mass Communication, and Journalism, anaomba msaada wa kazi ya PR. ansa experience ya miaka miwili kwenye fani husika he could be reached through...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana JF. Natafuta employment agencies hapa Tanzania. Nataka kutuma CV yangu. Msaada wenu unahitajika
0 Reactions
31 Replies
18K Views
Back
Top Bottom