Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

nimepita ofisi ofisi nyingi sana lakini masekretari (reception)pale getin ni balaa dharau tupu,haswa dada mmojo mweupe ,mtotot lakini dharau tupu.Unaweza kuuliza swali tu la jibu dogo asikujibu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nyie walimu mna nini? Kila siku mlikuwa mkililia hizo post...mmezipata mnaanza tena kuleta makuu...mara kule bush sana siendi, bora nibaki skan....wengine wamekazana na kubadilishana..kafanyeni...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu mie ni mwajiliwa wa kampuni ya madini hapa bongo , na mshahara wangu kwa mwezi ni laki 7.3,nina miaka miwili nikiwa kazini, nini diploma ya Environmental Engineering nina first class ya GPA...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Urgently looking for Service Sales Specialist for a well reputed IT Company in Cairo ,Egypt The Ideal candidate must fulfill the following criteria s : Preferably B.Sc. in Electronic and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nackia zimetoka tujuzane wana jf kama ni kweli
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Raia wema, Tafadhali tusaidiane kupeana nws za watu waliokuwa shortlisted maana wengine tunategemea zaidi mtandao huu kuliko magazeti kutokana na mazingira tuliyopo, upatikananji wa gazeti ni...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jaman ndugu zangu,me ndo namalizia kadegree kangu ka biashara hapa mwaka huu.naomben mniambie market ya hii kitu ikoje huko sokoni.over
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Hello!wana jf habari?Hii jumuia ya kuhudumia watu wenye ulemavu wa ngozi walitangaza nafasi za kazi nami ni mmoja wa walioomba nafasi hizo ambazo deadline ilikuwa tar 10 january,sasa naona kimya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wandugu mimi ni mwl nimepangwa kazi shinyanga mjini.Ninaomba nijulishwe mazingira ya huko eg hali ya hewa, huduma za jamii,na maisha kwa ujumla.
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Nina mdogo wangu alifanya usaili mwezi wa kumi na mbili, vipi kuna mwenye tetesi zozote za kuita watu kazini.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Dear ColleaguesThe Board of Zanzibar School of Health invites applications for thefulltime/ part time.Post ofTutor/Lecturer to train cadres of 2 years Couseling PsychologyDIPLOMA. Minimum...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TRUST GOD HEALTH SERVICES(TGHS), a Dispensary located at Bulyanhulu Gold Mine Site, is currently and urgently looking to fill its 2 Posts: A CLINICAL OFFICER and A NURSE MIDWIFE. Interested and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hi
am comming! there are so ver hot issue, i will soon let u informed
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hawa maagent nawasikia sana ila sina idea nao sana hebu nifafanulieni kidogo maana nasikia wanaweza kukusaidia kupata kazi ila utawalipa je nikweli habari hizo nijuzeni jamani
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanabodi heshima mbele, Sanjari na zoezi zima la kutafuta ajira ni muhimu pia kwa sisi watafuta ajira kuwa na taarifa sahihi kuhusu kipato-tegemewa kuhusiana na ajira tunazoziomba. Kwa minajili...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
NDUGU WANA JF POLENI NA MISHEMISHE, NAOMBA MWENYE INFORMATION YA MAHALI NINAPOWEZA PATA KUFUNDISHA MATHEMATICS, NINA B.A. IN ECONDOMICS AND STATISTICS, LAKINI NAPENDA KUW ATEACHER, EMAIL YANGU...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau salamu anahitajika haraka mtaalamu wa programming anayeweza kuunganisha database yenye wafanyakazi 1000 wanaotambulika kwa unique namba kila mmoja, kwa lengo la kuwatumia sms kila mwezi, sms...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Parliamentary Reform & Transitional Expert at UN Development Programme in Kenya 31-01-2012 Consultant for Baseline Study for the DFID Funded AES Programme at Save the Children UK in South Sudan...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
wana jf nani ana cv ya boss huyu alianza lini kusoma mpaka alipo sasa naomba msaada
0 Reactions
21 Replies
18K Views
Excuse me mdau!! Mimi in fresh teacher sasa, sijui hawa jamaa (Halimashauri husika) wanatakiwa watoe pesa kiasi gani kwa ajili ya mwajiliwa mpya kujikimu. maana nimeuliza kwa baathi naombiwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…