Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

JOB ADVERT The mission of OMASI (Orkonerei Social Maasai Initiative) is to reduce poverty among the Maasai by setting up commercial businesses that will eventually become self-managing and...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana jf,inasikitisha sana serikali inapotangaza nafasi za ajira halafu wanaweka experience ya miaka 3 hivi sisi graduate hiyo experience tutaitoa wapi?mfano nafasi za TANAPA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mie natafuta nafasi ya kazi as a driller and blaster,or mineral processor and planting,kama kuna yeyote anaeweza kunisaidia nitashukuru wajameni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
Mtu anayehitaji kazi ya Office administrator elimu kuanzia diploma na kuendelea na mwenye uzoefu wa mwaka mmoja na kuendelea,atume cv yake kwenye email ifuatayo:jobatjobs@gmail.com. good lucky.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wana JF , tunaweza kusoma daily news la leo kuna nafasi za kazi mbalimbali, pia nkuna scholarship kwa ajili ya masters na PhD nchini China.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mnakumbuka changa la macho la november sasa lingine hilo linakuja vuuuu!
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wana jf me nimepangiwa na ministry of education DSM halmashauri ya kinondoni wazee nipeni bac direction ya kufika hapo maana dar me mgeni japo c saana. Thanks!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Bot
napenda kuuliza hawa bot kama waliishaita wa2 kwenye interviews
0 Reactions
4 Replies
3K Views
I'm coming home
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za jioni wadau. Kama kichwa cha bandiko kinavyojieleza hapo juu, tunatafuta nafasi tupu ya kazi (preferably in Arusha) kwa ajili ya mdogo wetu aliyemaliza Kozi yake ya Diploma ya Uhazili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu!! natumai mpo safi mkienedelea na majukumu ya kila siku.mimi ni mtanzania mwenzenu ambaye nimekuw a nikitafuta kazi ya radio presenter katika kituo chochote Tanzania.sina cheti...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wana JF hivi kipi ni bora zaidi kufanya kazi kwenye kampuni ndogo(Isiyojulikana) inayolipa vizuri au kufanya kazi kwenye kampuni kubwa(inayojulikana) inayolipa vibaya?Kuna jamaa yangu mmoja...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
wana jamvi naombeni msaada kwa hili jambo maana am i n confusion hivi hizi nafasi za kazi ambazo wanatoa instruction "if interested please send your cv to the email link above" ina maanisha una...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wanahitajika graduates in any discipline...kazi inahusu kufanya survey na kukusanya data..wawe available full time pia wawe wanaishi babati..ni kazi ya 2-3 weeks...pm me your name and number
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wana jf habarini za kazi, ninaomba msaada wenu, kuna advert ya kazi nimeisoma, hao wenye kazi ni NGO wanatafuta mhasibu ila pamoja na application letter, cv, vyeti wanataka COVERING LETTER ueleze...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
This unpaid internship is a great opportunity for someone wishing to combine travel to Zanzibar with gaining editorial and online work experience. Mambo is an online travel magazine for the...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wadau, Anahitajika kwa Haraka msichana wa kufanya kazi Stationery na Internet Cafe Masharti: Awe anakaa Arusha (mkazi wa Sakina au jirani na maeneo ya Sakina coz ofisi ipo Sakina) Awe...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom