Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Haya wadau jaribuni za UN. watanzania bado ni wachache sana kwenye UN and few Tanzanians who work for the UN have good reputation. Mara nyingine huwa some UN organizations zinatoa priorities kwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
habari zenu jamani, pls aliye na contact za naibu waziri wa kazi makongoro mahanga ani PM, NASIKIA YUPO ARUSHA NAMI NIPO ARUSHA LAKINI KWENYE HII KAMPUNI NINAYOFANYA INTERNSHIP KUNA UBAGUZI WA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu qwenzangu wa Jamvini, naomba wale wote waliowahi pata kazi kupitia kuziona humu Jamvini wadhibitishe kwa maneno yao na ni wapi huko ili watu tusiwe tunasumbuka kusambaza CV zetu bila mafanikio.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Usaili utafanyika mwezi september kwa mujibu wa tarifa za ndani za wasemaji wa majeshi hayo. Tarifa hzo za kiinteligencia zinasema wameshindwa kufanya usaili mapema mwezi wa kwanza na pili...
0 Reactions
30 Replies
10K Views
Research assistant, Today and Forever FINANCIAL MANAGER Today and Forever
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Gedius Rwiza SERIKALI inatarajia kutoa tamko kuhusu ajira za walimu 25,015 waliohitimu mafunzo ya ngazi mbalimbali katika vyuo vya ualimu nchini wiki ijayo. Kati ya hao, walimu wa sekondari...
1 Reactions
25 Replies
7K Views
Wadau wa forum,naomba kujuzwa kama kuna mwenye taarifa juu ya shirika la T-MARC walitoa nafasi za kazi za muda mfupi wa miezi 3,naomba kufahamishwa kuwa wamefikia wapi ktk mchakato wao.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
A.aleikum wana JF, Then nitoe salam zangu za pole kwa kuondokewa na mpendwa wetu MP REGIA(R.I.P) Nataka kuuliza hivi intake ya uhamiaji wanachukua lini? Na je kwa mtu mwenye degree eti...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu naomba mnielekeze ilipo civil aviation training centre terminal one. Je nashukia kituo gani nikiwa naenda? Nimeitwa kwa aptitude test. Barua nilichukua pale banana aviation centre lakini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wabongo bwana wamezidi kuchakachua, kutokana na watumiaji wa mawasiliano kwa njia ya mtandao kuongezeka, na matumiaji wengi ni wasomi hasa wale waliomaliza vyuo na wanatafuta kazi, sasa imekuwa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Heshima sana wakuu! Majina ya walioitwa kwenye usaili sekretarieti ya ajira gonga link hiyo hapo www.pmoralg.go.tz, www.utumishi.go.tz
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Kuna rafiki yangu aliacha kazi serikalini tangu mwezi wa 5 huko kigoma ni clinical officer afya sasa akaja dar kufanya kazi kule wakafunga mshahara ila kafanya application upya na kapata mbeya je...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello wadau wa JF..! Bila kutarajia kama inawezekana leo nimepigiwa simu toka secretarieti ya ajira kuwa nimeitwa kwenye usaili wiki ijayoi. Kwa mwenye uzoefu na jamaa hawa au usaili kwa ujumla...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Mi naitwa Erick natafuta kazi nimesomea diploma in computing and information technology na ndo nimemaliza mwaka jana mwishon,nilibatika kupata experiance kwenye sehemu kadhaa.nimeambatanisha CV...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tafadhali guyz natafuta nafasi ya kujitolea katika fani ya information technology ili kukuza kipaji katika fani, level yangu ya fani ni diploma . Tafadhali kama yeyote atakuwa tayari tuwasiliane...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani pipo wana jf...ninawa penda sana coz its thru u guys nimepata kazi ninayoifanya ila sasa nahitaji msaada wenu kwa ajili ya kazi nyingine.I can do news casting/ anchoring...na i prefer on...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wakubwa vipi? nssf hawajaita bado?
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Haya jamani, nafasi hiyo!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Samahani wana jf, hivi watu waliofanya oral interview UDOM wameshaitwa kazini? Hasa madereva na watu wa idara ya afya?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nilipata kuwepo katika ofisi moja ya serikali katika maongezi ya apa na pale mtu mmoja akuliza swali TANZANIA INAJENGWA NA NANI? baada ya kuuliza kila mmoja alikuwa akisema yake wengine walisema...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom