Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

The heading above refers,plse send your cv and copies of your certificates through by PM the undersigned!
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Natafuta kazi ya accountant. Am a graduate of Bachelor of Business Administration Accounting 2011. Computer literacy (Ms word and excel).......... JF members I need your assistance please...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wadau naomba kuuliza hivi hawa jamaa wa mgodini hua wako serious?...maana mwaka jana walitoa nafasi za kutrain watu chaajabu waliita watu kwenye interview ila hawakuchukua hata mtu mmoja...
0 Reactions
25 Replies
14K Views
mh utata m2pu no uvumi wala nn
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu banduguz,i hope mmejiandaa vyema kufunga na kuanza mwaka. naomba kuuliza kama kuna mtu yoyote anamfahamu dada mmoja ambaye anadeal na kutafutia watu kazi kwa malipo. nasikia anaishi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni graduate wa sociology ila napenda sana jeshi,kwa anaejua intake zao zinakuwaje naomba anijuze wakuu.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ladies n gentlemen, kuna yeyote ana idea hawa Alliance one wanalipa kiasi gani kwa post design hii. Nimefanya written interview naskilia ingine. axanten
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Wadau nimesikia NMB wametangaza kazi ktk gazeti la the guardiani la leo (27/12/2011), km kuna ambae amelipata gazeti hilo atupe taarifa, nasikia magraduate ndo wanatakiwa
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Jamani wizara ya afya bado hawajatoa majina ya kupangwa vituo vya kazi au wamewatosa walioomba mwenye taarifa zozote mdogo wangu hoi anashindwa kuamua afanye lipi sasa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Harini wana jf,jamani kuna uvumi umsikika kuwa matokeo ya NBAA yametoka,je ni kweli?:embarassed2:
0 Reactions
19 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Am a graduate Bachelor of Business Administration in accounting.... Computer literacy (MS word & MS excel). Contact me : yusto_john@yahoo.com:hat::A S 465:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
serikali imesema itawapa viwanja bure wale walioathirika na mafuriko ,sasa watakaopewa viwanja ni wapangaji au ni wenye zile nyumba
0 Reactions
4 Replies
1K Views
http://www.mzumbe.ac.tz/documents/Vacancies%20-%20november,%202011.pdf Kila la heri jamani
0 Reactions
0 Replies
3K Views
heshima yenu wapendwa! Wapendwa nna mdogo wangu anachukua diploma ya enterprise management&accounts,anatafuta sehemu ya kufanya mafunzo kwa vitendo(field),naomba msaada wa sehemu anaweza omba...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi jana nimesoma post hapa kuwa nchi yetu inakalibia kufikia kiasi cha kutokopesheka kutokana na inavyokomba pesa kwenye taasisi za fedha! Maskini Mkwele! Napenda kuuliza hapa kwetu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Me ni graduate wa SUA nina Bachelor ya Agribusines and agrieconomics,.plz am seriously seekin job ,.if u hear one inform me.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mamboz wana blogg!! Jamani mie nimetafuta kazi hadi hamu inaisha...mimi nina advanced dip ya i.t ila natafuta kazi kwenye mashirika au n.g.o's.Juzi juzi tu nimeomba egpaf na nilikuwa nafuatilia...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Napenda kuwasalimu wote mliopo kwenye jamiiforum kwani ni mara yangu ya kwanza kupost topic. Kuna jambo nisilolielewa labda mnaweza kunisaidia. Nimekuwa nikitafuta kazi kwa muda sasa japo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama ilivyo kwisha tangazwa kuwa ajira zimepungunzwa 50%,watumishi watakaoajiliwa ni kama ifuatavyo:Polisi(1,351),Magereza(485),Wizara ya Elimu(417),Kilimo(294),Jamii,Jansia na...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
JOB PURPOSE Reporting to a Principal Engineer/Senior Engineer, you will be responsible for assisting in planning and administering all operations in regard to network extensions, maintenance...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom