Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Nimejaribu kufuatilia kwa makini sana na nimegundua ajira nyingi katika taasisi zetu za serikali huchukua zaidi ya miezi 2 mpaka watu waitwe katika interview au kazi.Tatizo huwa nini hasa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari... samahani jaman naomba kuelekezwa zilipo ofisi za uhamiaji
0 Reactions
6 Replies
10K Views
vipi wana jf, hivi hii recruitment agency erolink ni ya ukwee kwa kusaidia watu kupata kazi au maana ma rafiki wangu wengi wanaifagilia sana na nimewahi kutuma cv yangu bila mafanikio au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna mtu anahitaji kijana awa kuuza duka/stationary mwenye sifa zifuatazo:- -AWE MWAMINIFU -awe wa kiume, natayari kufanya kazi mpaka saa 3 usiku. -awe anaishi maeneo ya mwenge-dsm, au jilani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habar zenu natafuta kazi nimesomea Mircosoft office na Tally je ntapata kazi?
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Niliapply kazi SSRA wakaniita kwenye interview ya kwanza,tukafanya mtihani kwenye mwezi wa 11 hivi na mpaka sasa kimya.inakuaje hii.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nafasi za kujiunga na jeshi la wananchi kwa apa kwetu tanzania zinatangazwa lini? naomba kufahamishwa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani mimi ni mteknolojia msaidizi maabara Laboratory Assistan natafuta kazi hiyo mkoa wa Dar Moro pia (Arusha au Moshi) nawasilisha kwenu wanajamvi penye jungu kuu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani mwenye taarifa atujuze kuhusu bodi ya mikopo washaita watu kwa ajili ya inetrview au wanaita lini kwa anayejua naomba kuwasilisha
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Heshima zenu Jf na wapenzi wa jukwaa letu la kujitafitia ajira. Kuna kazi nimeona imetangazwa yenye ngazi ya mshahara PUSS 13-14 sasa wadau naombeni mnijuze hiyo ni kama shs ngapi za TZ. hiii...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau habari zenu, nasikia daily news ya tarehe 24.12.2011 ina tangazo la kazi za serikali, tafadhali aliyeziona naomba ani update. na pia eti mtu usipokuwa na transcript huwezi pata kazi serikalini
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuna mkoa mmoja nimeenda nikakuta kuna watu wanafundisha watu wanaotafuta CPA lakini hao walimu wenyewe hawana CPA, inakubalika hii? Au kama mtu amesoma finance anaijua vyema anaweza kufundisha...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
wadau mwenye tetesi atujuze kuhusu interview ya nafasi zilizobaki.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama unaomba kazi mahali nakushauri usiweke namba yako ya Tigo kwenye barua yako au CV kama namba ya mawasiliano utakosa kazi. Nimeshuhudia live jamaa watano wanasema hawakupigiwa simu kutaarifiwa...
9 Reactions
60 Replies
7K Views
Aisee leo ni siku ya 41 tangu tufanye Interview pale NHIF katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu!! Mtu yeyote mwenye jipya au tetesi zozote maana zile nafasi zimetangazwa kuwa ni TEMPORARY...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna dada angu anatafuta kazi yupo tayari kufanya kazi sehemu yeyote ile iwe kijijini au mjini.amepata DIPLOMA yake CHUO CHA USTAWI WA JAMII kilichopo LUNGEMBA(iringa.mafinga)na GPA yake ni nzuri...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
is it true that public sectors prefer application letters that are handwritten rather than typed ones?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
jamani naomba kuuliza nataka nikasome sheria najua soko lake gumu lakini vitu gani vya ziada ambavyo vinaweza kunisaidia kupata ajira haraka(kufikiriwa pale nitakapoomba kazi),mfano nilisikia watu...
0 Reactions
53 Replies
17K Views
Nimesikia fununu kuwa serikali imerejesha mfumo wa kuajiri walimu kwa kupitia wakurugenzi wa halmashauri; na hivyo wahitimu wa ualimu wa mwaka huu 2011 watatakiwa kutuma maombi ya ajira kwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
AFRICAN BARRICK GOLD Position1: Criminal Investigation Analyst Education/Qualification: Experience/Qualification in the collection,management and dissemination of Intelligence Detail: Mwananchi 24...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom