Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Wana hitajika watu wawili kwa kada tajwa hapo juu. 1.Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II (Records Management Assistant II) TGS B (Nafasi 1) Sifa: Elimu kidato cha Nne au Cha Sita pamoja na...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
AIRTEL EMPLOYMENT OPPORTUNITIES Here’s your opportunity to kick - off an exciting career We are looking for suitably qualified candidates to fill the open positions in the following areas...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Natafuta kazi ya Uhasibu kwa mwaka ujao wa 2012 baada ya kuhitimu shahada yangu ya uhasibu katika shule biashara ya chuo kikuu cha Dar es salaam
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ana umri wa miaka 24,ni mzaliwa wa mtwarakwa sasa yk MOSHI MJINI, ni mchapakazi mzuri.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Hi.! there.! I am a very good and experienced marketer. I have done marketing for a very competitive industry in Dsm, then i did sales in another reputable company in dsm. I'm a degree holder...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ninaelewa computer vizuri,ninaufahamu ktk database,computer maintanance and assembling na pia naweza kufundisha phyisics and chemistry!! na pia naweza kufanya biashara yeyote ile!!wadau mwenye...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jaman wana jf nadhan mliona hii kampuni ilitangaza kazi nyng kama marketing officcer (30) na regional agent(4 ) ilikuwa sept, j3 iliyopita wakanipigia simu njoo j5 Ppf tower 4th floor nikadhani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wapendwa mwenye taarifa zozote kuhusu majibu ya interview 2lofanya maana naona kimya..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba wana jf mnisaidie nipate kazi nina bachelor ya Wildlife Science and Conservation, nafanya kazi kwenye wilaya moja lakini wapendwa hakuna shughuli twasubiri tu mshahara kila mwisho wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
UN-HABITAT.:. Vacancies | Vacancies | SENIOR HUMAN SETTLEMENTS OFFICER (URBAN LAW), P5,(Nairobi),Deadline:11 December 2011
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ndugu zangu nisaidieni mie natafuta kazi nimemaliza diploma in economic development
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Ninapenda kuwataarifu wale wote wanaohitaji msaada kwenye research papers, questionnaires na interviews kwa ngazi ya masters na Phd, help is here, tunasubmit questionnaires kwa areas of interest...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
The WWF Prince Bernhard Scholarships (PBS) provide opportunities to individuals from Africa/Madagascar, Asia/Pacific, Latin America & Caribbean, Eastern Europe & Middle East to pursue formal...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kuna mdau anakumbuka nafasi walizotoa hawa jamaa anikumbushe,coz ni muda sasa umepita na kutokana na kutuma app's sehem nyng cna kumbukumbu japo nakumbuka niliomba.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaman wana jf natafuta kazi elimu yangu ni diploma ya marketing management. Sina uwezo wa kuendelea
0 Reactions
7 Replies
2K Views
I have a Pleasure to inform you on the following positions as they falls vacate to date: Examination Officer(1 Post) Qualification:MBA-IT,Statistics,any other related Experience: 1 year Legal...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
msaada jamani naomba mnielekeze jinsi ya kufika baraza la maaskofu kurasini. mimi natokea Sanza vatikani. nipande magari ya wapi na nishuke kituo gani? maana naenda kwanye interview j3
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hawa jamaa kuna kazi walitangaza mwezi wa sita mbona kimya mpaka leo.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wana jf, nauliza kama kuna mtu mwenye info zozote za takukuru, mchakato wa kurecruit huwa wanatangaza, mwaka huu wanaanza kurecruit lini? naomba kuwasilisha.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nawasalimu wadau wote humu ndani! Napenda kuwajuza kuwa NHIF wametoa tangazo la kuita watu kwenye usaili....nawasilisha wadau.
1 Reactions
12 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…