Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Ni sifa zipi zinahitajika ili mtu aweze kuajiliwa kama mtendaji wa kijiji au kata? Elimu yangu ni graduate wa UDOM mwaka huu nina provisional result tu lakin kwa tarifa nilizonazo transcript...
2 Reactions
6 Replies
8K Views
Ni matumaini yangu kuwa afya zenu ni nzuri na mungu anaendelea kuwabariki. Mimi ni nimemaliza shahada ya biashara na uongozi, (bachelor of buriness administration). Shida yangu ni kupata nafasi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari ndugu zangu,natumai kuwa mu wazima na Mungu anawasaidia.nina mdogo wangu anatafuta kazi yoyote ya kufanya kwani ametafuta mpaka amekata tamaa. Yeye amemaliza form four na kupata division 4...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndg M TZ,Kama mpaka leo hujapata kazi hizo hapo juu na hujui kwanini nenda Quality Plaza/Pugu Road njia ya kwenda uwanja wandege, kuna supermarket /duka la UCHUMI-kutoka kenya. Wanasema wamekuja...
3 Reactions
12 Replies
19K Views
Anatafutwa mtu anayefaa kuwa secretary/office administrator ,kwa uchache awe na sifa zifuatazo; amemaliza Kidato cha sita, uzoefu si chini ya miaka miwili na awe amesomea kazi husika. MWISHO...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu mambo vipi hawa jamaa wa pspf wameshaita au bado naomba kuwasilisha mtaani pagumu ndugu zangu
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Im currently looking for 1geologist & 4geotechnical engineering to work in the mining company....call on 0713799613 more detail
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wana JF, Kuna nafasi ya kazi (Land Registration Advisor) imetangazwa na Niras Finland na kituo cha kazi kitakuwa huko Zanzibar. Mwenye kujua anuani yao tafadhali naomba aweke humu ili niweze...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
TANZANIA REVENUE AUTHORITY EMPLOYMENT OPPORTUNITIES POSITION: ASSISTANT TAX OFFICER Purpose of the Job • To conduct desk/field audits and report to Tax Auditors. • To collect Government...
0 Reactions
24 Replies
20K Views
Wadau kama kuna mtu ana info yeyote nasikia barick wametangaza nafasi ya kazi ya it
0 Reactions
5 Replies
3K Views
ofisi za public service recruitment secretariat zinapatikana wap?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naomba mnijuze viwango vipya vya mshahara kwa mwalimu mwenye shahada.Pia ongezeko ni la asilimia ngapi please!
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu nimepata admission kwa ajili ya PhD kwa chuo cha hapa ndani (Tanzania), sasa ngoma imebaki jinsi ya kupata scholarship. naomba mwenye information yeyote ya organisation inayotoa ufadhili kwa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
student who wants to earn to complete their education can go for the Parttime jobs in Delhi and balance their education and financial needs simultaneously. Lots of companies propose part time...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Wajameni kuna post zilitangazwa Tcra na mamlaka ya usimamizi wa viwanja vya ndege;kuna aliyeitwa kwa ajili ya usaili/kazi?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani wale wataalamu wa it wenye sifa, haya ndulu amerudia kazi hiyo
1 Reactions
5 Replies
2K Views
hebu wadau ntapata kazi wapi kama accountant?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
kuna mdau wetu wa jamii forum anatafuta kazi ana experience ya KUFANYA KAZI BENKI KWA MIAKA MITATU. KAMA KUNA MTU ANAWEZA KUTOWA MSAADA TUNAOMBA TUMSAIDIE.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu wana JF, Kama mtakumbuka UDOM walitangaza nafasi za kazi za u-lecturer zaidi ya 100 mwishoni mwa mwezi may, 2011. Je kuna mtu yeyote ambaye aliomba hizo kazi na amepata feedback i.e kuitwa...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Back
Top Bottom