ic naombeni mwenye details zote azipaste hapa(kama aliyepost tax officer tra)...tangazo pale zoom lipo fupi kidogo...System Operator Job in Dar Es Salaam, Dar Es Salaam, Dar Es Salaam, Tanzania...
I am graduate in Electrical engineering, looking for a job in either of the following areas contruction and procurement, Electrical Engineering, IT and Telecommunication . if any one looking for...
Hivi jamani sisi tunaomba kazi kupitia email adress CV zetu zinasomwa kweli au? Cz tangu nimeanza andika hizo email zinafika elfu moja but no any response.
Leo nimepigiwa simu kuhudhuria interview tarehe 18/7/2011 pale CHAS_UDOM.
Kwa hiyo wengine mlioomba kazi pale jaribuni kufuatilia kama mmekuwa shortlisted.
Tulichokisikia na kukiona ni muendelezo wa ujinga na umbumbu la baraza letu la mawaziri yaliyote yaliokosolewa na kurudishwakwa bajeti ya wizarani ya nishati na madini yalipita mbele ya baraza la...
samahani wadau, juzijuzi nilisikia gazeti la mwananchi/guardian yalitangaza kazi huko tabora na walitaka mwombaji awe amesoma education /sociology. ni NGO gani hiyo?
Waweza kucheki viwango na taratibu za mishahara ya hizi taasisi za kimataifa ili wa TZ tusijiumize wenyewe kwenye Interview kwa kutaja viwango vya Chini au Juu sana vya mishahara.
Asante!
Tupigie tutakufata popote ulipo.Descol Company Limited Inatoa Huiduma za Refrigirator,air condition za magari na majumbani na Industrial Plant piga simu number 0715 414161 0759271153, 0784 414161...
Amani Childrens Home, Moshi, is looking for a good Database Software Developer to help us design a high quality and user-friendly Childrens Database
Amani is a Tanzanian NGO working for...
Nina shida na kazi ya kujitolea kwenye kitengo cha audit au accounts, mi nimchapa kazi mzuri,najituma sana. Tusaidiane nije kusaidia kazi nami nipate ujuzi.nipo Dar
Hi all,
I am looking for one lady who is undertaking her first degree in accounts from a recognized university, she must know the basic of accounts and the computer ie excel, word. My contact is...
If you are not sure regarding the exact way through which you can find the right job, you can of course check out the official sites of these companies. The sites would give you information...
Wakuu,
I have one of my sister, a second year law student in on of the private university seriously looking for a tempo or intern position so if you can assist her will be of great help...
Most people love the idea of working from home, but are afraid of disappointment and scams. Unfortunately, these two things are something that cannot be avoided, however, there is a light at the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.