Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

ic naombeni mwenye details zote azipaste hapa(kama aliyepost tax officer tra)...tangazo pale zoom lipo fupi kidogo...System Operator Job in Dar Es Salaam, Dar Es Salaam, Dar Es Salaam, Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I am graduate in Electrical engineering, looking for a job in either of the following areas contruction and procurement, Electrical Engineering, IT and Telecommunication . if any one looking for...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Hivi jamani sisi tunaomba kazi kupitia email adress CV zetu zinasomwa kweli au? Cz tangu nimeanza andika hizo email zinafika elfu moja but no any response.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Leo nimepigiwa simu kuhudhuria interview tarehe 18/7/2011 pale CHAS_UDOM. Kwa hiyo wengine mlioomba kazi pale jaribuni kufuatilia kama mmekuwa shortlisted.
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Tulichokisikia na kukiona ni muendelezo wa ujinga na umbumbu la baraza letu la mawaziri yaliyote yaliokosolewa na kurudishwakwa bajeti ya wizarani ya nishati na madini yalipita mbele ya baraza la...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
samahani wadau, juzijuzi nilisikia gazeti la mwananchi/guardian yalitangaza kazi huko tabora na walitaka mwombaji awe amesoma education /sociology. ni NGO gani hiyo?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waweza kucheki viwango na taratibu za mishahara ya hizi taasisi za kimataifa ili wa TZ tusijiumize wenyewe kwenye Interview kwa kutaja viwango vya Chini au Juu sana vya mishahara. Asante!
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Tupigie tutakufata popote ulipo.Descol Company Limited Inatoa Huiduma za Refrigirator,air condition za magari na majumbani na Industrial Plant piga simu number 0715 414161 0759271153, 0784 414161...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amani Children’s Home, Moshi, is looking for a good Database Software Developer to help us design a high quality and user-friendly Children’s Database Amani is a Tanzanian NGO working for...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina shida na kazi ya kujitolea kwenye kitengo cha audit au accounts, mi nimchapa kazi mzuri,najituma sana. Tusaidiane nije kusaidia kazi nami nipate ujuzi.nipo Dar
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari zenu! Naomba yeyote anayejua first year kwa mwaka huu wataanza chuo mwezi wa ngapi anijulishe.AHSANTENI
0 Reactions
12 Replies
2K Views
nimemaliza mwaka wa kwanza Dar es salaam instute of technology Civil engineering nipo likizo bt natafuta kazi cos nasoma masomo ya jioni.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hi all, I am looking for one lady who is undertaking her first degree in accounts from a recognized university, she must know the basic of accounts and the computer ie excel, word. My contact is...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
natafuta kazi ya kufundisha iwe ya muda au ya kudumu nimesomea digrii ya elimu (BED psychology)
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Am,kenyan nilimaliza kidato cha nne mwaka jana na sina hela za kujiendeleza kwa sasa naomba kama kuna kazi yeyote thafathali napatikana
0 Reactions
4 Replies
2K Views
If you are not sure regarding the exact way through which you can find the right job, you can of course check out the official sites of these companies. The sites would give you information...
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Wapendwa naomba kujulishwa mshahara wa Hakimu mwenye LL.B !shukrani kwa ushirikiano
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wakuu, I have one of my sister, a second year law student in on of the private university seriously looking for a tempo or intern position so if you can assist her will be of great help...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Most people love the idea of working from home, but are afraid of disappointment and scams. Unfortunately, these two things are something that cannot be avoided, however, there is a light at the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
If you need history or gs teachers are available at 0717100777-degree holders
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom