Stories of Change 2022

Awamu ya Pili. Nyanja: Maudhui yakilenga maeneo ya Elimu, Biashara/Uchumi/Ujasiriamali, Afya, Utawala Bora, Demokrasia, Kilimo, Sayansi na Teknolojia na Afya

JF Prefixes:

2 Votes
By Abou Twika 0784327893 Awali ya yote, nianze kwa kuwasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Ni imani yangu mu kheri wa afya, na wale wote tuliye na maradhi inshallah, kwa neema...
1 Reactions
4 Replies
931 Views
Upvote 2
4 Votes
LUCK and CHOICES Hakuna mtu ambaye hajawahi kusikia neno BAHATI(LUCK). Ila Hakuna kitu Bahati Lakini Kila kitu ni Bahati. Wazungu wanasema Bahati ni Sawa na Fursa ukaongeza na maandalizi ya hiyoo...
4 Reactions
3 Replies
603 Views
Upvote 4
5 Votes
Ni ukweli Usiopingika kwamba Mifumo yetu ya elimu ni mibovu sana, inaangalia Div 1 ya 7 au Div 1 ya 3 basi na ni mifumo ya enzi za Uhuru na wakati huo huo kuna changes nyingi sana Duniani tangia...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Upvote 5
4 Votes
UTANGULIZI. Upatikanaji wa taarifa mbalimbali kwa haraka ni suala muhimu sana kwa nchi zinazoendelea na zilizoendelea, njia nyingi zimekuwa zikitumika katika utatuzi wa changamoto hii ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Upvote 4
2 Votes
 Kwanza salamu hadhira, Hali yenu vipi shwari, Nataka niwape dira, Mimi nipo juu ya dari, Japo kuwa Kuna swira, Sitoiogopa hatari, Nasihitaji ngawira, Isikilizeni habari. Utawala waparaza, Kama...
2 Reactions
2 Replies
601 Views
Upvote 2
3 Votes
Mjadala wa kisayansi juu ya uendelevu wa teknolojia ya ndani Mbadala wa kilimo kidogo mageuzi ya kukabiliana na athari za mabadilko ya hali ya hewa kwenye mazao ya bustani🍃🎋 Akinukuu ripoti ya...
1 Reactions
3 Replies
680 Views
Upvote 3
5 Votes
BIDHAA BANDIA NA HALISI KATIKA SOKO HURIA: Wajibu wa mlaji kabla ya kununua, kutumia na kuharibu mabaki ya bidhaa. Katika zama hizi za soko huria kauli hizi si nadra sana kusikika miongoni mwa...
3 Reactions
6 Replies
788 Views
Upvote 5
4 Votes
Kwenye hoja Moja Kwa Moja. Unakuwa na presha kamtu kanakupandisha presha nyingii mpaka unafikia hatua ya kutaka kuacha kazi. Inatukuta Sana na wengi hii tunaichukulia rahisi na kamtu uka-zoom...
3 Reactions
7 Replies
588 Views
Upvote 4
2 Votes
Suala la kuwajibika ni muhimu sana unapokuwa kiongozi Katika Familia, Hususani Baba, Mama, Kaka au Dada. Kwani Sio baba pekee ndio anaetakiwa kuwajibika kwa maana hata Mama pia huwajibika kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 2
6 Votes
Katika vitu ambavyo nchi nyingi wanakuwa makini navyo basi ni Ubora wa chakula wanacholishwa raia wao. Ndo maana suala la ku-export vyakula je ya nchi ni suala moja gumu sana, hasa kwenye ku-meet...
5 Reactions
9 Replies
847 Views
Upvote 6
2 Votes
Sisi Watanzania tumekuwa tunaidharau sana nchi yetu na wengi tunapenda mara kwenda kuishi Ulaya au hata South Africa. Lakini Jambo ambalo hatujajua katika nchi zote 50+ za Africa, foregners wengi...
1 Reactions
0 Replies
840 Views
Upvote 2
5 Votes
ATHARI ZA BARIDI KALI KATIKA MKOA WA NJOMBE. Habari,nawasalimu wote kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mkoa wa Njombe upo ukanda...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Upvote 5
3 Votes
Mfumo wa VICOBA au Saving group ni mfumo ulio asisiwa nchini Inida miaka ya 80 mwishoni na kwa bara la Africa mfumo huo ilingia miaka ya 90 na kuanzia kule Niger. Mfumo Wa VICOBA una madhumuni...
0 Reactions
5 Replies
855 Views
Upvote 3
1 Vote
  • Closed
Lishe ya antioxidant lycopene inayopatikana kwenye nyanya ina virutubisho ambavyo vina faida nyingi kiafya, ikiwa ni pamoja kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo, saratani na pumu. Pia ni chanzo...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Upvote 1
4 Votes
  • Closed
Hivi sasa teknolojia imekua ndio kila kitu hakuna mahali unapitia pasipo kutumia teknolojia, hiyo inadhirisha kuwa uwezekano wa kufanya biashara mtandaoni ni mkubwa sana cha msingi ni kujua ni...
3 Reactions
7 Replies
7K Views
Upvote 4
4 Votes
  • Closed
Hakimiliki ni utaratibu wa kisheria unaompa mmiliki wa kazi za akili haki ya kuamulia matumizi yake. Sheria za hakimiliki zinalenga kukinga watungaji wa kazi za akili dhidi ya matumizi ya kazi yao...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Upvote 4
3 Votes
  • Closed
Unashauriwa kuharibu nakala (copies) za Cheti cha kuzaliwa ambazo umeshatumia na unahitaji kuzitupa. Cheti huwa na taarifa nyingi muhimu ikiwa zitafika kwa mtu mwenye nia mbaya anaweza kuzitumia...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Upvote 3
1 Vote
  • Closed
Elias Gebreselassie alilelewa Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia, na kama wenzake, amekuwa na fikra kuwa kwamba majengo marefu, maduka makubwa na barabara kuu zinaweza kuwa maonyesho tu katika...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Upvote 1
4 Votes
  • Closed
Boresha huduma kwa wateja kwa kuongeza kasi ya kutoa huduma, kuchangamkia wateja, kuthamini muda na kutengeneza mazingira rafiki na mteja wako. Toa bidhaa au huduma yenye ubora na inayoendana na...
4 Reactions
0 Replies
3K Views
Upvote 4
1 Vote
  • Closed
Uhuru wa kujieleza ni haki inayompa kila mtu uhuru wa kutoa na kupokea maoni, kupokea na kutoa taarifa na mawazo bila kuingiliwa. Uhuru wa kujieleza humfanya kila Mwananchi kuwa sehemu ya...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
Back
Top Bottom