Stories of Change 2022

Awamu ya Pili. Nyanja: Maudhui yakilenga maeneo ya Elimu, Biashara/Uchumi/Ujasiriamali, Afya, Utawala Bora, Demokrasia, Kilimo, Sayansi na Teknolojia na Afya

JF Prefixes:

0 Votes
  • Closed
Talaka ni Amri ya Mahakama ya kuvunja Ndoa. Chombo pekee chenye mamlaka ya kuvunja Ndoa ni Mahakama. Ni lazima talaka itolewe Mahakamani ili kila Mwanandoa haki yake itamkwe bayana. Talaka za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Ikiwa mnakaa chumba kimoja ofisini, tenganisha viti angalau mita moja ili kujikinga na maambukizi ya #Corona
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Upvote 0
2 Votes
  • Closed
Kutokuwa na Katiba madhubuti (Katiba ya Wananchi) Kutoheshimu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 Sheria mbaya, zenye mapungufu au zilizopitwa na wakati Uelewa mdogo wa Sheria...
2 Reactions
1 Replies
951 Views
Upvote 2
1 Vote
  • Closed
LinkedIn imethibitisha kuwa taarifa zilizofutwa kutoka kwa watumiaji milioni 500 wa mtandao huo ni sehemu ya hifadhidata ‘database’ zilizochapishwa na wadukuzi. Taarifa za kudukuliwa na kuuzwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Upvote 1
2 Votes
  • Closed
Inategemea umekamatwa kwa kosa gani, kwa mfano ukikamatwa kwa makosa ya mauaji, Uhaini, makosa ya kutakatisha pesa, kunajisi, wizi wa kutumia silaha kufanya biashara ya madawa ya kulevya au ugaidi...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Upvote 2
2 Votes
  • Closed
ZINGATIA: Zima 'Wi-Fi' na 'Bluetooth' wakati unapokuwa hutumii. Kufanya hivyo itakusaidia kutounganishwa na mitandao isiyo salama pamoja na kutunza chaji kwenye kifaa chako cha elektroniki
2 Reactions
1 Replies
912 Views
Upvote 2
1 Vote
  • Closed
Uwajibikaji ni hali ya kiongozi na mtendaji kuwa tayari kujibu, kubeba dhamana na kutoa maelezo kwa wananchi juu ya maamuzi au matendo aliyoyafanya katika kutekeleza dhamana aliyopewa. JE, KATIBA...
1 Reactions
1 Replies
8K Views
Upvote 1
1 Vote
  • Closed
Kukua kwa demokrasia katika nchi yenye mfumo wa vyama vingi kunategemea utendaji bora wa Jeshi la Polisi. Kanuni za Kudumu za Jeshi la Polisi zimeweka bayana kuwa shughuli za kisiasa ni miongoni...
1 Reactions
0 Replies
890 Views
Upvote 1
2 Votes
  • Closed
Jibu la swali lililopo kwenye kichwa cha uzi huu ni HAPANA. Melezo kwa uchache ni kama ifuatavyo; Askari Polisi anayo haki na wajibu wa kukuhoji baada ya kukutajia haki zako na kukupa maelezo ya...
2 Reactions
3 Replies
643 Views
Upvote 2
1 Vote
  • Closed
Dhana ya Utawala Bora ikitekelezwa huleta faida zifuatazo;- Matumizi mazuri ya rasilimali za nchi; Maendeleo endelevu; Kupungua kwa umasikini, ujinga na maradhi; Kutokomea kwa rushwa; Huduma bora...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Upvote 1
2 Votes
  • Closed
Katika mazingira ya kawaida askari polisi haruhusiwi kutumia nguvu dhidi ya mtuhumiwa yeyote isipokuwa tu kama mtu huyo anakataa kukamatwa au anajaribu kutoroka Ijapokuwa askari polisi anaweza...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 2
0 Votes
  • Closed
1. Demokrasia ya moja kwa moja Ni aina ya demokrasia inayotamaniwa na inayotamaniwa katika nchi zilizo na watu wengi tangu demokrasia ya moja kwa moja kawaida hutekelezwa katika nafasi na wenyeji...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
MISINGI MIKUU YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA i) Kufanya kazi kwa uadilifu, uaminifu na kujali; ii) Kujizuia na tamaa na kujiheshimu; iii) Kujituma na kutekeleza majukumu kwa umahiri kufuatana na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Ni misingi, kanuni na taratibu zinazoainisha tabia na mienendo inayokubalika na isiyokubalika kwa Viongozi wa Umma na jamii nzima kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, weledi, uwajibikaji na uwazi...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Kwa mujibu wa ripoti ya CAG, utaratibu uliopo, mfanyakazi anayekopa kwa makubaliano ya kukatwa mshahara wake ni lazima abakiwe na kiasi kinachomtosha kujikimu mahitaji yake Sheria ya Kurejesha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Kampuni moja changa Ephemeral ya jijini New York nchini marekani, imetengeneza aina mpya ya wino wa tattoo ambayo inauwezo wa kufutika baada ya mwaka mmoja katika kutengeneza masoko ya wateja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Gharama za usajili ni kiasi cha Tsh. 75,000/- ambapo fomu hupatikana kwa Tsh. 5, 000/-, Usajili 30,000/- na kibali cha kila mwaka 40,000/- Kwa upande wa Studio na wakuzaji wa Sanaa (Mapromota)...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Msanii anaweza kupata fomu ya usajili mtandaoni kwa kuingia www.basata.go.tz au kwa maafisa Utamaduni wa Wilaya na baadaye kujaza fomu na kuziwasilisha BASATA zikiwa zimeambatanishwa na wasifu...
0 Reactions
0 Replies
10K Views
Upvote 0
1 Vote
  • Closed
Vaa aina ya mavazi yanayokuonesha kuwa ni nadhifu na uko makini 'professional' . Kwa mwanaume unaweza vaa suti, au shati na suruali ya kitambaa, pamoja na kiatu cha kufunika cha kiofisi...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Upvote 1
3 Votes
  • Closed
Nguo zenye rangi ya kung'aa na urembo mwingi Mapambo mengi kama, hereni, bangili, pete n.k Nywele zenye rangi rangi Manukato yenye harufu kali 'Makeup' nzito Usivae mavazi yanayokuonesha upo...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Upvote 3
Back
Top Bottom