Stories of Change 2022

Awamu ya Pili. Nyanja: Maudhui yakilenga maeneo ya Elimu, Biashara/Uchumi/Ujasiriamali, Afya, Utawala Bora, Demokrasia, Kilimo, Sayansi na Teknolojia na Afya

JF Prefixes:

1 Vote
  • Closed
Umuhimu wa kunyonyesha kwa mama ni kama ifuatavyo:- Mama anayenyonyesha huepukana na adha za uzazi na kurejea katika hali yake ya kawaida kwa haraka na kirahisi. Hii ni kutokana na Homoni za...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Upvote 1
0 Votes
  • Closed
Kunyonyesha, pia inajulikana kama uuguzi, ni kumlisha mtoto maziwa kutoka kwenye titi la mama. Shirika la Afya Ulimwenguni linapendekeza unyonyeshaji uanze ndani ya saa ya kwanza ya maisha ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 0
1 Vote
  • Closed
Sheria za Kimataifa zinaruhusu mtuhumiwa na Raia wa Nchi moja kwenda kuhukumiwa Nchi nyingine tofauti na Nchi yake. Ili Mtuhumiwa aweze kuhamishwa kwenda kuhukumiwa Nchi nyingine ni Lazima kuwepo...
1 Reactions
1 Replies
922 Views
Upvote 1
1 Vote
  • Closed
Ukatili kwa mwanamke mjamzito ni jambo la hatari kwani huongeza hatari ya kuharibika kwa mimba, uchungu wa kabla ya muda na kujifungua #MtotoNjiti au mwenye uzito pungufu. Katika maeneo ya kazi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 1
2 Votes
  • Closed
Mtu anaweza kwenda Mahakamani na Kumshitaki mtu mwingine ambaye anamsababishia usumbufu katika Eneo lake la Makazi au la Kazi. Usumbufu huo unaweza kuwa Kelele, Harufu, takataka, au aina nyingine...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Upvote 2
1 Vote
  • Closed
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 Inaitaka Serikali kuwajibika kwa watu wake katika maswala yote yanahusu maslahi ya watu hao. Aidha Katiba hiyo pia inaweka ukomo kwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Upvote 1
0 Votes
  • Closed
Ili mtu aweze kufanikiwa Katika Kumshitaki mtu mwingine kwa Usumbufu lazima aweze kuthibitisha vitu viwili:- 1. Uwepo wa usumbufu uliokuwa kinyume na sheria au usiokuwa na sababu za msingi. 2...
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
IBARA YA 15 Ni marufuku kwa mtu yeyote kukamatwa, kufungwa, kufungiwa, kuwekwa kizuizini, kuhamishwa kwa nguvu au kunyang’anywa uhuru wake vinginevyo, isipokuwa tu:- a) Katika hali na kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Watu wote ni sawa mbele ya sheria na wanayo haki, bila ya ubaguzi wowote, kulindwa na kupata haki sawa mbele ya sheria (Ibara ya 13) Haki za raia, wajibu na maslahi ya kila mtu na jumuiya ya watu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 0
1 Vote
  • Closed
Upangishaji wa nyumba au chumba unaendeshwa na Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999 , ambapo sheria hiyo imetaja wahusika wawili tu katika upangishaji. Wahusika hao ni mpangaji na mpangishaji, sheria...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Upvote 1
1 Vote
  • Closed
Kujiua ni kitendo cha mtu kukatisha maisha yake. Kwa mujibu wa American Foundation for Suicide Prevention, kujiua ni sababu ya 10 ya vifo duniani. Tabia ya kutaka kujiua ni ile hali ya mtu...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Upvote 1
1 Vote
  • Closed
Kanuni ya adhabu inaeleza kuwa iwapo kosa limetendwa, kila mmoja wa watu wafuatao atahesabiwa kwamba ameshiriki katika kutenda kosa hilo na atakuwa na hatia juu ya kosa hilo na anaweza kushtakiwa...
1 Reactions
0 Replies
678 Views
Upvote 1
0 Votes
  • Closed
Baada ya Serikali Kutangaza kuwa Wasafiri wote wanaokwenda nje ya Nchi wanapimwa maambukizi ya #CoronaVirus kwa gharama ya Dola za Kimarekani 100 ambazo ni sawa na Tsh. 231,900 Kupitia mitando...
0 Reactions
0 Replies
989 Views
Upvote 0
2 Votes
  • Closed
Sheria ya Mikataba inabainisha kuwa wakati ambapo mkataba unakuwa umevunjika, mhusika ambaye ameathirika na uvunjwaji huo anastahili kupata fidia ya hasara iliyojitokeza kutoka kwa aliyesababisha...
2 Reactions
1 Replies
957 Views
Upvote 2
1 Vote
  • Closed
Lengo hili linahusu kuongeza kipato cha watu waishio kwenye umaskini na kuhakikisha wanapata huduma za msingi na kumlinda kila mtu kuepukana na majanga. Hivyo basi, Serikali za Mitaa zina jukumu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
3 Votes
  • Closed
Ibara ya 145.-(1) inaeleza kuwa :- Kutakuwa na vyombo vya Serikali za Mitaa katika kila mkoa, wilaya, mji na kijiji, katika Jamhuri ya Muungano, ambavyo vitakuwa vya aina na majina...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Upvote 3
2 Votes
  • Closed
Makubaliano yote ni mikataba kama yatakuwa yamefanywa kwa hiari na watu wanaostahili kufanya makubaliano, kwa malipo ya kitu halali na ambayo hayajatajwa waziwazi na sheria hii kuwa ni batili...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Upvote 2
1 Vote
  • Closed
HAKI ZA BINADAMU Hakiki za binadamu ni stahili alizonazo kila binadamu kwa asili ya kuwa binadamu. Chanzo kikuu cha haki za binadamu nchini Tanzania ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Upvote 1
1 Vote
  • Closed
Mikataba mbalimbali ya kimataifa, bara na kanda inalinda tasnia ya habari, waandishi wa habari, na watetezi wa haki za binadamu kutoingiliwa na Serikali. Mikataba hiyo inaweka wajibu kwa Serikali...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Upvote 1
2 Votes
  • Closed
Kanuni ya Ushirika ni kanuni iliyowekwa katika Ibara ya 7(1) (d) ya mkataba wa Uanzishwaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC Treaty, 2007) inayotaka maamuzi yoyote ya Jumuiya yaanzie ngazi ya...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Upvote 2
Back
Top Bottom