Stories of Change 2022

Awamu ya Pili. Nyanja: Maudhui yakilenga maeneo ya Elimu, Biashara/Uchumi/Ujasiriamali, Afya, Utawala Bora, Demokrasia, Kilimo, Sayansi na Teknolojia na Afya

JF Prefixes:

0 Votes
  • Closed
Swala la mimba za utotoni limekuwa ni jambo lenye utata kwenye jamii nyingi ndani nanje ya Afrika. Utafiti wa shirika la afya duniani (WHO) unaonyesha kwamba wasichana milioni 16 wenye umri kati...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Upvote 0
3 Votes
  • Closed
Kwa mujibu Kanuni za Kudumu za Bunge Kifungu cha 30 (2) kinaeleza; Endapo Mbunge atachaguliwa au kuteuliwa baada ya Uchaguzi Mkuu Spika atamuapisha katika: b) Kikao chochote cha Bunge iwapo kuna...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Upvote 3
1 Vote
  • Closed
Tunaweza kusema kuwa kuna uwajibikaji wa kidemokrasia katika utoaji huduma pale ambapo wananchi au wawakilishi wao wanahoji au kutoa mrejesho kuhusu huduma za umma halafu watendaji wa kisiasa na...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 1
3 Votes
  • Closed
Ujasiriamali ni uwezo wa akili na ubunifu wa mtu kutambua fursa, kuiendea fursa, kuipangia mkakati fursa na hatimaye kuthubutu na kuiweka katika uhalisia yaani kuzalisha bidhaa yenyewe na mwisho...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Upvote 3
0 Votes
  • Closed
Kodi ni malipo yanayotozwa na Serikali kwa wananchi, kampuni, au taasisi zilizopo ndani ya nchi au zilizopo nje ya nchi lakini zimesajiliwa ndani ya nchi. Lengo kubwa la kutoza kodi ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Je, una taarifa zozote za Rushwa? Iwapo utakutana na tukio la Rushwa mwananchi una wajibu wa kuwasilisha taarifa za tukio hilo katika mamlaka inayohusika na kuzuia na kupambana na Rushwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Imeandikwa na: Jukwaa la Utu wa Mtoto - Children’s Dignity Forum (CDF) Source: “Sikujua Nilipataje Mimba,” Utafiti Shirikishi kuhusu Mimba za Utotoni na kuwa Mama katika Umri mdogo uliofanywa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Upvote 0
5 Votes
  • Closed
Kifungu namba 7 (a): Baada ya kupata taarifa rasmi na uthibitisho wa Daktari kuhusu kifo cha kiongozi huyo Rais atatangaza kifo cha kiongozi huyo kwa kutaja tarehe, muda na sababu ya kifo chake...
5 Reactions
30 Replies
9K Views
Upvote 5
0 Votes
  • Closed
Utawala ni matumizi ya mamlaka ya kisiasa, kiuchumi au vinginevyo katika kusimamia masuala ya nchi kwenye ngazi zote. Utawala bora ni matumizi ya mamlaka ambayo yanakuwa na uwazi...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Je, demokrasia ya Tanzania inakua au imedumaa? Ndilo swali analoliuliza mchambuzi wetu Anaclet Rwegayura katika Barua kutoka Dar. Mikutano ya kampeni za uchaguzi inawapeleka Watanzania katika...
0 Reactions
4 Replies
609 Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
DALILI ZA HATARI KWA MTOTO NJITI Dalili zifuatazo ni za hatari kwa mtoto njiti na zinahitaji kuchukua hatua mara moja. Kama mtoto yuko kwenye hospitali ambayo haina vifaa na wataalam basi mtoto...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Kila mwaka watoto takribani milioni 15 huzaliwa kabla ya miezi tisa yaani njiti na idadi hii imekuwa ikiongezeka siku hadi siku. Ni moja kati ya sababu inayochangia kwa wingi vifo vya watoto walio...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Upvote 0
1 Vote
  • Closed
UPUNGUFU WA MADINI YA CHUMA KWA MTOTO Madini ya chuma yaliyopo kwenye maziwa ya Mama hunyonywa vizuri zaidi yale kwenye vyanzo vingine. Vitamin C na kiasi kikubwa cha lactose kwenye maziwa mama...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Upvote 1
1 Vote
  • Closed
Wakubaliana kupaza sauti kutoa elimu kwa umma kuhusu masuala yamhusuyo Mtoto Njiti hususani Changamoto wanazopitia Watoto na wazazi wao. Pia, wanadhamiria kuielimisha Jamii kuhusu namna bora ya...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Upvote 1
3 Votes
  • Closed
This is a brief analysis of the Electronic and Postal Communications (Online Content) Regulations, 2020 (hereinafter referred to as the “Regulations”). These Regulations were made under section...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 3
0 Votes
  • Closed
Wanawake wenye ugonjwa wa kisukari wana uwezekano mara nne wa kujifungua watoto njiti na hivyo kutoweza kuishi kuliko wasio na ugonjwa huo , umebaini utafiti. Watafiti kutoka chuo kikuu cha...
0 Reactions
0 Replies
672 Views
Upvote 0
1 Vote
  • Closed
Kwa mujibu wa kifungu cha 77 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na kifungu cha 78 cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292, pale ambapo kutakuwa na wagombea waliopata...
1 Reactions
0 Replies
863 Views
Upvote 1
1 Vote
  • Closed
Ibara ya 5 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imempa haki kila raia aliyetimiza umri wa miaka kumi na minane kupiga kura.Kwa mujibu wa vifungu vya 13(1), 13 (2), 35C, 61 (3)(a) na...
1 Reactions
42 Replies
8K Views
Upvote 1
0 Votes
  • Closed
Kwa mujibu wa kifungu cha 53 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, ikiwa mpiga kura ambaye tayari amekwisha kupiga kura hajaridhishwa na mwenendo wa upigaji kura katika kituo cha kupigia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Ibara ya 54 ya Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343 inamruhusu mtu anayeshindwa kupiga kura kutokana na sababu za ulemavu au kutojua kusoma na kuandika (a) Kumchagua mtu yeyote anayemwamini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 0
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…