Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

JF Prefixes:

132 Votes
Katika miaka ya hivi karibuni, kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi kumeleta mabadiliko makubwa katika mawasiliano nchini Tanzania. Simu za mkononi zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila...
11 Reactions
5 Replies
632 Views
Upvote 132
142 Votes
ELIMU: MSINGI, KING'AMUZI NA KICHOCHEZI CHA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE AMBAZO TUNAHITAJI ZIJENGEKE. Chanzo: Google Help Nchini Tanzania, suala sio kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu, Wala...
102 Reactions
22 Replies
4K Views
Upvote 142
4 Votes
Mabadiliko Yote muhimu lazima yaanzie katika fikra na mtazamo. Watanzania wengi tumekuwa na changamoto ya kuwa na fikra na mtazamo wa utegemezi kutoka mahali fulani. Watoto wanakuzwa...
1 Reactions
2 Replies
180 Views
Upvote 4
5 Votes
Muda mrefu sasa mfumo wetu wa elimu umekuwa hauendani na mahitaji ya soko la ajira, lakini pia hauendi sambamba na mabadiliko ya dunia katika nyanja ya teknolojia yaliyopo kwa ujumla kwani kama...
2 Reactions
2 Replies
198 Views
Upvote 5
2 Votes
VITA DHIDI YA ULAWITI NA UBAKAJI KWA WATOTO KUNUSURU VIZAZI VYETU UTANGULIZI Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazokumbwa na ongezeko la matukio ya ulawiti na ubakaji kwa watoto wa dogo tatizo...
1 Reactions
4 Replies
216 Views
Upvote 2
7 Votes
Utangulizi Ili tuifikie Tanzania tuitakayo ni muhimu kushughurikia suala la Watoto wa mtaani. Watoto wa mtaani ni Kundi la watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani, mara nyingi bila usimamizi wa...
1 Reactions
10 Replies
447 Views
Upvote 7
9 Votes
Kilimo kimekuwa uti wa mgongo wa taifa la Tanzania kwani kwa asilimia kubwa nchi yetu inategemea kilimo ili kuzalisha malghafi mbalimbali kwa ajili ya uzalishaji wa bidhaa pamoja na kulisha taifa...
3 Reactions
3 Replies
260 Views
Upvote 9
2 Votes
Tanzania ni nchi yenye uwezo mkubwa wa utalii kutokana na aina mbalimbali za wanyamapori, mandhari nzuri na urithi wa kitamaduni. hata hivyo, pamoja na faida hizo, nchi inakabiliwa na changamoto...
2 Reactions
1 Replies
335 Views
Upvote 2
11 Votes
💡It has been a great moment getting opportunity to brag a little bit on my views commeting on Tanzania which lives in my imaginations. It is not wisdom to blame for what has already happened, but...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Upvote 11
6 Votes
TANZANIA KUA KITOVU CHA BIASHARA AFRIKA NDANI YA MIAKA 25 KWA LENGO LA KUKUZA UCHUMI. UTANGULIZI Tanzania ni nchi ambayo imepakana na Bahari ya Hindi upande wa mashariki mwa Afrika na kuzungukwa...
2 Reactions
1 Replies
319 Views
Upvote 6
5 Votes
Baada ya miongo kadhaa kupitia nchi ya KIMANILWE NTEMI, ilipitia misukosuko mingi, ikiwemo rushwa, uchu wa madaraka. Hali hiyo ilisababisha nchi kukosa mwelekeo kwasababu Kila mtawala aliyekuwa...
1 Reactions
1 Replies
138 Views
Upvote 5
5 Votes
Deforestation and forest land degradation are critical environmental challenges with far-reaching consequences. Deforestation refers to the permanent removal of trees to make way for other land...
1 Reactions
1 Replies
203 Views
Upvote 5
4 Votes
KILIMO CHA KIDIJITALI: Tanzania, kama nchi nyingine za Kiafrika, inakabiliwa na changamoto za kuleta maendeleo endelevu katika miaka ijayo. Mojawapo ya njia za kufanikisha hili ni kwa kuwekeza...
1 Reactions
3 Replies
417 Views
Upvote 4
5 Votes
Chanzo: onlymyhealth.com Hedhi huanza kutokea kwa wanawake pindi wanapopevuka. Katika kipindi cha hedhi wanawake wanahitaji kujisitiri vizuri ili kuhakikisha wanakua safi na salama wakati wote...
1 Reactions
1 Replies
276 Views
Upvote 5
740 Votes
Uzalishaji wa umeme unapokidhi mahitaji nchini unachangia kwenye ukuaji wa uchumi kutokana na shughuli nyingi za viwanda vikubwa na vidogo kuendeshwa kwa utegemezi wa umeme Umeme unapokua wa...
17 Reactions
35 Replies
3K Views
Upvote 740
9 Votes
Utangulizi. Maendeleo endelevu ya taifa hayategemei juhudi za serikali na viongozi pekee, bali pia yanahitaji ushiriki hai wa wananchi wote. Wananchi wana wajibu wa kuchukua hatua katika nyanja...
4 Reactions
20 Replies
944 Views
Upvote 9
4 Votes
1. Kwanza kabisa Mbinu au maono ambayo yatatumia zaidi ya miaka mitatu na kuendelea Ni Kuhakikisha SERIKALI inawarahisishia wanainchi Kwenye Upatikanaji wa maji na Ulipaji wake kupitia njia ya...
2 Reactions
3 Replies
196 Views
Upvote 4
5 Votes
Serikali ijenge Mabweni shule za sekondari Kata kusaidia kupunguza ongezeko la vitendo vya ubakaji kwa wanafunzi wa kike na kuwalinda dhidi ya mazingira hatarishi wanayopitia. Kutokana na umbali...
0 Reactions
1 Replies
265 Views
Upvote 5
4 Votes
Kujenga Tanzania ya kesho kunahitaji kujizatiti katika kuimarisha uongozi thabiti na mifumo imara ya utawala. Kwanza, viongozi lazima wawe na maadili ya juu na wawajibike kikamilifu kwa...
1 Reactions
1 Replies
191 Views
Upvote 4
5 Votes
Ni kitendo cha aibu sana kama nchi tunajisifu kwa usalama wa mtandao lakini bado watumiaji wengi wa huduma za kifedha kidijitali wanapoteza mabilioni ya fedha eeti kwa sababu mpokeaji aliyepokea...
1 Reactions
1 Replies
377 Views
Upvote 5
Back
Top Bottom