Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

JF Prefixes:

3 Votes
Ndugu zangu naamini nanyi mnakerwa sana na jinsi fedha za walipa kodi zinavyotumika vibaya kupitia ujenzi wa miundombinu ya barabara, madaraja, majengo ya shule, soko, hospitali na mengineyo...
2 Reactions
1 Replies
187 Views
Upvote 3
4 Votes
NAITAMANI TANZANIA MPYA Ni zaidi ya miaka 60 sasa tangu Tanzania ipate uhuru kutoka kwa mkoloni mwingereza. Hali zote za kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na maisha ya kijamii zimebadilika kwa kiasi...
1 Reactions
1 Replies
171 Views
Upvote 4
5 Votes
Tanzania lacks professional development in the entertainment sector especially in Art. Firstly lets look at the past and then come to the present, from independence we are cultured in a way that...
2 Reactions
1 Replies
312 Views
Upvote 5
1 Vote
Kuwe na 50 kwa 50 kati ya miradi ya maendeleo ya watu na miradi ya maendeleo ya vitu ili kupunguza umaskini wa vipato. Tanzania ni moja ya nchi zinazo kuja juu sana kwa swala zima la ukuaji wa...
0 Reactions
1 Replies
201 Views
Upvote 1
3 Votes
Mpaka 2022 nilienda kutalii nikiwa na rafiki yangu katika hifadhi za tarangire national park, like manyara national park, mikumi national kisha saadan national park tukamalizia pugu kazimzumbwe...
1 Reactions
1 Replies
189 Views
Upvote 3
3 Votes
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekabiliwa na changamoto kubwa katika sekta ya afya, ikiwa ni pamoja na upatikanaji duni wa huduma za matibabu na usimamizi mdogo wa taarifa za afya za...
2 Reactions
1 Replies
252 Views
Upvote 3
2 Votes
Nishati ni ule uwezo au nguvu ya kufanya kazi inayoleta matokeo Fulani ambayo yanaweza kuwa chanya au hasi, nishati imegawanyika katika makundi makuu mawili ambayo ni nishati safi na nishati...
0 Reactions
1 Replies
453 Views
Upvote 2
3 Votes
Tanzania imepiga hatua kubwa katika sekta ya afya, hususan katika huduma za matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi. Huduma hizi zinahusisha upasuaji wa moyo, upandikizaji figo, upandikizaji uroto...
2 Reactions
1 Replies
289 Views
Upvote 3
2 Votes
Ajali nyingi zikitokea huwa tunasema ni uzembe wa dereva mm sikatai Kuna muda ni kweli ila Kuna muda nakata sio uzembe wa dereva Bali ni uzembe wa mmiliki wa hicho chombo.nitatoa vitu vinavyo weza...
1 Reactions
1 Replies
196 Views
Upvote 2
1 Vote
Akili bandia (Artificial Intelligence.) Habari! Kila zama kuna bunifu kubwa zinafanyika duniani ili kurahisisha maisha ya mwanadamu na mazingira yake kama siyo kutatua changamoto zinazomkabili...
1 Reactions
1 Replies
159 Views
Upvote 1
4 Votes
Stories of change. Maoni yangu kuhusu Tanzania tuitakayo, napenda kuyaelekeza kwa kiasi kikubwa katika Wizara ya Elimu, maendeleo ya Sayansi na teknolojia. Katika kuiboresha Wizara hii naishauri...
2 Reactions
2 Replies
265 Views
Upvote 4
123 Votes
1.0 UTANGULIZI KIONGOZI Ni mtu mwenye dhamana ya kusimamia kundi fulani la watu yeye akiwa mstari wa mbele kama muwakilishi wa kundi hilo katika jambo fulani. Kiongozi hupatikana kwa namna...
7 Reactions
3 Replies
480 Views
Upvote 123
4 Votes
Utangulizi Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo na utajiri wa madini, tanzanite, dhahabu, rubi, fedha (silver), chuma, almasi, na nikeli. Hoja hii inagonga vichwa tuishie kuorodhesha utajiri...
0 Reactions
2 Replies
501 Views
Upvote 4
6 Votes
Sayansi na teknolojia kwa mwanamke zina umuhimu mkubwa hasa kumpa fursa ya kujitegemea, kuwa na ushawishi katika jamii na kujenga mustakabadhi bora. Pia sayansi na teknolojia inaweza kuondoa...
0 Reactions
2 Replies
356 Views
Upvote 6
6 Votes
Hapa kuna maelezo kuhusu mbinu nne za kisayansi za kukuza sekta ya uvuvi pamoja na mifano ya kila moja: 1. Utafiti wa Mabadiliko ya Mazingira ya Bahari: Utafiti wa kisayansi unaweza kusaidia...
1 Reactions
2 Replies
204 Views
Upvote 6
4 Votes
The Tanzania We Aspire To: A Vision for the Next 5-25 Years Introduction As Tanzania stands at the cusp of its potential, there lies a pressing need to envisage and articulate a future that...
0 Reactions
1 Replies
174 Views
Upvote 4
1 Vote
Tanzania, is a vibrant nation on the East African coast, is known for its rich cultural heritage, stunning landscapes, and diverse wildlife. However, when it comes to its political landscape, the...
0 Reactions
1 Replies
212 Views
Upvote 1
0 Votes
SAVE A WOMAN SAVE ALL GENERATIONS Among 100,000 women in Tanzania 11 women have experienced gender based violence at some point in their life, According to Global 2013,35% of women worldwide have...
0 Reactions
1 Replies
174 Views
Upvote 0
62 Votes
Mwaka 2014, Benki ya Maendeleo ya Afrika iliandaa kongamano lililofanyika nchini Rwanda ambalo nilipata abra ya kusikiliza. Kongamano hilo, lilikuwa linafanya kumbukizi ya kila mwaka ya Benki ya...
16 Reactions
6 Replies
1K Views
Upvote 62
4 Votes
## UChawa na Ulevi wa Madaraka Unavyochangia Kutokuwa na Uongozi Bora kwa Taifa la Tanzania Uchawa na ulevi wa madaraka ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazoathiri uongozi bora katika mataifa...
0 Reactions
2 Replies
221 Views
Upvote 4
Back
Top Bottom