Siku ya jumatano bilionea namba Moja ulimwenguni Elon Musk aliwashangaza watu wengi ulimwenguni kutokana na kauli yake ya utata dhidi wa wadhamini mbalimbali kupitia mtandao wa X kwa kusema Go...
IQ>>AI
Na KENGE
Technology ya AI inazidi kukua siku hadi Siku,kupelekea makampuni makubwa kama Google na Microsoft kushindana ubunifu wa AI Technology.Kwasasa tumeona picha nyingi...
Kampuni kongwe katika tasnia ya teknolojia,Google wamepokea maelfu ya lawama kutoka kwa wanajamii wa AI baada ya bidhaa yao mpya ya Gemini AI kudhihirika kuwa na uwezo mdogo tofauti na...
Habari zenu wanajamvii,
Mimi ni blogger mchanga, namiliki blog yangu hii www.binruwehy.co.tz kwaajili ya habari za michezo lakini ninashangazwa na jambo hili kwenye upande wa views kuna wakati...
Azam Tv wamekuja na Ma dish mapya kwa ajili ya Magari
Nazani kama una safiri kuelekea mikoanii sasa unakutana na magari ambayo yanaonyesha chaneli mbalimbali za Azam wakati wa safari? Si ndiyo...
Habari wananzengo"
KWa wale wataalam wa jukwaa la teknolojia, naomba mnieleweshe namna gan naweza nikatambua kwamba hii saa janja ni band fulan?
Maana utakuta mtu anasema hii band 4, hii band...
Habari Wanajamvi Natumai ni wazima wa Afya....Nilikuwa naomba kufahamishwa Je ni Wifi Adapter ipi ambayo naweza Tumia kwenye Computer bila Tatizo na Yenye kasi zaidi.
"Ndugu Mteja, 627692622 imehuishwa kikamilifu na MWAFT29499 - PHILIBERT JUMA TUBILOLE Mwenye XXXXXXXXXXXXXX 000324 tarehe 12/10/2023 20:26:08 PM.Piga 100 au tembelea maduka yetu kwa msaada."...
Head to Settings > Network and Internet > Advanced > Private DNS.
Choose the option Private DNS Provider Hostname.
Enter "dns.adguard.com" and Save.
That's it! You'll no longer see any in-app ad...
Wiki mbili zilizopita Korea ya kaskazini ilifanikiwa kurusha satellite yao ya kijeshi ya kijajusi Angani kwa ajili ya masuala ya kiusalama.
Hatimaye, Korea ya kusini imejibu mapigo kwa kurusha...
Mtandao wa Telegram imeachia feature mpya kwa watumiaji wake kuwa na uwezo wa kutafsiri sauti kuwa maandishi kwa urahisi kupitia simu zao.
Inaitwa voice Transcription mwanzoni ilikua inapatikana...
Salaam
Kuna vitu siku hizi sivielewi na huu mtandao. Nimeviona mara kadhaa nikabaki kujiuliza na sina jibu. Unanunua bando la internet ila hawa washenxi wanakula bando lako zaidi ya 30% hujui...
Imepita zaidi ya Miaka 31 tangu message ya kwanza kutumwa duniani kupitia simu mpaka kufikia Leo hii Kuna zaidi ya message trilioni zimetumwa ulimwenguni kupitia simu.
Turudi Nyuma mpaka mwaka...
Wadau naombe ni kujua, simu yangu ninapofungua jf ili kuona picha kinachokuja ni hiki hapa kwenye picha, nime uninstall na ku install lakini wapi, tazizo liko pale pale, je nifanyeje?
Wakuu habari zenu, natumainia kuwa mko vizuri na wenye afya dhoofu Mwenyezimungu awafanyie wepesi pia.
Moja kwa moja, Pc yangu ina shida ya internet yani haiwezi ku-connect wireless internet...
Is the WhatsApp verification code or security code not sending? Did you request an SMS code from WhatsApp but you’re not receiving it? If you’re facing this issue, you won’t be able to access...
Wakuu habari zenu.
Ninajambo naomba msaada.
Ninataka kusajili whatsapp namba ya 3 kwenye simu yangu. 2 nishaweka yani whatsapp na WA Business.
Hii ya tatu imekuwa kipengele wiki jana yote...
Hivi unajua Unaweza kutumia wifi kupiga simu , kupokea au kutuma ujumbe wa Sms kupitia simu yako ikiwa mtandao unasumbua na haupatikani kabisa.
Matoleo mengi ya simu kuanzia mwaka 2015 yana hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.