Wakubwa vipi mambo nimedownload hii game kupitia torrent na nimeiinstall kabisa tatizo ni moja haifunguki kila nikijaribu kuiopen kale kamshale kanazunguka tu alafu kanaacha hakitokei kitu...
Mtandao wa Whatsapp ambao ukitoa feature Nyingi mpya inaonekana inachukua toa telegram [emoji16], hatimaye Whatsapp wako kwenye mchakato wa kuleta feature mpya kwenye status.
Meta inataka kufanya...
Wale wote tunaofanya backend kwa python hii ni baada ya mda saaaana kupita ni rasmi django 5 ipo live kwa ajili yetu
Django5.0 nilikua naisubiri kwa mda mrefu ili kufanya baadhi ya project zangu...
Wakuu habarini poleni na majukumu, jana nilipita sehemu nikakuta wanauza visimbuzi vya azam vile vya 49000 nikachukua.
Sasa shida inakuja kwenye kuwasha yani nimeseti antenna vizuri tena ipo juu...
Mwanamume mmoja raia wa Uingereza na Nigeria amekiri katika mahakama ya Marekani kudanganya na kuiba zaidi ya $6m (£4.7m) katika kipindi cha miaka saba.
Idris Dayo Mustapha, 33, alikuwa sehemu ya...
Tajiri ELon musk amesema anaweza kutoa zaidi ya dollar za kimarekani bilioni moja ikiwa kampuni ya Wikipedia itajibadilisha jina lake.
CEO wa Tesla amewapa ofa Wikipedia kwa kuwataka wabadili...
Habari wanajf, nilinunua kig'amuzi cha startimes miezi mitano iliyopita ila tatizo ni kwamba nliangalia channels za ofa kwa wiki tu, then zikabaki za local yaan itv,eatv,tbc1 kwa muda mwa miezi...
Ndiyo nahitaji kioo cha Samsung S10+ Super Amored chenye frame yake kabisa.
Atakama ni used fresh ilimradi kiwe kimenyooka tu.
Ofa yangu ni Tsh 200,000/=
Location ni Dar es Salaam - Ilala...
Kampuni ya Meta sasa wamerudi kwa Kasi kwenye mchakato wao wa kuweza kuzifungia namba mbalimbali ambazo zinatumia program ya Whatsapp Gb.
Kuna kipindi Meta walitoa taarifa ya watu kuweza kuacha...
Kumekuwa na wimbi kubwa la kukopesha simu... Unalipa kidogo kidogo kama mtambo wa sola.
Hajapatikana mtu wa kubadili either IMEI au chochote ili simu iwe free?
Sent from my 2201117TG using...
Whatsapp Bado wanamalizia kufanyia marekebisho kadhaa kuweza kuachia feature mpya ya 𝗨𝘀𝗲𝗿𝗻𝗮𝗺𝗲 kwa watumiaji wa mtandao wa WhatsApp ulimwenguni kote.
Kupitia repoti yaWabetainfo wamesema watumiaji...
Urefu wa Miaka ya Dunia unabadilika kila baada Muda kipindi Cha Miaka ya dinosaur (wale wanyama wakubwa ulimwenguni) kulikua ni kipindi ambacho Dunia ilikua na masaa 23hrs.
Mabadiliko ya Sayari...
Kuna ripoti inaonyesha toleo jipya la iOS 18 litakapo Toka litaweza kuwa na uwezo wa kuruhusu watu kuweza ku install app nje ya app store kwa urahisi.
Mabadiliko haya yataweza kuifanya simu za...
Habari wakuu
Mimi simu yangu natumia mtandao wa vodacom nikipigiwa wanasema namba imefungiwa kwa muda ila mimi kupiga napiga.
Msaada wakuu ili niwe hewani.
Kampuni ya mawasiliano ya simu nchini south Paratus wameshirikiana na waendeshaji wa Satellite ya Eutelsat wametangaza huduma ya mtandao wa satellite wa One web low Earth Orbit (Leo) nchini Afrika...
Kampuni kongwe ulimwenguni Nokia wataweza kuachia simu mpya ya Smartphone aina ya Nokia 1100. Ni simu ambayo iliwahi kuachiwa zamani ila sasa wameamua kuifanyia mabadiliko kuwa ya kipekee.
Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.