Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Baada ya kufunga Antena ya Azam nilipambana kuona INTENSITY na QUALITY lakini naona tu kote inasoma ZERO ingawa chanels zinaonesha. Japo kuna mda kunatokea scratches za hapa na pale kitu ambacho...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Salute, Nina solar panel watts 100, betri N75 charger control na inverter, changamoto ni kwamba inasukuma tv inch 55' , speaker watts 30,000 na kipaza sauti kwa dakika 5- 10 tu. Shida ni nini...
3 Reactions
75 Replies
5K Views
Artificial Intelligence poses “risk of human extinction,”warns ChatGPT founder and other AI pioneers Artificial intelligence tools have captured the public’s attention in recent months, but many...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Sorry. kama kuna mtaalamu wa sound means setting nk naomba tufahamiane
0 Reactions
0 Replies
182 Views
Habar zenu wakuu Yani nakuta simu yangu inafanya App crash yani hytak kufungua gallery eti tatizo ni nini ??? Yani ikifungua inajitoa Msaada wenu kwa anaefahamu please
1 Reactions
3 Replies
295 Views
Watalaaam kwemaa kama kichwa cha habari kinavyo sema, Zaman mm nilikuwa mtumiaji mkubwa wa sites kama pirrate bay kwa ajili ya ku download movies na softwares mbali mbali , lkn siku izi nimekuwa...
1 Reactions
4 Replies
944 Views
Wakuu wa JF kwema? Naomba kujua ni App gani ya simu au PC nzuri kwa kufanya video editing au hata Image editing kwa ajili ya kutangazia biashara online. Nitashukuru sana nikipata msaada juu ya...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu habari, Kuna kampuni ndogo nategemea kuianzisha hivi karibuni, ambayo baadhi ya kazi zake zitakuwa zikionyweshwa huko 'youtube'; mpango mzima wa kuandaa maudhui utakuwa ni huku Tanzania...
8 Reactions
67 Replies
2K Views
Kumbukizi ya moja ya Games za zamani zilizochezwa sana na watoto na vijana miaka ya 2000 ni Need for speed. Unakumbuka kuicheza? Ulikuwa na umri gani? ipakue hapa chini ukumbushie enzi 🙂 Dah...
13 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi.! Nipo Dar nahitaji line ya Safaricom ili niweze kufungua account paypal nipokee malipo mtandaoni. Kuna ambaye anauza hapa dar au wakala au namna yoyote ambayo mtu anafahamu...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habari Leo asubuhi nimekuta notification kwamba namba yangu imewekwa nje ya whatsap (log out) Nilipoifungua nikakuta ujumbe namba yangu hairuhusiwi kutumia whatsap. Nashangaa tatizo ni...
0 Reactions
8 Replies
478 Views
Wakuu za mchana Hivi unatakiwa umeet requirement zipi ili uanzeee kulipwaa???
1 Reactions
101 Replies
3K Views
Naomba procedure mpaka niwe na yoube channel na je inagharama yoyote
0 Reactions
1 Replies
221 Views
Jf tech huwa napata suluhisho. Watu wanajua. Kwa dar naomba kujua napata wap wireless earphones zenye bass na mchujo mzuri kama au zaidi ya wired earphones. Najua maduka yamejaa hizo lakin tatizo...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari zenu wadau Nimekuja hapa nahitaji muongozo wenu nijue kampuni gani inafaa za hii huduma web hosting hapa Tanzania Ninataka nifungue site yangu kabla sijakulupuka nimeona ni vyema nipate...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Iliwahi nitokea hii, simu nilinunua laki 4 ikapasuka kabisa kioo, kuulizia bei ya kioo laki 2 na elf 80, nikasema potelea mbali heri ninunue simu mpya tu, lakini kulikuwa na vitu vya muhimu ndani...
5 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu nimeletewa tablet hapa wameniambia dogo alikua anachezea gemu Sasa baadaye wakafungua Kwa password Ile Ile ya 2022 lakini Ngoma inasema wrong password. Nimejaribu kufanya hardreset lakini...
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Habar zenu waungwana ivi Kwa bajet yangu ya 150k naweza pata tablet ya Samsung Galaxy series yoyote ile hata Kwa mtu ili namimi nifanye jambo langu flani ivi?
2 Reactions
3 Replies
437 Views
Nilishawahi kutumia sabwoofer ya boss ikazingiua baada ya miezi 3 nikanunua sean piano nayo baada ya miezi sita yaleyale uwezo wa kununua home theater sina je naweza nunua sabwoofer gani ambayo...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Mamlaka huru ya mawasiliano nchini Afrika kusini (icasa) imetoa onyo kwa mashirika, kampuni au watu mbalimbali ni haramu au marufuku mtu kutumia mtandao wa Starlink. Mamlaka hiyo ya Icasa iliweza...
2 Reactions
2 Replies
685 Views
Back
Top Bottom