Habari wadau,
Kuna account kama tatu hivi nishazitengeneza na kuzifuta ila nilizitumia kwenye baadhi ya websites muhimu kwahiyo kama kuna njia ya kuzipata tena zote naombeni msaada.
Ni wiki la pili sasa simu yangu camon 16s inakua na tabia ya kuzima mwanga nikiwa napiga na cwezi fanya lolote mpaka niombe niliyempia akate yy ndo mwanga unatokea!!
Naombeni msaada kwa hili tatizo
Habar wakuu....
Hoja yangu,naitaji kuwa mmiliki wa akaunt ya YouTube itakayo kua inalipwa....sifaamu chochote kuusiana na taratibu zao...
Mwenye kujua naomba anisaidie nipate mwongozo...
Wakuu nimeagiza mizigo kama mitano hivi sema inakuja Kwa njia tofouti minne inakuja na caniao super economy japo ni mmoja tu ndio code number yake ndio imeanza na TZ ila mingine ni LP na mmoja ni...
Unajua ukiwa na kitu muda mrefu Kuna wakati unajikuta umechoka kukitumia. ikiwa unamiliki simu yako ya Android au iphone kwa muda mrefu unaichoka kutumia.
Sio lazima kununua simu mpya !! Fanya...
Artificial Intelligence for Development (AI4D) hosted the 1st International Conference on the Advancements of Artificial Intelligence in African Context in Arusha, Tanzania.
The overall...
How To Fix Slow LAN Speed On Windows 11
In this article, we will explain 6 methods that can fix slow LAN speed on Windows 11.
Whether you are attending an online meeting or playing an online...
How To Fix ‘Can’t Connect to this Network’ error in Windows 11
‘Can’t Connect to this Network’ error in Windows 11. It’s a common issue that is faced by users across the world. Many consumers get...
How to Get Wi-Fi Without an Internet Provider
The internet is an invaluable resource that most of us need on a daily basis. If you don’t have an internet connection at home or you’re traveling to...
Habari wakuu sana. Hivi hapa kwetu huduma ya data recovery kitaalamu ikitokea mtu disk yake imeroga inapatikana wapi? Inagharimu kiasi gani huduma hiyo?
Simu yangu ninayotumia Line ya Airtel nikiwapigia Watu wengine wa Tigo, Airtel na Vodacom nawapata nawapata na tunasikilizana vizuri ila kwa Wengine Mimi nawasikia ila Wao hawanisikii kabisa...
Habari zenu ndugu zangu wa Jf,poleni na majukumu ya kutwa nzima.
naombeni msaada ama maelekezo ni jinsi gani naweza kutumia whatsapp kwenye desktop bila kutumia emulator ya aina yoyote kama hili...
PM Modi anaangazia wasiwasi juu ya matumizi yake kwa kina katika Ushirikiano wa Kimataifa kwenye Mkutano wa AI*huu
Wakati wa mkutano huo, Waziri Mkuu Modi aliangazia kwamba India ni mhusika mkuu...
Nahitaji msaada wenu tafadhali, nimejaribu mara kadhaa ku install ir 2204 kwenye pc lakini ikifikia hatua ya kuunganisha waya, inakaa muda mrefu halafu inaandika imeshindwa kutambua devise...
Katika kupita kwangu mjini YouTube nimebahatika kukutana na Podcast ya Engneer ambae Pia ni Advisory katika cabinert ya ELLON MUSK.Akijaribu kuelezea mambo mbalimbali ya AI na malengo yake Miaka...
Hii itakuwa mara ya kwanza kuunda desktop app na nataka iwe na uwezo wa kudai licence key sitaki mambo mengi lakini nachotaka ni ushauri maana sikuwahi kuunda desktop app kwa maisha yangu yote...
Hizi ni picha mbili zinazoonyesha mazingira yangu ya kufanyia kazi mwaka 2018 na mwaka 2022 , Posts zingine zaidi kuhusu setup yangu ziko kwenye Instagram yangu ambayo natumia username ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.