Jamani jamani jamani mafundi wa Bongo semeni tu sisi hatujui ila tuna copy na ku paste na kuiga Youtube tu na at least kw cm za androids au pc za windows lakini mi mtu inajijuta mafundi tena pc za...
Hellow wanajamvi inshort naomba niende oneway on the point ni kwamba Tv yangu Hisense imeungua nilipeleka kwa mafundi Tv pale Service Center kwa watu wa Hisense wapo pale Kariakoo wakanambia Kibao...
Hii inahusu blogger au walio interested na websit au blogs.
Swali langu je Mabumbe (blog) anawezaje kupost matangazo ya kaz au tenda mengi hata elfu yanafika kwa wakati mmoja ana wezaje...
Nimeshindwa kurekodi wakat unaongea na mtu kt simu 2 za google pixel , pixel 4a na pixel 5.
Kuna namna ya kufanya ili uweze kurekodi mazungumzo wakat unaongea kwa kutumia hizi simu za google pixel?
Ni stori ya kusisimua iliyogonga vichwa vya habari inaonekana Kama hadithi za kare Babu anamwambia mjukuu wake lakini ni maisha ya uwalisia zinatengenezwa roboti zitakazo fanya maamuzi yenyewe...
Wakuu nahitaji kununua simu brand ya iPhone, kiukweli nimetarget kwenye efficiency ya camera, mana nafanya biashara mtandaoni so nahtaji simu yenye camera nzuri kwa picha na hata video. Kwa wale...
𝗠𝗶𝗰𝗿𝗼𝘀𝗼𝗳𝘁 𝘄𝗮𝗺𝗲𝘁𝗮𝗺𝗯𝘂𝗹𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗮𝗸𝗶𝗹𝗶 𝗯𝗮𝗻𝗱𝗶𝗮 𝘆𝗮 𝗖𝗼𝗽𝗶𝗹𝗼𝘁
Tuko Kwenye ulimwenguni mpya wa kizazi Cha Akili bandia ambao umeleta mapinduzi mengi ya Teknolojia. Microsoft wametambulisha akili bandia yao ya...
Aliyekuwa CEO wa Kampuni ya Open AI ambayo imejikita katika masuala ya akili Bandia Bwana Sam Altman
Amekubaki kurudi Tena kuiongoza Kampuni hiyo baada ya kufukuzwa kazi siku chache zilizopita...
Wandugu umofia kwenu.
Napenda kufahamu labda mimi sio mtunzaji au nakosea sehemu. Izi racket za kuulia mbu za kuchaji na umeme mbona kila nikinunua hazina maisha marefu, yani ata mwezi hautoboi...
Habar wakuu, mimi ni mgen kidogo kwenye matumiz ya app ya spotify
Ninachofaham ni ku search nyimbo na kuiskiliza , mbaya zaidi ninapochagua nyimbo unakuta nikii play ina play nyimbo nyingine...
Haya sasa
Kumekucha huko marekani CEO wa chatgpt sama mda huu amafukuzwa kazi na management kwa kuonekana hayupo competent kwenye position ya uongozi ( CEO )
Ikumbukwe kwamba idea nzima ya...
Moja Kati ya simu Bora ya kutumia kwa mwaka 2023 Toka kampuni ya Infinix ni hii Infinix Note 30 Vip, ambayo imeachiwa June 30 mwaka huu ikiwa na feature kedekede ndani yake Leo nakuambia kadhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.