Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naweza pata laptop nzuri kwajili ya kuendeshea websites/blogg kwa bajet ya 500000/=?
0 Reactions
1 Replies
189 Views
I learnt some new keyboard shortcuts as I was browsing the net today. Here are some of them, guys any one who knows any more shortcuts he /she can comment here. This is for the better of every one...
0 Reactions
9 Replies
795 Views
𝗧𝗲𝗸𝗻𝗼𝗹𝗶𝗷𝗶𝗮 𝗵𝗶𝗶 𝗶𝗻𝗮𝘁𝗶𝘀𝗵𝗮 𝗔𝗶𝘀𝗲𝗲𝗲! Umeshawahi kuiona simu ambayo unaweza kutumia bila kuishika ?? Teknolijia inakwenda Kasi sana kuna kitu kinaitwa Humane Ai pin unakijua ?? Niazime dakika moja tu...
1 Reactions
3 Replies
732 Views
wataalam wa IT, hivi naweza weka window 11 kwenye hp elitebook g3 i7 touch screen 256ssd 8Ram kwa ku bypass na nikaweza pata updates pale itakapo leta new update? (Nb. TPM 1.2)
0 Reactions
10 Replies
691 Views
Naomba mwenye App ya kubadili sauti wakati wa kupiga simu tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Wakubwa zangu i hope mko powa, Nilikuwa nawaomba mnisaidie title ya project ya ICT itakayo husisha (html,CSS,PHP na MYSQL)
1 Reactions
1 Replies
341 Views
Google kufuta Gmail yako desemba Google imesema rasmi kuanzia desemba Moja mwaka huu 2023 itaanza kufuta email ambazo haziko active kwa Muda mrefu ikiwa hujaitumia email yako ndani ya Miaka...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu, Kwa tanzania mpaka sasa ni airtel pekee yake ndo ana huduma ya Esim, Vipi hii mtandao mingine mna mpango gani wa kuanzia huduma iyo?
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Teknolojia inazidi kukimbia na kila siku teknolojia mpya inatokea na kubadilika. Wiki hii katika kongamano la Mobile World Congress (MWC) 2023; teknolojia mpya ya iSIM ilitambulishwa rasmi na...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninataka kununua TV. Nimeenda dukani nikiwa nataka kununua brand new TV iwe Hisense, Samsung, LG, Alitop, Allyons etc (sikuwa na choice nilijipanga kwa yoyote ile). Nikiwa njiani, nikakutana na...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Msaada jamani. Simu imeibiwa. Nifanyeje niipate?
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Kampuni ya meta inayomiliki mitandao ya Whatsapp, Instagram, Facebook wametoa taarifa kuwa ujio wa watu kulipia ushuru kupitia matangazo ya Facebook. Meta imesema kuanzia tarehe 1 desemba 2023...
0 Reactions
1 Replies
309 Views
Nina Altonator ya gari. Kwenye hii Altonator Kuna haya maandishi. NISANI 23100 70N 12 V. Sasa, Nikaichukua Altonator Kisha nikafunga waya kutoka Kwenye bolt na Kisha nikafunga waya kutoka Kwenye...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Yani google ni majasusi waliokubuhu, Sina tatizo kwa google kutunza baadhi ya taarifa zangu kama cintacts zangu lakini kuna muda wanavuka mipaka kuchungulia hata visivyowahusu. Google chrome...
14 Reactions
48 Replies
3K Views
Habari za hapa ndugu zanguni... Naomba kuuliza kwa anaefahamu namna ya kupata link ya image unapotaka kupost katika forum (natarajia wengi humu wanafahamu). Hasa kama picha ikiwa katika computer...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba kuuliza wakuu simu yangu ina gps haina GPRS, naomba kuuliza kama title inavosema kunauwezekano wa simu yangu kuwa na gprs
0 Reactions
2 Replies
993 Views
Mazee habarini kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo. Laptop yangu nikiwasha inawak vizuri naingiza password fresh.. kisha nikitaka kuanza kufanya kazi tu ina jizima yenyewe alafu ndani ya...
1 Reactions
1 Replies
533 Views
Habari Wakuu Najaribu kuInstall Adobe kama Premiere, Audition, Photoshop na zingine lakini inakataa na kunipa ujumbe (Angalia picha hapo chini) na nimejitahidi kupata maelekezo kupitia google na...
0 Reactions
29 Replies
1K Views
Tambua stadi zako na maslahi yako. Hatua ya kwanza ya kupata pesa mkondoni ni kugundua uwezo wako na kile unachopendezwa nacho. Hii itakusaidia kupata fursa sahihi na kuhakikisha unafurahia kazi...
1 Reactions
4 Replies
588 Views
Habari wakuu. Nimekuwa nikipata tatizo siku za hivi karibuni(ambalo limekuwa ni geni kwangu). Nikiinstall MS Office,napata message hii :"Microsoft Setup Bootstrapper has stopped working". Wakati...
0 Reactions
4 Replies
881 Views
Back
Top Bottom