Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mkuu The bump Tunaomba utoe ufafanuzi wa vifuatavyo SSD ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini? Cloud storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini? Virtual storage ni...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakubwa shida itakua ni nini humu kwenye hii laptop angali hii picha
0 Reactions
2 Replies
351 Views
TCRA kupitia kitengo chao cha ulinzi wa kompyuta wa dharura, TZ-CERT imeleta shindano kwa wanavyuo wachukuao masomo ya teknolojia ambalo litawafanya wanafunzi kuweza kudukua taarifa na kujilinda...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
GIL ilikua ina tulimit sama ku apply parallelism bila ya msaada wa third-part library. Asubuhi hii nimekua na furaha kuskia sasa ni rasmi cpython core developers wameamua rasmi kuachana/kuwa...
3 Reactions
1 Replies
512 Views
Kampuni ya Honor kwenye toleo jipya la simu aina ya magic 6 ambayo inatajiwa kuachiwa mwakani ndani yake kuna mambo mengi ya kushangaza ambayo ukifanikiwa kuipata hiyo simu utaweza ku enjoy...
1 Reactions
1 Replies
678 Views
Naandika kwa uchungu sana. Nilipewa instructions ya kutafuta kampuni ya IT hapa Tz kudisign app na web kwa ajili ya masuala fulani fulani. Nikawacheck jamaa fulani ni IT wazuri tu (kwa mjibu wao...
69 Reactions
325 Replies
25K Views
Habarini. Nahitaj msaada wa haraka kwa yeyote anayefahamu jinsi ya kulipia bidhaa alibaba hatua na taratibu na kujiridhisha kuwa pesa yang itakuwa salama pasipo utapeli.ahsanteni
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimewasha computer yangu yangu ni desktop aina ya dell Lakini inaniletea ujumbe huu shida Nini hapa wadau na nasolve aje ? Maana kisukari kishapanda hapa
1 Reactions
25 Replies
798 Views
Habarini wanaJf Ni simu hizi za Vodafone sikU nne zilizopita iliflashiwa baada ya kuflashiwa ukiiwasha Tu inadosplay ujaze google account na haiendelei zaidi ya hapo na ukihaza google account...
0 Reactions
30 Replies
10K Views
Elon Musk ameachia kitu chenye real time info zikitoka direct from X (FKA Twitter). What is your views?
3 Reactions
7 Replies
583 Views
MATAPELI WANAOJIFANYA WAZUNGU Naeza toa Elimu kidogo kuhusu hizi mambo jinsi utakavyo lizwa na hawa wazungu wa Nigeria Kenya na UDSM &UDOM Wameingia sahivi😂😂😂😂 Hawa matapeli wanakuingiza chaka...
9 Reactions
12 Replies
1K Views
Kampuni ya apple kwenye vifaa vyao huwq hawatoi warranty kwenye bidhaa zao ikitokea imemwagiwa na maji au kimiminika chochote kwenye vifaa vyao vya iphone, ipad,Air pods, apple watch nk japo hivyo...
1 Reactions
6 Replies
652 Views
Sources: https://www.youtube.com/watch?v=a4aboTbQZ5Y&pp=ygUSbWNodW5nYWppIG1hZ2hlbWJl https://www.space.com/pluto-atmosphere-may-be-disappearing Pluto's atmosphere is starting to disappear...
1 Reactions
9 Replies
884 Views
TENGENEZA BACK-UP YAKO YA UMEME WEWE MWENYEWE NYUMBANI KWA KUUNDA INVERTER. Jambo la msingi katika uundaji wa inveter ni kubadili voltage kidogo ya umeme wa battery (Umeme wa battery...
5 Reactions
25 Replies
42K Views
Wengi wa wanaoshiriki ni wahindi nilijoin kwa kuwa tulitakiwa kuunda vikundi vya watu watano baada ya kuanza hatua za kwanza baadae tuliungwa kwenye group la what'sapp wote lakini huko walikuja na...
0 Reactions
2 Replies
260 Views
Habarini wakuu wa tech Tanzania, Kulingana na nilivyouliza swali hapo juu kwa yule mwenye uzoefu aliyekwisha wahi kukutana na kadhia kama hiyo.
2 Reactions
0 Replies
296 Views
𝗦𝗶𝗺𝘂 𝘇𝗮 𝗚𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 𝗸𝘂𝘁𝗲𝗻𝗴𝗲𝗻𝗲𝘇𝘄𝗮 𝗜𝗻𝗱𝗶𝗮 Makamu raisi wa kampuni ya Google Mr Rick Osterloh amesema kampuni yao ya Google muda sio mrefu wataweza kufungua kampuni ya kutengeneza simu na vifaa mbalimbali...
3 Reactions
12 Replies
671 Views
Kuna file nimelifungua ghafla desktop screen imefuta app na shortcut zote then ikaleta makorokocho Aya kama unavyoona
1 Reactions
20 Replies
646 Views
Mafundi simu
0 Reactions
5 Replies
387 Views
Hongereni kwa kazi! ndugu wajumbe ninakero ambayo imeendelea kunikera siku hadi siku. Ni mtumiaji wa simu ya samsung na kwa kipindi hiki cha hivi karibuni kumejitokeza hali ya kuzuka kwa...
0 Reactions
6 Replies
525 Views
Back
Top Bottom