Wndugu wapendwa naomba sana msaada maana nimechanganyikiwa, nilikuwa na install application kutoka cydia, ikakubali kuingia sasa kila nikitaka kurestart springboard inakatakaa kurestart na...
wakuu hrshima kwenu
Nipo dodoma kikazi, ila nahitaji nichukue laptop kwa ajili ya shughuli zangu sasa jana nikaamua kunyosha tu miguu natembea with no direction, dodoma sio mwenyeji kabisa...
Jengo la startups za IT eti linajengea dodoma, kwa upande wangu naona sio sawa.
Kama arusha ndo kitovu cha utali, ikitokea wadau watech wakija kutalii ingekua rahisi wao kwenda mara moja kwenye...
Habari zanu wana JF.
Leo naomba niwatambulishe application mpya ya kizawa inakuja kuleta mapinduzi makubwa kwenye mambo ya kupeana zawadi.
Hivi ushawahi kufikiria baada ya kuhangaika kariakoo...
Kuna wimbi la wa Tanzania(wasio na proffesional ya IT) kubeza wale wenye professional hiyo kuwa hawana lolote ni wa burn cd, wapiga window na wa install anti virus.
Lakini ukimuuliza kuna Startup...
Natumia iphone 7plus Kuna baadhi ya Apps kwenye simu yangu zimeanza kugoma kufanya kazi zikinihitaji ni update kwenda ios 16/17 version nimeingia sehemu ya ku update hamna option ya ios 16 wala...
Nikili kuwa mimi ni mkeleketwa ama mdau mkubwa sana wa IT na teknolojia kwa ujumla
Leo nimekabiliana na mdau mmoja akikandia sana tasnia hii hasa hapa nchini kwa madai kuwa hakuna wataalamu na...
Habari za asubuhi wandungu natumaini mumeamka salama salmini
Leo asubuhi wakati nawasha laptop yangu kwanza baada ya Kutumia kama dk 5 ikaleta mistari na chenga kwenye skrini
Badala ya hapo...
Habari ndugu zangu naomba ku uliza nime download app ambayo haipo play tore lakini shida nikitaka kuinstall ina kataa na andikiwa haya maneno package installer has stopped je nifanye nini hili...
Habarini wanajamvi, nina simu BASIO KYV43 ambayo nilikuwa nahitaji kuiflash.
Kwa bahati mbaya nimeenda kwa mafundi wawili wamehangaika mwisho wakashindwa.
Kama kuna fundi (Dar es Salaam) anaweza...
Habari wakuu...
Nimekuwa interested na hiyo simu tajwa hapo (Samsung a23 iwe na na 6gb RAM na memory ya 64gb). Kwa anaejua gharama yake anijulishe... kuna mtu nilimuuliza akasema zimekuwa adimu...
Habari, mwenye kujua kampuni kongwe inayohusika na usafirishaji mizigo kutoka Uk ilionunuliwa kupitia ebay au amazon ama duka lolote, nitashukuru kwa msaada
Kwanza ninawashukuru wote mlionishauri kubadili king'amuzi baada ya kile cha zuku kuwa kinaniandikia no signal kila siku hasa mawingu yanapotanda!Nilihamia huku kwa Azam! Sasa baada ya kukizoea...
Jamaa mmoja toka nchi ya Australia alinusulika kufa baada ya simu aliyokuwa nayo aina ya Google pixel 4xl kumuokoa maisha yake baada ya kupata ajali akiwa pekee yake.
Anaitwa chuck Walker anasema...
Kama unatumia android basi Leo nakuletea makala nzuri kwa Ajili yako, ndugu ,jamaa na rafiki ili kuwa Salama zaidi.
Kampuni ya Google wana feature Kwenye simu za android ambayo itakusaidia...
Inshort' Nilinunua flash yangu GB 16 imation nikaweka file zangu important ila finally hii flash Ikawa haisomi Tena Baada ya kuitumia kwa mienzi kadhaa.
Baadae nikanunua nyingne ya GB 8 ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.