Sasa watu wataweza kupokea utabiri wa Hali ya hewa kupitia akili bandia imekuja kuchukua taarifa ya masuala ya anga kwa kukupa taarifa kamili kuhusu Hali ya hewa.
Kampuni ya deepmind ambayo...
Wakuu salama?
Naomba kujua chimbo gani zuri naweza kupata pikipiki aina ya YAMAHA mkoa wa Mwanza. Nijue pia bei ya Pikipiki mpya na used.
Nikipata mawasiliano ya muuzaji nitashukuru zaidi...
Habari wadau
Zuku wamekuja ofisin leo wametuambia tulipie 69000 ili watuunge na fiber ya 10MB/S vp speedd yao nzur au utopolo
Nasubiri ushauri wenu wadau
Habari wakuu....simu yangu mbona kila nikichomeka airphone inaongea kotekote yaani kwenye simu inaongea na airphone inaongea na haisomi kwamba nimechomeka airphone shida ni nini hapo.
Natumia...
Habari za leo wakuu,
Nimenunua pedrollo 0.5 hp
water pump kwa ajili ya
matumizi ya kujaza maji
kwenye matenki ya matumizi
madogomadogo hapa
nyumbani lakini kila nikiwasha
na nikifanya...
Najaribu kulogin inanikatalia hawa jamaa wanapita madukan wanasema service levy ni kila baada ya miezi 3, yan jinsi unavotoa risiti wanapiga hayo mauzo yako ya miezi 3 mara 0.03 inakuja pesa ndogo...
Kampuni ya Huawei imeunda gari jipya la kuchaji kwa umeme (electric vehicle) ambalo limeletwa ili kuleta ushindani na kampuni ya Tesla.
Gari hiyo imetengenezwa na kampuni ya kichina inaitwa...
Ni mwaka wa sita huu natumia windows 10, najikuta kwenye mazingira ya kushawishika kuweka windows 11 maana ndio windows toleo jipya zaidi, ila nimeona kwanza nipate ushauri wenu mnaotumia ama...
Habari,
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nilinunua router ya halotel kipindi wanaanza huduma zao, mtandao ulikua na speed na package zao zilikua poa sana.
Kwa sasa nao wamekua slow sana...
Msaada wakuu. Nina wav. kadhaa nahitaji kuzitengenezea Cover Audio kwa lengo la kuzipakia YouTube baada ya kukamilisha matayarisho
Nimetoka kununua PC, sielewi chochote na sijawahi fanya hii...
Habari, wale wanaotaka kujifunza Video Subtitles nafundisha mafunzo hayo kwenye group la Telegram maelekezo yote nimeweka humo.
Video Subtitling inasaidia kupata kazi za onliy Kama Upwork, kupata...
Habari wadau,
Naombeni kupata muongozo wa kufanya coding from scratch/beginner. Niko na nia ya kuwa programmer na anzia wapi ndugu zangu, umri 35yrs self taught ama chuo. Nipeni maoni kuhusu...
Jinsi ya Kujenga Blogu Inayofanikiwa na Kupata Pesa Mtandaoni 💨
Chagua mada unayopenda na inayoweza kuwa na hadhira inayoweza. Fanya utafiti kuhusu mada na mwenendo wa sasa ili kupata niche...
Je umechoka Kila mara kuweka password kwenye iphone yako pale unapotumia kwenye app store ?? Yani Kila unapotaka kupakua kitu app store inakudai password [emoji360] kuweka.
Okay kampuni ya...
Kwenye paa langu kuna maeneo linavujisha maji je ni njia ipi mzuri ya kuweka mambo sawa.
Mafundi mnisaidie tafadhali na sina uwezo wa kubadili bati kwasasa hata kipande kimoja.
Je nini nifanye...
Habari za jioni wakuu,
Nimenunua simu kwa MTU kwa bahati mbaya nmejaribu kuaccess internet imegoma kabisa vile vimishale vya internet vinaonekana lakin akuna kitu simu ni Nokia G10.
Naombeni...
Wakuu poleni na majukumu!
Moja kwa moja naomba msaada kuunganishwa na mafundi wanaodeal na Simu na Computer jijini Mwanza, ili niweze kujishikiza maana life limenikaba au kama kuna mtu anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.