Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba Msaada wa kitaalam ninunue simu gani yenye Camera Bora inayotoa picha za viwango Vya hali ya juu na isiyopoteza ubora wa picha haraka. Lengo kuu ni shughuli za kibiashara ambazo asilimia...
6 Reactions
81 Replies
9K Views
Ndugu wajuzi njooni hapa mnielimishe! Mahali nilipo kuna upepo balaa.King'amuzi cha zuku kilishindwa muda, nikahamia StarTimes nao ni walewale! Wingu likija tu basis mawasiliano byebye! Imefikia...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Kama unatumia android au Google pixel kuna app ya Akili bandia kwa Ajili ya wallpaper Kwenye simu Yako tayari imeshaachiwa kwa watumiaji wote. Ingia soko la play store Kwenye simu Yako tafuta app...
2 Reactions
1 Replies
541 Views
Dear members, I am using Tecno camon 17. This phone is a bit crazy. It downloads many apps by it self. Even when you uninstall the app it install it again. There is an app called SCOOPER NEWS...
8 Reactions
21 Replies
2K Views
Kwa siku za hivi karibuni mambo naona yanaenda ndivyo sivyo kwa upande SEO yaani unachokitafuta hukipati mpaka uzungukie google uandike jina la bidhaa halafu ndo link ikupeleke kupatana. Bila...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari za muda huu wana jamii naomba kwa anae fahamu namna ya kutumia internet bure bila kutumia bundle anipatie na mimi ni seleleke kama wenzangu natumia airtel....
8 Reactions
35 Replies
35K Views
  • Closed
Duniani kuna mambo mengi ya ajabu ambayo watu wengi hawayajui na ikitokea umeyajua unaweza sema hauko dunia hii! Dark web ni ulimwengu wa tovuti ambao huwezi kupata au kuingia kwa kawaida...
9 Reactions
25 Replies
8K Views
Yes napanga kubadlisha simu, natamani nipate simu Kali ya android, battery iwe sio chini ya 5000mah, Qualcomm snapdragon, RAM kuanzia 8, 5G, Dual sim, 128GB Nimepita AliExpress nimeangalia baadhi...
7 Reactions
63 Replies
5K Views
Habari wakuu Jamani Naomba msaada mwenye kujua how to do resection Kwa kutumia total station N70 south.
0 Reactions
0 Replies
235 Views
Wataalamu naulizia naweza kupataje MS Project application kwa ajili ya matumizi binafsi, preferably kuanzia Ms project 2016
0 Reactions
4 Replies
368 Views
Habari za muda huu Wanajamvi, Nauliza je kuna authorized dealer wa simu za Google pixel natamani kuchukua Pixel 6a brand new je zinapatikana mpya kabisa?
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Kuna mtu kanitumia hela kutoka mpesa kuja Halotel,lakini haikuingia kwenye halopesa ,isipokuwa imekuja kama sms ya kawaida,kiasi na namba ya siri nitembelee kwa wakala kupata Pesa taslim,hela ni...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Nimejaribu kusearch sikufanikiwa kupata hizi airpods msaada kwa anayefahamu supplier anayeuza nahitaji kuagiza kutoka alibaba
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Xiaomi wameachilia chombo cha Xiaomi 12S Ultra ilipofika July, 09, 2022 Simu hii imeipita uwezo hata Samsung Galaxy S22 Ultra na bado kuna mtu humu nilimsikia anasema eti kwa Android simu ni...
21 Reactions
99 Replies
8K Views
𝗪𝗮𝘁𝘂 𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗳𝘂𝗿𝗮𝗵𝗮 𝗻𝗮 𝘀𝗶𝗺𝘂 𝘇𝗮𝗼 Kupitia mtandao wa 91mobile umetoa orodha ya watu mbalimbali ambao Wana furaha na vifaa vyao wanavyovimiliki kwa mwaka 2023. Kupitia swali walilouliza Je una...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Nipo natumia huduma hii tangu mwaka jana na msukumo wa kuja huku ilikuwa ni baada ya mitandao kupandisha bei za mabando, nadhani wote mnakumbuka mabando yalikuwa bei chee ila kuna wabongo...
9 Reactions
25 Replies
5K Views
Dah nimesikitika sana kukutana na taarifa kwenye ukurasa wa Netnaija kuwa haitakuwa inajihusisha na Kuweka movie zidownlodiwe bila wao kutaja sababu. Dah Inauma sana maana imekuwa website ambayo...
12 Reactions
76 Replies
9K Views
Wakuu, Naomba ushauri ni simu gani nzuri(Smartphone) ambayo ni Mid range pamoja na bei yake(Tanzania) kutoka kampuni yoyote kubwa isipokuwa Tecno na Infinix kwa vigezo vifuatavyo...
8 Reactions
185 Replies
13K Views
Back
Top Bottom