Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za saa hii wakuu. Nimepata changamoto kwenye swala la speed ya internet, natumia simu (4G) speed ni ndogo sana. Minara inaishia bars 3 kama inavyoonekana kwenye picha. Nipo maeneo ya...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Naomba msaada ni vpn ipi ambayo ni compatible na IOS 9.3.6? maana kila.vpn nayojaribu kudownload inaniambia version yangu ya ipad haiko-compartible na niki-upgrade inasema iko up to date...
0 Reactions
2 Replies
700 Views
Wakuu ni hivi baada yakuona miaka flani niliwahi soma engineering drawing Nikaona si vibaya nikanunua application ya CAD iitwayo Gnacad lakini wakuu tangu tu nilivyo nunua purchase Ili cancelled...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Leo nimetumia headphones QC45 za bose kusikiliza wimbo fulani wa bongo, yaani, kwa jinsi zilivyo clear kwenye kila chombo cha muziki kilichotumika, nimesikia jinsi baadhi ya vipande vya wimbo huo...
9 Reactions
41 Replies
3K Views
Wakubwaa eh Msaada tutani hiyo imekaa vipi nilimtumia mtu message ya wasap jana lkn ameisoma leo lkn bado mpokea ujumbe last seen anaonekana muda wa jana
7 Reactions
60 Replies
4K Views
Wakuu, Mimi ni software developer. Natengeneza App kwa ajili ya kutumika kwenye simu za Apple(iphones). Nafanya research nipate kujua ios version gani inatumika na watu wengi hapa Tanzania ili...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Wengi wetu tuko vyema tukisubiria Mama arudi kutoka Doha na ndizi mkate mkononi. Ni hivi, baada ya Whatsap kutuletea mfumo wa Chanel ili kuturahisishia Biashara na mengineyo. Basi uzi huu uwe wa...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari za kazi wakuu, na poleni na majukumu ya kulijenga taifa. naomba kama kuna mtu ana links za azam tv naomba anitumie inbox
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Kwa kitambo kirefu sikuwepo hapa jukwaani lakini nimerejea sasa na nitakuwepo hadi atakapopenda Mwenyezi, sasa nimewawekea application bora kwa streaming za channel za hapa nyumbani Tanzania...
7 Reactions
47 Replies
7K Views
Habari, bila shaka Wote tunajua changamoto tuliyonayo watanzania kwa sasa hasa katika suala la mgao wa umeme , ambao umegeuka mwiba kwa wajasiliamali wengi. Changamoto niliyonayo ni matumizi...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu za asubuhi Nimejaribu bila mafanikio kujitoa kwenye hii app. Nimewasiliana na wao sipati msaada. Hawana majibu. Benki niliyojisajilia wanasema solution ni.kubadili kadi ya benki. Hivi kweli...
40 Reactions
146 Replies
12K Views
Important Shortcut Keys for Computer- CTRL+A. . . . . . . . . . . . . . . . . Select All CTRL+C. . . . . . . . . . . . . . . . . Copy CTRL+X. . . . . . . . . . . . . . . . . Cut CTRL+V. . . . . ...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina Infinix Note 30 5g Changamoto ni kwamba haipandishi mtandao wa aina yoyote naombeni msaada wenu wataalamu.
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari wana tech? Mimi ni miongoni mwa youtuber chipukizi. Nilifungua account kwa ajili ya mipango yangu tu ya kufundishia watu mambo mbalimbali.Japo bado haijakidhi vigezo vya Youtube ili...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
windows crashes when connecting to wifi
0 Reactions
1 Replies
154 Views
Habari Wanajamiiforum ni kwamba Kuna smart nimenunua na katika matumizi yangu nilihtaji kuingiza document fulan kutoka kwenye kompyuta na nilipochomeka USB ikaja option ya kuchagua kama picha...
1 Reactions
8 Replies
703 Views
Ndugu wataalam, nawasalimia sana. Nimeformat SD CARD Ya CAMERA ambayo ilikuwa na picha nyingi muhimu na ningependa nizirejeshe. Nimepambana na recovery softwares nyingi za mtandaoni lkn zote...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada nimeupdate kodi kutoka play store lakini kila baada ya muda kuna huu ujumbe unatokea,unfortunately,kodi has stopped tatizo ni mini!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
From chief mkwawa "Computer nyingi tunazonunua huwa zinatumia processor za intel au amd, lakini ni intel ambaye ametawala sana kushinda amd kwenye computer zetu. Leo nimeamua niandike uzi huu...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Back
Top Bottom