Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Programming Language Dart IDE for development VsCode Android Studio intellij User Interface Widgets statefull widget stateless widget accessibility...
3 Reactions
1 Replies
751 Views
Nataka nifungue blog ya confession ( kutubu) Watu wawe wanasign annonimous kwa ajili ya kutubutu au kukiri jambo fulani ambalo alifanya siri!!… Watu wengi miaka ya leo wanaugua pressure na...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Ule mpango wa binadamu wa kuweza kuishi nje ya sayari yake asili unaonekana uko mbioni kukamilika. Kampuni binafsi ya Space X inayojihusisha na masuala ya anga(ambayo kwa sasa ina tender ya...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Jamani watu hawa na apps zao tumechoka ma ads yao au ma updates ya ajabu tu when ni matajiri tayari; Yaani update ovyo sana hii
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Simu ni LG G8 thinq Ipo locked na mtandao wa China Unicom. Ukiweka line za Bongo inashika tu 4G muda wote(Hivyo huwezi kupiga simu wala kupokea message). Except kwenye airtel ambapo ukiweka...
2 Reactions
10 Replies
691 Views
Juzi tu hapa tulishuhudia Apple wakirelease brand mpya tofauti ikiweko na simu iphone 15 series. Iphone 15 haijapata mapokeo makubwa kama miaka ya nyuma kwa matoleo mengine, wengi wameonekana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kujua waliofanikiwa ku update whatsapp ikaja na feature mpya ya ku edit meseji uliyotuma ikiwa na makosa atusaidie tusipata hiyo kitu ikiwa inafanya kazi
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Bainisha madhumuni na maudhui ya tovuti yako. Fikiria hadhira lengwa na muundo na mpangilio wa jumla ambao ungependa kufikia. Chagua jina la kikoa: Chagua jina la kipekee na la kukumbukwa la...
0 Reactions
0 Replies
566 Views
Habari wakuu naombeni msaada katika hili, nina Smart tv aina ya Toshiba fire TV na huku nilipo kuna Cable zile za mtaani unalipia unaunganisha. Changamoto ninayokutana nayo nikichomeka ile Coax...
2 Reactions
11 Replies
835 Views
Msaada wenu tafadhari. Hivi hao views, followers na subscribers wanakuwa ni real people au ni marobot? Kawaida ya channel ya YouTube yenye subscribers zaidi ya 1000, videos zinazokuwa uploaded...
0 Reactions
5 Replies
934 Views
Wakuu nimepata changamoto katika Google pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hio error. Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama...
2 Reactions
9 Replies
936 Views
Nampango wa kununua Smart TV kampuni ya ALTOP Saize 32 huku inauzwa 270,000/= kwa aliye wahi itumia...vipi unashauri ni inunue?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
COMPERATORS (VILINGANISHI) Comparator ni nini? Kama jina lake linavyo jieleza comparators(vilinganishi) ni tendo la ulinganish linalofanywa na vifaa vya vya kielectronic...
3 Reactions
7 Replies
5K Views
Naomba kufahamu kama naweza kusoma maneno yaliyozibwa na sticker au rangi mfano bluu nyeusi nk katika picha za whastapp au zozote zile.. Mfano picho hiyo hapo chini nataka nione kulichozibwa
1 Reactions
2 Replies
458 Views
Umeshawahi kutumia Ikawa slow mpaka unakereka aisee unatamani kuitupa au kununua nyingine relax Leo nakupa sababu zinazofanya kompyuta kuwa nzito [emoji108] Kompyuta kuwa nzito usababishwq na...
1 Reactions
3 Replies
540 Views
Wakubwa naombeni mwenye game ya gari loli au basi au ya ndege Thanks in advance
2 Reactions
19 Replies
2K Views
COMMISSION TO EXPOSE EVIL So do not be afraid of them, for there is nothing concealed that will not be disclosed or hidden that will not be made known. What I tell you in the dark, speak in the...
1 Reactions
43 Replies
1K Views
Nina tatizo na external yangu ya Toshiba 1 Tb. Ukiconnect kwenye laptop unasoma ila ukitaka ku transfer files zinagoma kuingia. Nimejaribu kuitoa ktk case yake wapi, pia nmechange ule wire pia...
2 Reactions
4 Replies
478 Views
Wakuu nimepata changamoto katika Google Pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hiyo error. Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama...
1 Reactions
10 Replies
799 Views
Umeshawahi kujiuliza unafanyaje kutengeneza Cable za Ethernet Leo nakujuza kwa kuwa Teknolojia ni Yetu sote. Najua unaweza kwenda kununua Cable ya Ethernet ambayo imeshatengezwa complete...
3 Reactions
2 Replies
765 Views
Back
Top Bottom