Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kuna issue inanisumbua sana, nimebadili Window bado, nimebadili PC bado. Nahisi kuna program ndo chanzo.
0 Reactions
6 Replies
407 Views
Nchi nyingi zinaweza kuona faida katika kujiunga na mfumo wa Starlink kutokana na sababu kadhaa: 1. Kufikia maeneo ya mbali: Nchi nyingi zina maeneo ya vijijini au ya mbali ambayo hayajafikiwa na...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Elon Musk hana ujuzi wa maswala yote yanayohusiana na mitandao ya kijamii kwasababu amekuwa na tabia za childish tangu awe mkurugenzi wa kampuni ya Twitter. Kwa kawaida mtu anaponunua kampuni...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu nimepata changamoto katika Google pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hio error. Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama...
3 Reactions
14 Replies
796 Views
Habari wakuu, Naombeni msaada wenu. Nimenunua kisimbuzi cha antena cha Azam bila antena nimekuja nacho kibaha nikaunganisha kwenye antena. Cha ajabu zinakuja channel za startimes na nimejaribu...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Watumiaji wa Whatsapp kwa upande wa beta version kuanzia Kwenye android, iOS na desktop muda sio mrefu wataweza kukutana na feature mpya ya Akili bandia Kwenye Whatsapp. Kampuni ya Meta...
0 Reactions
2 Replies
356 Views
Kampuni ya apple inatoa toleo jipya la iOS 17 ili kuweza kutatua changamoto ya simu za iphone 15 pro kupata sana moto kupita kiasi. Toka iphone 15 zilizopotoka watu wengi wamelalamika sana kuhusu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tanzania is the latest African country that is embracing the technological digital currency revolution as it shows some impressive growth, despite the small numbers. In Africa, it is Kenya...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kufikia jana Whatsapp za Tanzania zilianza kupokea updates mpya ya Channels, kwenye sehemu ya chini ya Whatsapp Status. Utakuwa na uwezo wa kupata Habari kupitia Channels utakazoamua kuzifollow...
4 Reactions
45 Replies
2K Views
Mvumbuzi wa Ghana [emoji1110], Danny Manu ametengeneza vifaa vya masikioni visivyotumia waya, vinavyoweza kutafsiri kiotomatiki zaidi ya lugha 40. Wale Dj wa kutafsiri naona vibarua vimeshaota...
11 Reactions
30 Replies
1K Views
The US Department of Defense (DoD) is exploring the possibility of developing a large-scale network of AI-powered technology, drones, and autonomous systems to counter threats from China within...
0 Reactions
4 Replies
438 Views
Habari wakuu wa technology humu jukwaani naomba kujuzwa kuhusu hii simu nataka niichukue wiki hii, camera uwezo wake maana ni ya biashara na uwezo wa vitu vingine pamoja na changamoto zake Sent...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Ukubwa wa simu yangu ni gb 32 Infinix hot 9 . Nimejaribu kufuta kila kitu Sina video Wala picha yeyote lakini nikitaka hata kupiga picha tu inaniandikia storage full, naomba msaada wenu wa setting..
9 Reactions
109 Replies
4K Views
Wakuu habari, Naombeni ushauri wenu,ninataka kushift kutoka oppo A52 ninayotumia sasa kwenda Redmi Note 12, nimepitia review zake GSM Arena, nineona wadau wanaiponda sana, nafikiria pengine...
8 Reactions
77 Replies
6K Views
Simu za iPhone 15 & iPhone 15 pro ambazo zimeingizwa sokoni hivi karibuni zimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wake kuwa na msululu wa matatizo Watumiaji wengi wa simu hizo toka kampuni kinara...
10 Reactions
59 Replies
3K Views
Msaada namna ya ku-download HD YouTube videos kwenye Pc wadau. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
18 Replies
11K Views
Hivi unajua Kuna bulb ambazo ni za kisasa unaweza ku control kupitia simu Yako kwa kufanya shughuli mbalimbali kwa urahisi Kwenye simu. Moja Kati ya jambo zuri ni kuifanya nyumba Yako kuwa ya...
4 Reactions
2 Replies
732 Views
Naombeni msaada kutumia TorghostNG tool kwenye Oracle VM, pia Github remote verification ni tatizo naomba script zake tafadhali kwa mwenye kufahamu.
0 Reactions
0 Replies
443 Views
Walengwa ni hasa wale tunaonunua laptops zilizotumika lakini pia vyuo vinakaribia kufungua ni kipindi ambacho laptops zinanunulika sana. Unaponunua Pc ni rahisi kukagua Ram, Hard Disk, Processor...
17 Reactions
17 Replies
2K Views
Swali langu: Bard angalia hizi data zinaonyesha matokeo ya darasa la saba ya mwanafunzi kutoka Tanzania. Kiswahili-C, English-D , Maarifa-D, Hisabati-C, Science-C, Uraia-D. Je kulingana na...
7 Reactions
53 Replies
3K Views
Back
Top Bottom