Samahani, mi nataka kujua mzigo ukitumwa kwa DHL ni lazima utatozwa gharama za ushuru hata kama ni laptop na ilikuwa labeled as a gift?
Maana niliwahi sikia vitu vya kujifunzia kama laptop huwa...
Kwa wanamaomalizia masomo ya uhandisi kada za Electrical, Electronics , Telecom & computer kama kawaida mwaka wa mwisho mna rungu la project ili kukamilisha masomo yenu ya uhandisi, baadhi...
Part I inapatikana HAPA
JINSI YA KUPATA VOLTAGE INAYO BADILIKA
Huku pia tunatumia voltage divider;Tofauti na ile ya mwanzo ni kwamba Voltage divider ya huku haitumii fixed resistors,Hivyo...
Wakuu naomba kuwakumbusha kwamba Android 13 ilishatoka toka mwaka Jana August na kwa Samsung imeanza kutoka October 22.
Simu yangu ilipata updates October 22, hivyo natumia Android 13 toka...
Kampuni ya utengenezaji simu aina ya Iphone ya Apple yakubali yaishe, inatarajia kutangaza simu mpya wiki ijayo zenye charger za type C.
Apple imekubali kufuata masharti ya umoja wa ulaya ambayo...
Tcra na makampuni mbalimbali ya simu nchini Tanzania wameleta mfumo wa watu kufungiwa line zao ikiwa hawajazitumia kwa muda.
Kumekua na tabia ya watu kusajili line mbalimbali Kisha kuziacha na...
𝗦𝗶𝗺𝘂 𝘇𝗶𝘁𝗮𝗸𝗮𝘇𝗼 𝗳𝘂𝗻𝗴𝗶𝘄𝗮 𝗸𝘂𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 𝗺𝘄𝗮𝗸𝗮 𝗵𝘂𝘂[emoji116]
Whatsapp imetoa taarifa Kuna baadhi ya simu hazitaweza tena kupata au kutumia Whatsapp kuanzia octoba mwaka huu.
Watumiaji kuanzia...
Habari wakuu,
Simu yangu ni google pixel 5 kuanzia Jana mtu akinipigia inakata naomba msaada tafadhali maana nimeshaizima na kuiwasha pamoja na kuirestart bila mafanikio yoyote.
Je hili tatizo...
Nataman kujifunza mambo ya animation.. Kma vile kutengeneza movie za kawaida za animation, au story-animation. Nmeinstall application ya Blender kwenye computer Naweza pata mtu wa kunishauri...
Nimeona sehemu mtu ameweka windows 10 lite toka torrent.
Got me thinking of doing the same in my pc.
Kuna mtu ameshawahi fanya hivyo? Kwa wataalamu kuna shida yeyote mtu akifanya hivyo...
Habari ya muda huu wadau,
Naomba kuuliza jambo. Kuna muda fulani TCRA walikuja na mpango wa one network kama nitakuwa sahihi na kumbukumbu zangu ziko sahihi ya kwamba namba yako ya simu ya sasa...
Wakuu habari, nisiwapotezee muda, nimekuja kuomba msaada nikijua fika humu ndani kuna wajuvi wengi wa mambo.
Kwanza kabisa nimekosa kiswahili sahihi cha kutumia kwenye heading hapo juu hivyo...
Wezi sio watu wazuri, wamekata dirisha (grill) na kuondoka na Tv yangu,
Kabla sijanunua nyingine nataka kujiridhisha ni kwa njia gani naweza kuiprotect TV yangu? kwenye hizi smart TV kuna jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.