Habari wakuu wa jukwaa,leo tena narejea kwenu. Kama mnakumbuka,mara ya mwisho niliwaletea kinetic typography ya wimbo maarufu wa Diamond Platnumz.mlitoa maoni yenu na niliyapokea kwa mikono...
Je wewe unatumia simu yoyote ya windows phone na umeimiss opera?
usijali muda si mrefu itaingia store. Opera wametangaza inakuja hii browser na pia kwa wale wanaotaka kuitest wameeka link ya...
Wakuu habari zenu!
Naomba msaada! Ninapo import wordpress kwenye live server napata msg hii 'The active theme is broken. Reverting to the default theme'
Je hiyo meseji inasababishwa na nini...
Share screenshots of contents and apps on your smartphone. Wengine labda wangependa kuona apps gani unatumia and how they can benifit them etc. I'm using a Samsung Note 3 running a custom...
Tecno p5 nikitaka kuinstall whatsapp plus ..inasema there is the same package installed.. inatokea hata pale ninapokua teari nimesha itoa ile whatsapp mama naomben msaada apo nifanyaje kama kuroot...
Simu ni xperia Z3c imekreki mfuniko wa nyuma kwenye betri, msaada wapi naweza kupata mbadala.
Nimeangalia kwenye mtandao wa ebay nimeona inauzwa mingi tu, kama wewe ni mtaalamu wa kununua...
Hii ni kwa wale ambao hawajafanya jail breaking kwenye iphone na iPad. unaweza kudownload paid apps zote bure kwa kutumia vshare application, na kwenye AppStore ulikuwa huwezi kudownload apps au...
Wakuu habari za mchana?
Wakuu nawaomba msaada wenu kuhusu king'amuzi cha DStv kuzimikazimika. Huwa inasababishwa na nini na je nifanyeje ili kisizimike?
Kuzimika kwake ni kama vile umeme umekatika...
Ndugu waungwana nina kisimu changu cha mchina (HUAWEI Y300-0100}kinanitesa nami uwezo wangu wa kumiliki cm nadhani umekomea hapo kwa sasa kwani ningekuwa na uwezo zaidi ningeshnunua nyingine...
Jamani inakuwaje iphone yenye 1gb ram na processor mbili(dual core) kujitutumua na hata kuwa mshindi dhidi ya android devices kama htc one m8 yenye processor 4 na 2gb of ram,je apple teknolojia...
Msaada tutani, nataka nijiunge na DSTV. Naomba mwenye info anisaidie kuwa itanigharimu kiasi gani kupta il kitu deck+dish na vinginevyo. Na kama kuna njia ya kupata unafuu.
Natanguliza shukrani
Just when you thought it was safe to use your computer again after last year's Heatbleed, Shellshock and other computer bugs that threatened your security and just as I predicted in my column of...
Online payments company PayPal, a unit of eBay, will buy Israeli cyber security company CyActive for $60 million, Israeli media reported.
The Globes financial newspaper said the deal is expected...
Tafadhari naombeni msaada nimeshafanikiwa ku-root simu yangu sasa shida imekuja kwenye kupata customrom nimejaribu kusearch kwenye Forum kadhaa lakini nimekosa naombeni msaada wenundugu zangu...
To gain AVG Internet Security 2014 or AVG Antivirus Pro 2014 for 1 year you just need to install this special promotion installers
AVG Internet Security 2014 32bit...
Hebu tujuzane kwa watu wa android phone sasahiv version ambayo ipo hot ni lollipop 5.0 after kit kat 4.4 kwanini kampuni zinigine za simu zinagoma kuiupdate kwenda lollipop nin tatzo katika hilo...
Jamani msaada kuhusu skype nikimpigia mtu kwa skype kwangu inaonyesha kuita lakini kwa ninaye mpigia haioneshi kama inaita na baadae inajitokeza missed call.
Dear friends, I am conducting a research in determining trend of eCommerce in developing countries. The purpose of this research is purely academic. Information supplied will be treated with...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.