Habari wana JF,
Mimi ni Mjasiriamali mwenye umri wa 20' yrs. Nimesoma Bachelor of Science in Computer Science Software Engineering, nimejiajiri kwenye industry ya IT.
Nimefungua ofisi Sinza...
Habari zenu wana JF
nimenunua kifaa cha kudaka mtandao wa internet ya Wi-Fi, je kifaa hiki ni universal{mitandao yote} au ni mtanao mmoja tu?
je ili niweze kutuia nahiaji kufanya nini? niliweka...
MSAADA WADAU!
Nipo najifunza taaluma hii ya madishi ila kuna
maelezo siyaelewi naomba kueleweshwa!
1) Hili swala la ueleke lina maana gan? Utajuaje
kama uelekeo huu ni wa Azam, DSTV au...
Hi members,
Nina simu zangu nilikuwa natumia marekani kwa lainj za huko. Ni LG Optium L70 na Alcatel, zote hazizitambui laini za mitandao nchini, naomba msaada kwa anayejua kuzifungua tafadari.
jamani mimi nikiscan simu( ni adroid) hii program ya com.android.wifi.sta huwa inakuwa detected as a Trojan,, naombeni mnieleweshe kwa nini inakuwa hivyo ukizingatia hiyo program huwa inakuwa...
An artist's impression showing Jupiter, and the moon Ganymede with its auroral lights
Continue reading the main story
Related Stories
Europe plans space science future
Jupiter moon spouts water...
Naomba msaada guruz katika hili jukwaa
Nime root simu ya Samsung Grand prime kupitia Odin 3.07
Sasa Game nikiwasha tu lazima ipitie recovery mode afu nikichagua "Reboot now" ndo inawaka kawaida...
habarini za jion wakuu wote ninaomba kujua jinsi ya kufanya matangazo ya kwenye website yawe yana movement kwenye simu yangu android 4.1.4 kama ilivo kwenye computer??
Naangalia kipindi kwenye channel ya CBS R kinachoonyesha kesi mbalimbali za watu na wataalu wanavyotumia utaalamu wao kukusanya ushahidi kwa kesi ngumu za mauaji.
Wenzetu wako mbali sana katika...
Habari zenu waungwana! hivi karibuni nimepata wazo la kuanzisha jarida format kama yale ya BANG!, ONSPOT, VIBE, KITANGOMA . Ila idea yangu ni unique kidogo na nimefanya research nimeona kuna tija...
Habari zenu wakuu, naomba msaada wa kiufundi, nina laptop ya dell, kila niki connect adapter kwenye socket alafu nikichomeka kwenye laptop basi taa ya kwenye adapter inazima na umeme unakua...
Ofisini tuna wifi kwa ajili ya wateja, iko password protected lakini akija mteja tunampa. Tatizo kuna vijana wawili hivi wana vilaptop vyao ngambo ya barabara wanapewa password na mmojawapo wa...
Jamani kwa anaefahamu zaidi hili la whats app company kuwapa notice developer wote wa unofficial whatsapp app kama vile whats app plus na OG atujuze coz toka juzi whatsapp plus users hatuwezi...
Habari zenu wadau? Ninatumia huwei y530 nikai root kwa kutumia toweroot nilifanikiwa lakin internal storage ili corrupt kwahiyo nikawa siwez ku access intenal storage.
Nikaona bora ni fully...
Hivi watu wa mitandao si wanajua kila cm inayopigwa na mesej inayotumwa? Kama jibu ni ndio basi uwezekano wa kukamata wanao husika na mauaji ya mazeru zeru.
Mafisadi wote serikalini pamoja na...
Mwenye kujua link au website nayoweza kudownload circuit nzuri za aplifier,booster,tv na inverter .na je naweza kupata equvalent book cha transistor na ic kwenye mtandao aksanten
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.