Wakuu nina kiaidia mshenzi ambacho nataka kukifanya. Lakini sina ujanja na software development hivyo namsaka mwenye ujuzi huo.
Tafadhali kama una ujuzi wa software development na una experience...
Ndugu wana jf natumia simu aina ya huawei ascending y300 nili root na kuweka custom ROM ya slimkat sasa nimedownload whatsapp kwenye play store baada ya Ku install ikanambia kwamba slimkatrom...
Mdogo wangu kachezea simu yake ya nokia E5 kwenye phone security code
Amesahau namba alizoingiza na simu imejifunga kila akitaka kufanya chochote simu inadai security code
Naomba msaada...
Waheshimiwa natumia Samsung Galaxy s4 naomba mnifahamishe namna ya kusign out kwenye account yangu ya Gmail maana sioni kitufe cha sign out kabisa
Je nifanyeje? msaada...
Wabari wakuu
Simu yangu ni Samsung S advance GT-I9070,android version yake ni 2.3.6 lakini nataka kui-upgrade mpaka android version 4.2.
Je,natakiwa nifanyaje ili ni upgrade na kuna madhara...
Msaada wenu tafadhali wataalamu,simu hii ilikuwa inasapoti whatsapp,lakini nilipoirestore ikawa nikitaka kuidownload inagoma na inasema muda sio sahihi, hivyo niurekebishe kwanza,lakini hata...
Samahanini wajuvi wa simu.
Hivi kuna namna yoyote ya kuongeza sauti(media player)kwenye simu ya android.kwa maana ya application inayoweza kuboost sauti ikawa juu.tofauti na ya simu husika...
Habarini wapendwa.
Natumia Samsung Galaxy s5 original yenye warranty ya two year's niliinunulia pale posta makao makuu ya Samsung J M Mall
Sasa tangu jana simu inastuck mara kwa mara.. mfano...
Heshima kwenu wakuu..
Naomba kuuliza je kuna madhara yoyote ya kutumia antivirus mbili kwenye simu kwa wakati mmoja..yaani zote zile zinafanya kazi kwa wakati mmoja..
nawasilisha
Niwasalimie tena mchana huu wana Jf, Mimi nasumbuliwa na tatizo moja tu, kwenye simu yangu ya Huawei y300-0100,Wakati ninapo pigiwa simu na gmtu ambaye nimesha sevu namba zake kwenye sim card...
Heshima mbele wakuu,
Jana nimelipia tsh 20000 Azam tv ili niweze kuona channels zote ikiwemo VIASAT NATURE/HISTORY Channel lakin cha ajabu naambiwa access denied kwa baadhi ya channel ikiwemo...
Habari zenu jamani,
Japo kuna maada nyingi humu zinazohusiana na hii kitu,mimi binafsi sijaelewa vizuri sehemu kadhaa kwa mfano,je naweza kufungua akaunti hiyo bila ya kuwa na akaunti katika...
Nimeuziwa ipad2 nikaiwasha iko vizuri nimetumia kama two hours out of internet no problem! Mambo yamebadilika baada ya kuiunga na mtandao ika jilock na kuandika ipo kwenye lost mode!
Sasa...
Halo wana JF science & gadgets,
Natarajia kununua laptop ya mtumba hivi karibuni naomba mnifahamishe specs za laptop ya kufanyia graphic designing kwa Ku tumia PS Cs6 na kadhalika.
Natanguliza...
Wakuu kichwa cha habari kinajeleza. Internal memory ya simu yangu imejaa sasa nataka ku save vitu kwenye Memory Card ila nimeshindwa kupata hiyo option.
Tafadhali naomba msaada kwa mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.