Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wanajamvi habari zenu!! Mimi nina idea na video editing kwa kiasi hasahasa katka software ya sony vegas pro. Najua pia kuna wataalamu wa adobe,final cut,ulead n.K so sio vibaya tukaulizana maswali...
1 Reactions
51 Replies
6K Views
Wataalum heshima kwenu, naulizia programme nzuri na ya kisasa ambayo nitaweza kutumia for free kudesogn logo au flyer. Kwa mwenye kujua naomba anijuze. Nawatakia usiku mwema
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naombeni jibu wataalamu
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu, nimekuja hapa jukwaani kuomba msaada mwenye ujuzi na blog Mm nina blog inayokwenda kwa jina la FRONTPAGE, tatizo lake ni kwamba niliweka picha kwenye title ila haiko vema sana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwenye kujua kutatua Ili tatizo,ghafla simu inawaka Lakin kwenye kioo hakuna kitu Giza mtu akipiga unapokea Lakin haujui nani,Sijui tatizo nini na imetokea ghafla tu Update Nimeirudisha na...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nawezaje kuingiza os mpya kwenye smart phone iliyozima gafla.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Basi la kwanza nchini Uingereza linalotumia kinyesi na uchafu unaotokana na chakula limeanza safari yake ya kwanza. Bio Bus,lenye viti 40 na ambalo linatoa huduma ya uchukuzi kati ya Bath na...
2 Reactions
30 Replies
10K Views
Habari wakuu, Nina iPhone ambayo mpz wangu amei block kwa ku attempt pin code akitaka kusoma meseji zangu hadi ikawa disabled. Sasa nataka ni restored firmware kwa kuiweka iphone yangu kwenye DFU...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamii, habari zenu? Nilipewa ipad 3 kama zawadi ambayo inaingia line Ya simu lakini haina sehemu Ya kupiga Simu. Nilikua Naomba Msada wenu kujua kama unaweza kupiga simu kutumia iPad na kama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari, Nina printer ipo installed kwa pc ya Windows 7 via USB cable na imekuwa shared. Hii machine ni 32Bit sasa issue iko hivi kuna machine nyingine ina 64Bit ya Windows 7 na inagoma kwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu ni kama mwezi sasa na wiki kadhaa zimepita tangia nilivyoibiwa simu na vibaka waliochana nyavu nakuiba kupitia dirishani. ni simu aina ya huawei y530.risit na mpaka box lake bado lipo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nilimwona jamaa fulani ana-download file la 14MB kwa dakika 2 tu kwa simu ya TECNO H5 Nikatamani sana na mimi simu yangu ya NOKIA E65 i- download haraka kama yake, kwani siridhiki kabisa na speed...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakuu, nisaidieni jinsi ya kupata chanel ya mtv na chanel yoyote ya muvi kupitie sat ya ku eurobird 1.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba nisaidiwe jinsi ya kusave video kutoka facebook kwenda Kwenye sim. Sim Yang Ni huawei Y300.
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Nimetengeneza application mpya ya android mobiles kuanzia version 4.0... Naomba mawazo yenu kipi cha kuongeza kwa nilipofikia.. link hiyo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wandugu mwenzenu nimeumbuka, nahitaji msaada au nini cha kufanya. Bado sijawa deep na Wordpress lakini clients wengi nilionao sasahivi wanataka site zao ziwe kwa Wordpressfor for CMS stuff. Sasa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu habar. Nimepata tatizo hapa linaniumiza kichwa..nilikua naweka partion mpya kweny laptop yngu yenye window 8.1. kwa kutumia AOMEI assistant.sasa baada ya kujiprocess nikakuta pc inaleta...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
naomba msaada laptop yangu aina ya TOSHIBA satellite ilzima gafla,nikiwa naangalia muvie,nilivyoiwasha taa ya power inawaka,na fan inafanya kazi ila screeni ni nyeusi,nifanyeje jamani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuuliza hawa jamaa wanaotengeneza video za music huwa wanatumia software zipi kwa editing na production? Nawasilisha....
1 Reactions
24 Replies
8K Views
Habari zenu wana jamvi, Nnaombeni mnisaidie nimitengeneza website yangu kwenye notepad kwenye sula la kuhost ndio majanga yenyewe hivi ni hosters gani wana host freeee? Jamani naombeni mnisaidie...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Back
Top Bottom