Habari zenu wanabodi. Jukwaa hili limekuwa na msaada sana kwa mambo mbalimbali. Kuna picha nimefuta (delete) kwa bahati mbaya kwenye tablet yangu. Je Kuna uwezekano wa kuipata tena kama inavyokuwa...
Wadau napenda kutangulza shukran zangu za dhat kwenu! Nimekua nikipata msaada zaid kupitia nyinyi!!!
Leo nimekuja na mada nyingne.
Nina sim angu aina ya asha 302 ilikua ikifany kaz vzur ila kuna...
jamani habari za muda huu ndugu zangu.....Nina tatizo nina simu yangu ya tecno m 3 imekataa kuwaka tangu jana inawaka lakini inaishia kutoa jina LA tecno tu.....pasipo kuwaka kabisa tafadhari...
hii nimeipata tech crunk..
Microsoft Is Developing Software That Converts Android Phones To Windows 10 | TechCrunch
sijui kama microsoft watafanikisha lengo la kuwavuta android users wengi....
Habaru zenu.
Kwa anaefaham application inayozuia application zingine zisirun at background ili kuzuia data zisipotee au kutumia application aina moja tu bila ya kuingiliana na nyingine. Mfano km...
Habari za hapa jamaa, Natumai tupo poa kwa uwezo WA mungu,ama baada ya salam napenda kufikisha ombi langu kwenu.
Nina computer ambayo ndio kitendea kazi changu imenigomea kabisa Ku-install...
Habar wadau, nmenunua flash ya kingstone 16Gb baada ya kuitumia kma wiki 2 sasa naona siielewi! nikiiweka kwenye laptop inaonesha inavitu vilivyokula kama 7Gb ila nikiifungua inaandka empty...
Guys nimejaribu kila kona but nimeshindwa ku update hii simu na the biggest problem ni kupata update version ya HUAWEI ASCEND Y300 yenye build number Y300-0100V100R001C00B184 naamini humu kuna...
Wataalamu Naomba msaada KWA WANAOFAHAMU chuo kizuri ZAIDI katika kufundisha kozi za networking kwa vitendo zaidi as nshamaliza kusoma theories now nataka kujua kwa uhalisia
Wadau naomba kuuliza ni kwanini inashauriwa kuvaa miwani maalumu wakati unapoangalia kupatwa kwa jua (Solar Ecclipse) kama inavyoendelea kwa wenzetu huko UK. Nimejiuliza nimekosa jibu japokuw...
When you stay in an hotel, how do you know there is no room pinhole camera?
When you travel or take a business trip, and stay in a hotel or a guest house or room you could unknowingly be...
Siku nyingi sana nimekua nikijiuliza swali hili lakini wala huwa sipati jibu, leo nikasema hapana kwanini niumize kichwa wakati wataalamu wapo!
Nimekua nikangalia channel ya National...
Wana jf naomba mwenye kuweza kusaidia kupatikana kwa Data Envolopment Analysis software (DEA) nitashukuru sana, maana inahitajika very urgent kwenye efficiency analysis. Hata kama ya free au ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.