Mitandao salama
Ni vyema kuwa makini zaidi wakati wowote unapoenda mtandaoni kwa kutumia mtandao ambao hauujui au hauuamini- kama vile mikahawa ya mtandao. Mtoaji huduma anaweza kuchungua...
Naomba msaada ninadownload vipi playstore katika simu yangu hii ya p5 tekno? kuna mtoto wa kaka yangu kachezea na kuipoteza sijui aliunstall??
msaada please.
#13 Samsung Galaxy Note 3
AP
Samsung popularized the "phablet" category with the Galaxy Note more than two years ago. Now the phone is in its third generation with the Galaxy Note 3.
The Galaxy...
Naombeni kujuzwa,ni Media Play gani ambayo inaweza kucheza nyimbo one after another in a smarthphone....? Here i mean,Mathalani nacheza video moja,then nataka ikiisha hiyo moja ziendelee na...
Wakuu natumaini wote ni wazima, hapa nilipo nina mwezi tangu ninunue motorola moto g (2nd generation), simu imekuwa ikinipa notification ya kwamba ni update system yangu iwe lollipop, kwa sasa...
msaada nikipigiwa simu mpigaji anaambia simu " busy" kuwa inatumika wakati haitumiki,nikitaka ku "factory data reset"natakiwa kuingiza PIN ambayo siikumbuki,msaada wako unahitajika.Asante.
Ndugu sana jamvi samahani kwa usumbufu utakaojitokeza, napendwa kujuzwa je kwa MTU atumiaye smartphone anaweza kusurf net kupitia bandle la net ambalo look kwenye smartphone nyingine ?
Kama ni...
Watanzania wenzangu na watumiaji wa JF kwa ujumla nawasalimu katika jina la Amani.
Mimi ni mtanzania mwenye kipato cha kawaida (chini) sasa nimefikia uamuzi wa kununu usafiri wangu binafsi ili...
Now that Facebook is introducing third party apps support in messenger, what's your take on this. more http://reviewstabloid.com/facebook-messengerplatform-to-support-third-party-apps/
Hivi ni nani anafaidka na huduma ya google adsense??
na mimi ndo nimeanza kuwa nayo toka week iliyopta kutokana na kunikubalia na nimefksha dolar zaidi ya kumi na wameniambia leo watanitumia pin...
Wapendwa nina shida siwezi kupokea email. Yaani mtu akinitumia email hata nikijitumia haziingii ila email naimiliki kila kitu password natuma email. Ni email ya yahoo.com nina wiki sasa haziingii...
Wakuu naombeni msaada jinsi ya kuroot hii simu maana nimesearch topic za nyuma sijaona kuhusu kuroot s4 inayorun android 4.4.2
Sababu za kutaka kuiroot ni kwamba ina built in application nyingi...
Wadau habari!
ninaomba mnisaidie kwa yeyote aliyewahi kutumia hii app ya internet banking ya crdb inapatikana playstore. Kwangu inakataa ku log in na registration ya hii kitu nilishafanya nina...
Habari wakuu naomba kuuliza nataka kupiga chini window ya pc yangu ila sina program za kuweka baada ya kupiga chini hasa hasa free antivirus naweza zipata site ipi ili nipate set up zake...
"jinsi ya kupata na kudownload application ambazo zinalipiwa kwenye Google play bure na zenye latest version.
HATUA YA KWANZA:
-download application inaitwa APTOIDE(ni apps ya bure).. ili...
Msaada tafadhali.. Nimenunua cm sony xperia juz kat tatzo inazngua haicopy wala kupaste msgs. Je! ni settings au app gani inaweza kusolve hili tatzo?
Natanguliza shukrani.
Tunatafuta mtu mwenye skills kwa vitendo wa kufix/setup ubuntu linux 14.04 LTS servers kwa ajili ya data center . Contract ni ya week mbili.. ikiwezekana kuanzia next week.
Location ni Unguja...
Nawasalim.
Kwa wanaotumia android operating system kuna application ya jamii forum.
Kwenye google play search jamiiforums zitakuja mbili, mimi nimeinstall ya anodexter.
Very cool app.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.