Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Natumia Sonny Experia z2, na install IMO ila pale inapo anza na ingiza namba simu nikisema Get stated ina load tuu na haiendi popote ikisema one moment please.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana simu yangu ni nokia xl , nahitaji kuinstall playstore ili iwe rahisi kudowload apps nyingi coz app za nokia store si nzuri.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana jamvi, jamani mimi nina external usb yangu, majuzi jamaa alii-format kimakosa halafu akaweka data nyigine, niliposhituka na kutambua kuwa baadhi ya docs zangu zimeangamia ilibidi kufanya...
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Wadau inawezekana nipo nyuma kiteknolojia, nimekaa pahala namuona bwana mmoja kashika tablet, na pia kavaa saa mkononi, kilichonisgangaza amepigiwa simu halafu anapokelea kwenye hiyo saa, naomba...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
ni wiki sasa kila nikijaribu kufungua akaunti yangu ya yahoo na ile ya fb naambiwa "untrusted connection" tatizo ni lipi?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
jamani nimejaribu kufungua account ya twiter ...imekubali lkn kila nikijaribu kutweet au kumalizia registration procedures inazingua.... kwa wataalamu nijulisheni kidogo au kna sehemu nakosea
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Wadau mbona nikifungua channel mfano tbc kwenye hii app ya simu tv habari huwa zinajirudiarudia sababu ni nini!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau nahitaji msaada,naomba mwenye serial numbers za adobe illustrator CS6 anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
879 Views
Habari zenu wana jukwaa pendwa la science&gadgets, Nimeleta uzi huu wa kupata msaada wa kujuzwa namna ya ku-copy taarifa yoyote hapa jf au hata kwenye website nyingine kwa kutumia simu/...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Wakuu habari, naomba kujuzwa juu ya hii gari kabla kufanya maamuzi
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakuu nahitaji fundi wa kunitengenezea simu yangu imekufa display na bei yake tafadhali,natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
988 Views
Habari za mida ndugu wadau wa maendeleo, mazingira, ma siasa, ma teknohama, mahusiano na mapenzi. Huwa najiuliza sana kuhusu wapigaji picha hapa nchini. Ni kwamba hawana camera za ukweli ama...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nina mini laptop ya hp ambayo nimeitumia kwa miaka kadhaa sasa. Hivi karibuni imekuwa ikiwashwa screen yake inaonyesha mistaristari tu, mara ya blue, mara myeusi. Hata sasa hakuna...
0 Reactions
1 Replies
913 Views
-TUNAFANYA REPAIR ZA LAPTOP NA DESKTOP ZENYE MATATIZO MBALIMBALI NA KURUDIA HALI YAKE YA KAWAIDA. -MOTHERBOARD REPAIR-tunafanya repair ya chip mbalimbali zilizokufa kwenye motherboard...
0 Reactions
2 Replies
922 Views
Hi wadau nina exteno drive yangu nilikuwa naitumia vizuri bahat mbaya ikaanguka chini na sasa haisomi kwenye pc..inaelekea kun damage kwa ndani. Kuna fundi au ushauri wowote nitapata? Nipo...
0 Reactions
2 Replies
856 Views
Naomba msaada mwenye kujua jinsi ya kuweka passward kwenye yahoo mail,maana kila nikijaribu inagoma nataka kujisajili.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ambaye anajua plz naomba msaada 0718388638 call me au ni beep ntakupigia unielekeze
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nina iphone ambayo to be honest niliiokota bank huku mkoa sasa imezima, haiwaki!! vp wakuu ndo imekuwa toy au kuna namna ya ku unlock??
0 Reactions
9 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Nimeanzisha poll najaribu kuona watanzania tunatumia simu zipi maana naona data za online haziaminiki wanasema watanzania wanaotumia simu zaidi ya 40% wana iPhone, haya si maajabu. Sasa naomba...
5 Reactions
175 Replies
13K Views
Back
Top Bottom