Nimejaribu kujaza detail zang kwenye form ya paypal lakn sijafanikiwa kufungua akaunti, vitu vinavyo vinanifelisha ni
Address line1..
Adress line 2...
Postal code... Afu pia kuna sehem...
ishawahi kukutokea umeweka flash au external hard disk kwenye kompyuta na pale pale mafaili na mafolda yote yakageuka shortcut au yakapotea kabisa,
kuna njia rahisi (kwa watumiaji wa windows 7...
kuna video moja nimeishoot sasa nataka kumtumia mtu ila inasema ina MBs nyingi sana inahitaji kubadirishwa ili iwe na ukubwa mdogo⇨⇨msaada tafadhari
Wakuu habari za saa hizio..kiukweli kuna katatizo hapa nashindwa hata kuelewa nifanye nni ndio mna nimeona bra nilete humu kidgo mnisaidie hili tatzo...
Ni kwmba nimepost picha instagram hvy na...
Napenda kujua kama kuna anayejua ni Content Managemet System gani jamii forums wanatumia. Where did they download the code to setup the all discussion forums. I am sure sidhani kama waliIdevelop...
Ni volksiwagen golf ya mwaka 2002, imetembea kwa kilometa 95000, lady driven in Dar-es-salaam. Dada anaeiuza kaweka wazi sababu ya kuiuza ni kwasababu iliungua Clutch na gearbox iliwekewa wrong...
Wakuu naombeni option ya ku unlock cursor ya laptop ya Samsung. Jana wakati najaribu ku boot nahic kuna key nilibonyeza, sasa naona haitembei wala kufanya kaz yoyote ghafla tuu. Mwenye kujua jinsi...
Sababu ya tangazo hili.
Kwa watumiaji wa browser ya firefox mnaweza kuwa mmeliona tangazo hilo hapo juu mlipotembelea mtandao wa Google hivi karibuni. Tangazo hili ambalo halitokei...
Tanzania wanafunzi wengi IT(+programmers) lakini hamna products ..
Mbona amna websites.
Amna softwares..
Hamna competition...
People wana copy templates tu
Vipi tena...!?
Habari njema kwa wabongo, kuinstall Windows 10 ambayo inatarajaiwa kutoka katikati ya mwaka huu itakuwa ni bure bila kujali kama unatumia Windows genuine au ya kupirate/wizi!
In what may turn out...
Computer yangu tajwa hapo juuu inakwama mara kwa mara hasa nikiwa kwenye net.Kila baada ya muda ina display "firefox not responding".
Nime defrgment na ku delete tempo files lakini bado. Kwenye...
Habari za majukumu wanaJF kuna simu yangu tajwa hapo juu nimesahau pin code za kui unlock naomba wataalam wa hizi mambo mnisaidie, maana sizikumbuki kabisa hizo pin code ni simu ya tecno T340...
Kwanza kabisa niwaombe radhi kwa usumbufu mwingi wa mimi kurudirudi jukwaani kwa swala mmoja zaidi ya mara moja. Nahitaji msaada juu ya namna ya ku-root.
Simu yangu model yake ni Huawei Y300...
Habari za Leo wakuu ninatafuta driver ya mediatek usb Vcom kwa ajili ya huawei y330-u11 nimejaribu kuidownload kupitia drivermax ikagoma kwakuwa drivermax wanauza.kama kuna yeyote mwenye drivers...
Salaam wana Jamvi!
Deleted files au folders katika hard drive, nadhani upelekwa katika recycle bin (trash can).
Napenda kujua: Baada ya matumizi ya PC kwa muda mrefu, je system ya computer au...
Habari ndugu wanajamii wenzangu, Mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa la science niko hapa nikiomba msaada wa kupata application ambayo nitaidownload nitaitumia kudownload movie kwenye ubuntu os...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.