Je ungependa kutumia Whatsapp voice Calling Sasa weza kudownload Whatsapp APK ya
WhatsApp for Android
NB:
KWa wale wote wanaosambaza massage zao whatsapp za kuwema YOu have been Invited sijui...
Habari wana JF.
Naomba msaada kwa yeyote alieweza kutumia remote za kudownload kutoka playstore ya google. Kama ulishawai kuitumia na ikafamya kazi naomba unieleweshe kidogo kwani nilidownload za...
I don't blame you for dismissing this as news for April 1st (April Fool's Day) coming out early in March. I would have dismissed it in the same way had I not met a Zanzibari whose friends...
Natanguliza salam,
Kwa wadau wa electronics, natafuta integrated circuit namba sta540sa, nimejaribu sehemu kadhaa nimekosa kwa Dar, kvd na baadhi ya maduka... naombeni msaada kwa mwenye nayo, au...
msaada plz kwa wale wataalam nimenunua flash disk sasa nataka kudownload nyimbo fro you tube then nizisave kwenye flash disk in form of windows media player je zitakubali ku play kwenye singsung...
This product caught my attention in the past two months and i did consider it to be a breakthrough in technology and computing, been even regarded as the future computer. i was eager to post this...
I THINK HUKU KUNA WATALAM WA I.T. ni hivii... asee pc
yangu inazingua nikiiwasha inawaka na kuzima na kuwaka na kuzima hivyo hivyo kama dim light tatizo linaweza kuwa nn???
Nmekuwa nikilalamika kwa jambo hili mua mrefu sana nikidhani pengine watajirekebisha. jana nimenunua kifurushi nikajiunga UNI255 NIKAPATA 1GB internet Bundle.usiku nikaingia kidogo kusurf jamii...
Habarini wakuu,
Ebana nina tatizo kwenye simu yangu tajwa hapo juu na ninahitaji screen ya HTC one VX, je ninaweza kuipata wapi na kwa bei gani?
msaada wenu wakuu........
Nina nokia lumia kwa bahati mbaya nimesahau passwards za microsoft account na kila ninapotaka ku update application inataka niweke passward. Tatizo ni kuwa wakat naanza kutumia hii sim sikuwa na...
Habari gani wadau?
Kwa sasa hivi nahitaji sana kuweza kuangalia channels za Kitanzania online, haswa vipindi vya taarifa za habari. Ila nimejaribu sana websites mbalimbali bila mafanikio. Siku za...
Niliwahi ku root huawei y330 na iRoot ikakubali... Nikacheki katka CPU-Z ikaonyesha root access is "yes". Baada ya dakika kadhaa inasema device is noot rooted. Ipi njia sahihi ya ku root huawei...
Nimesevu majina kwenye simu lakini kwenye whatsapp hayatoki zinatoka namba tuu, naukitaka kumuadd mtu ili tuchat ukiangalia kwenye add kule hakuna hata Jina moja nawatu nnao wengi tu kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.