Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Today being one year since the disapperance of of the flight MH370, the world with all developements in technology has not been able to tell its whereabouts, not even telling (without doubts) what...
1 Reactions
4 Replies
908 Views
Hizi ni simu za kampuni ya Oking. Kwa kutunza chaji ni imara na inaweza kudumu hadi siku 9 kwa mtumiaji mwenye matumizi makubwa. Tatizo inachelewa kutafuta network na huwa inastak mara nyingi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa anayefahamu ni hatua zipi nizifuate ili niweze kuzuia moja ya folder kutofunguliwa na mtu mwingine kwani sitaki kuweka Password kwenye Laptop ila kwenye folder muhimu ili mtu asije kufuta...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kuna uwezekano wowote modem yako ya internet unayotumia kwenye computer ikakupa wireless internet (Wi-Fi)?,kwamba modem ikiwa kwenye computer basi iwe source ya wireless internet kwa simu au...
0 Reactions
2 Replies
670 Views
Hii simu haitaki kuinstall Facebook kutoka play store..inasema this application is not installed need some features which this phone don't have.. Pls naomba msaada wataalam..
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello, we are calling from Windows and your computer looks like it is infected. Our Microsoft Certified Technician can fix it for you. Sound familiar? Whether you have just been scammed or simply...
1 Reactions
7 Replies
12K Views
Habari wakuu, nimenunua line ya Airtel nakuitumia kwenye simu yangi aina ya Sony Experia Z1 kila napowasha data GPS inajiwasha nikijaribu kuizima baada ya sekunde chache inajiwasha tena...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Wadau nawasalimu! mwenye adobe dreamweaver cs6 naomba anisaidie. Natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habarini za humu ndani,,mimi ni mwanafunzi wa chuo nataka kujiunga na postpaid ya tigo je nini kinachotakiwa kwa huduma hii jamani wenye uzoef naomben mnisaidie,,
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Drive C imebadilika rangi imekuwa nyekundu wakati programu zilizopo. Hazina ujazo huo.nawezaje kuirudisha katika hali yake.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari humu ndani, Nina tatizo la laptop hp compaq presario iliingia maji muda mrefu kidogo, nikaifungua na kuisafisha na vifaa vingi vinafanya kazi nimejaribisha kwenye laptop nyingine, Ram...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama heading inavyojieleza naomba msaada wenu watalamu!! Kwan niliacha simu yangu nikakuta imechezewa contacts picha n.k hazipo Nawasilisha kwa msaada wenu WATALAAM! Nb: Natumia simu aina ya...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu tupieni apps mnazoziona Bomba kwa android Na iOS tupate uwanja mpana wa kutumia simu zetu Naanza Android-googles (hii unapiga picha kitu then unakigoogle) iPhone- sleep better (hii una...
0 Reactions
40 Replies
11K Views
Natafuta SSD drive kuanzia 128gb nahitaji ku replace iliyokufa kwenye laptop.
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Habarini wanaJF.Natafuta Display ya laptop Lenovo min(10.1).Nimetafuta kwa mafundi wengi nimekosa so kwa fundi au yeyote anayefahamu zinakopatikana aniPM au anitaarifu hapo chin..Ahsanteni.
0 Reactions
3 Replies
859 Views
Naombeni kusaidiwa namna ya kulink audio na video za online ili ziweze kuplay moja kwa moja kwenye website.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nltumiwa na mwanangu computer bahati mbaya hakuniambia kuwa inatakiwa kuweka (mla/mzuia wadudu) antivirus, baaaye kukawa na tatizo ambalo limeifanya kukosa uwezo wa kufanya kazi. Baadaye...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, nauliza ni dongle gani inaweza unlock hizi simu zinazotumia line ya mtandao mmoja hapa tz. Nawasilisha.
0 Reactions
3 Replies
931 Views
Ni utafiti mdogo tu, Nilijikuta nagundua kuwa ikiwa simhitahi mtu hata kama namfaham, achilia mbali kama sikujui sina haja kusave namba yako ktk smart yangu kwa sabb haitatoka tena, Ukiwa...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari wakuu, Laptop yenye ukubwa kama huo ina uwezo gani?
0 Reactions
2 Replies
763 Views
Back
Top Bottom