Ndugu na jamaa unaemiliki blogs zinazohusiana na burudani naomba msaada wa ku-upload wimbo huu hapa http://www.hulkshare.com/mylifejob1/geita-boyz-umaarufu-1
Kwa namna moja ama nyingine...
Kama umetambua mara moja hilo bango hapo juu limetokea blog gani basi waingereza husema "shame on you". Mimi naweza kujitetea kuwa nilikuwa nafanya research kwa ajili ya blog post hii (ahem!)...
Habari zenu wapendwa me naomba kujua jinsi ya kuopen files o documents na jinsi ya ku share o kusand kwa email 📤 microsoft office kwa kutumia android
Natumain Wataalaam Wa Jukwaa Hili Ni Mko Poa,
Naomba Maelekezo Jinsi Ya Kufunga Sacket Mpya Kwenye Tv Ya Sinsung (flat Mbele) Nilivyofunga Mm Naona Inanizingua, Haijazi Kioo.
Nawasilisha
Ofisini ninayofanya kazi tunatumia wifi ya Smile, hivi majuzi wameblock sites mbalimbali ikiwemo youtube;
Hivyo nakuja kwenu wanajamvi. Naomba mwenyekufahamu namna ya ku unblock my PC anisaidie...
nimepitia posyt nyingi humu ndani kwenye forum lakini hamna hata moja niliyoweza kutatua tatizo langu.
(1)Nianze vip ili iweze tambua driver za modem
(2)Nitaziingiza vip ili iweze tambua driver
Nina desktop ya dell ukiiwasha inawaka then wakati naendelea kutumia inaweza kuzima kwenye monitor huku mashine ikiendelea kuwa on hapo hadi niiache tena kma nusu saa hivi ndo inawaka tena...
Siku kadhaa baada ya kupiga marufuku picha za ngono katika blogs zote zinazotumia platform ya blogger (blogs za ngono zapata pigo toka kwa Google), kampuni ya Google imefuta maamuzi hayo.
Katika...
Ninaomba kupewa msaada juu ya jinsi gani naweza kuboresha blog yangu katika nyajna hzi
1. Kupata sponsors.
2. Kuboresha muonekano wa picha.
3. Kujua jinsi ya kupata matangazo ya kibiashara na...
Naona mchina ametengeneza clones Za almost simu zote kubwa, lakini swali langu ni kwanini akitengeneza clone za iphone anaziwekea android badala ya ios wakati ios iko online anaweza kuipata bure...
Gallaxy Ace2 niliifactory reset juzi nikaweka apps mpya ila baada ya hapo ukituma sms zinaSENDING.... mda mrefu inakua please wait hazioneshi kuwa SENT or DELIVERY, na hata sms sipokei tena...
Habari wana JF.
Naomba mnishauri mawazo N.K kwa yoyote mwenye ufahamu na hili jambo.
Nina diploma ya computer science kutokana na ugumu wa ajira. Nimefikiria kujiajiri ktk tasnia hii híi yaan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.