Wakuu mimi nimeshajaribu kutafuta njia mbalimbali za kupata hela kwa kutumia internet kama kufanya survey mbalimbali na kujaribu bidhaa mpya.Lakini katika nafasi hizo nimekutana na mambo matatu...
Wakuu salama? Kama ilivyo kichwa cha habari na kama ilivyozoeleka kwenye Windows XP ilikuwa rahisi kwenda kwenye program kwa kupitia start Button unakutana na orodha...
Naombeni Msaada Jamani Jana Kuna Mtoto Kachezea Simu Yangu Pattern Mara Nyingi Mpaka Simu ika ji lock inaniambia niingize Googleplay Account ili niweze Kulogin kila nikiingiza ina sema invalid...
Habari wana jukwaa ?
Nina simu aina ya HTC pro touch 2 ni window phone, nilipata tetesi za juu juu yapo maujuzi ya ku-root window phone na kuwa android.
Mwenye kufahamu ujuzi huu naomba anisaidie.
Meck Khalfan Mbwana ni Mtanzania aliyezaliwa na kukulia Tanzania lakini kwenda Marekani kuendelea na masomo huko.
Kutokana na kimbunga cha Sandy mwaka 2012 kilichoathiri wakazi wengi wa jijini...
Wanajamvi nina simu aina ya tecno h5 android version 4.2.2 (jelly bean ) nataka kuiwekea rom mpya ya kitkat 4.4.2 naombeni msaada jinsi ya kuroot iyo cm na kuweka custom rom inayo faa nisije uwa...
We've been patiently waiting for Microsoft to announce a flagship Lumia smartphone since its acquisition of Nokia was completed last March, but all we've really gotten is midrange handsets...
Nimekuwa mtumiaji wa Google Map na Google Earth kwa zaidi ya miaka sita sasa. Sikuwahi kujiuliza ni utaratibu gani uliowawezesha Google Map kuyapata majina ya vitongoji na vijiiji hadi barabara za...
Ukitumia airtel kwa maeneo yenye 3G.
Kuna vifurushi ambavyo unaweza kuvimudu hata wewe pia.
1. Kifurushi cha data cha sh. 1000 kwa wiki cha 800MB
2. Kifurushi cha siku cha sh 1000 dakika 30...
Waungwana samanini sana, kama kuna mtu alishawahi kukumbana na hali hii,au anakua nna ya kulotatua anishauri yeye alifanya nini au nifanyaje?
Nina simu tajwa hapo juu,(Huawei y 300,) ilianza...
Wanajamvi kuna application nimetengeneza inaitwa ''masaba chat'' ila bado sijai publish kwenye play store wala amazon store sababu nikutaka kujua ubora wa application yangu na inaweza kusapot sim...
Hey Arusha folks, we will be meeting this Wednesday at AISE Tanzania in the Twende Workshop in Nanenane-Njiro, Arusha. If you are interested please be free to join us, you can bring your friends...
Mimi kwa sasa niko Uganda napata kila wakati sms zinazonihamasisha kuangalia vipindi vya TV na link wananitumia ambayo ni hiiFahamu vichwa vya habari kwa wiki nzima katika KAPU LA TBC saa 7:00...
Mmh! ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam(UDSM), Nachukuwa degree ya ELECTRONICS & COMMUNICATIONS ENGINEERING,
Ombi langu kwenu ndugu zangu ni kwamba kama kuna mtu anazijua au anaijua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.