Simu yangu aina ya Samsung imekorofisha.
Nipige picha, nidownload, niende play store nk inaandika memory full wakati ina 8GB built in na 8GB SD card.
Nimefuta kila kitu tatizo lingalipo...
Habarini wakuu,
kuna website ya chuo kimoja cha habari natakiwa ku edit kutokana na matatizo ya design yaliyopo.
Shida niliyonayo ni kuwa sina access ya source code na hakuna uwezekano wa...
its.the authentication.codes that will be only.6000/ per month.haihitaj ununue code 10. hata moja.tu.
Ni PM nikofoadie codes if you are in need of..
*****viva**********
Samaani wakuu kama mlisha wahi kuongelea kuhusu hili,ila linanisumbua sana, katika site nyingi ninazotaka kujoin au ku ship online huwa wana niambia niweke Adress yangu na hiki kitu kinaitwa Zip...
nina blog zangu tatu na zote zina matangazo ya adsense nimeamua kuuza moja ambayo ni mpya sijaitumia sana kwa bei chee kabixa mwenye kutaka kunza kufaidika anitafute.....bei ni 120,000 tu...
Kiukweli nimegundua udhaifu uliopo kwa tovuti za serikali kutotoa updates za maana, ni kama hawajui matumizi ya teknolojia ya kisasa.
Wazembe wasiojielewa, story ya 2013 front page? Weka...
Kuna website moja ya nchini US huwa napenda tembelea kwa kutumia simu Yangu.
Tatizo nikitumia PC wana niambia huduma haipatikani kwa watumiaji nje ya US.
Swali langu Je hyo website inawezaje...
Hbr wakuu naomba kuuliza kila siku naona humu watu wakiuliza namna ya ku root simu zao ila mm leo nauliza ku root simu ndo kufanya nn simu yangu ni tecno m3
Habari wakuu
Kwa wanaotumia mtandao wa voda Baada ya kupunguza vifurushi vyao Imekuwa ni ngumu kwa wenye simu za smart4n kuvinjari kwenye mtandao.
Fanya hivi uendelee ku-enjoy kwa 1000 tu.
1...
Salaam wakuu,
Nina android device yangu ( citycall mobile 930I) ambayo in a run kwenye SPD chip. tatizo nikwamba kuna some upgrades nilijaribu kufanya sasa kwa bahat process ikawa unsuccessful...
Wakuu,
Nililipia Dstv Premium miezi kadhaa iliyopita, baada ya hapo sikulipia maana channels ziliendelea kuonekana(hazikukata baada ya muda wa kifurushi kupita) ila jana zilikata, sasa...
Naomba kujua Cccam gani ipo hewani na ni steable ifungue sports zote na swahili magic. Na vipi kuhusu Tv1 na Aonestar zimesharudi hewani naomba nijuzwe na bei kuanzia miezi 3 hata ukini pm sawa
Naomba wataalamu mnisaidie maana napiga namba yao ya huduma kwa wateja eti haipatikani.
Tatizo;;;;
ninapoingiza vocha yangu na kumalizia na alama ya reli kama nilivozoea napata message isemayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.