Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wakuu, Mambo niaje ndugu zangu? Samahani nilikua naomba mwenye notsi au vitabu vya data structure and algorithm hata past papers zake au njia za kuelewa zaidi iyo topic. Ahsanteni.
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari ndugu wana JF, Nashukuru kwa msaada wenu nilifanikiwa kuroot simu yangu Samsung i8268 kwa kutumia flamaroot baada ya kuroot nikaenda playstore kudownload ROM manager app lakini kwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu msaada kwenye tuta kuupload picha au kuattach kwa kutumia windows phone, week sasa nimetoka kapa.
0 Reactions
1 Replies
893 Views
Naomba mnisaidie hichi kisimu nipate japo kusikilizia redio. Model:C1-01 Type:RM-607 CODE :059D9N8 IMEI: 358625043560632.
0 Reactions
0 Replies
556 Views
Ninatumia android kwenye smartphone double line ambapo natumia line namba 1( tigo) kuaccess internet plus downloading apps from playstore sasa nawezaje kuongeza line namba 2 ( voda) ili niweze...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wakuu kwa anayejua anisaidie maana nmehangaika mpaka nmechoka
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wtaalam kwema? Jamani nisaidieni nina simu ya samsung galaxy ina tatizo la kuvibrate na kuleta ujumbe unaosema "Kernel don't panic" hapo hadi nitoe betri ndo inaacha kuvibrate, nikiwasha tena...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba unisaidie ,ni program gan naweza ku install kwenye compyuta na kuchorea michoro kama; ~ electrical circuits ~elecric bell na michoro mingne kama 2D na 3D
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani mwenye xperienc na airtel home wifi naomba afunguke hapa na ningependa kujua kama unaweza tumia line tofauti ukiunlock
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nissan patrol Nissan Patrol ni series kubwa ya magari yatmiayo mifumo ua four-wheel drive .yanayo tengenezwa na campuni ya Nissan Japan toka 1951. The huwa yanajulikana kama magari magumu...
1 Reactions
20 Replies
11K Views
Nahitaji diplay touch ya techno f7 phantom
0 Reactions
0 Replies
711 Views
Naombeni mnisaidie waungwana katika kuchezea cm yangu nimejikuta imekuwa bricked... nkiwasha inaishia kwenye logo ya tecno tu... nimejarbu kusoma solutions from hovatek lakn kudownload stock rom...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Habarini wakuu! Nitaanza na mfano; upo ofisini unaandika taarifa fulani kwenye Microsoft word,muda umeisha na unatamani sana kumalizia taarifa hiyo kwenye tablet yako,au simu yako lakini huna USB...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Nina computer aina ya intel ni hii mitumnba ya computers 4 Africa, inafunguka ndani kwa ndani lakini monitor inakataa ku-display, yaani imepoteza stability kabisa. Naomba msaada namna ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Msaada jinsi ya kufuta maandishi kwenye tisheti iliyo pritiwa inafutwaje naomba msaada wenu
1 Reactions
0 Replies
6K Views
Wana JF sioni option ya kuweza ku-attach file kwenye email. Natumia simu ina browser Opera mini na pia baidu. Je nifanyeje? File liko kwenye Sd ni la Word
1 Reactions
4 Replies
962 Views
Natumia ya tecno p5 kuna wakat nikichaj inatumia muda mrf kujaa yaan kuanzia masaa 3+ ndio inajaa ila kuna wakat mwngne nikichaj inatumia muda wa kawaida kuwa full. Ninaomba msaada wenu tatzo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natafuta RAM ya desktop DDR 3
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Nina computer aina ya intel ni hii mitumnba ya computers 4 Africa, inafunguka ndani kwa ndani lakini monitor inakataa ku-display, yaani imepoteza stability kabisa. Naomba msaada namna ya...
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Back
Top Bottom