Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wanajamii Kichwa cha habari kinahusika. Natafuta karatasi za busines cards kwa ajili ya Epson P50 1. 350 milligrams au 2. 300 milligrams Nazihitaji Arusha, zikipatikana kwingibe pia...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Hii machine ya water filter nitapata wap au km bei pia km unajuaaa
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Natanguliza shukran wakuu, je kuna njia yeyote ambayo ntaeza kupata application itakayoeza kuonyesha video za youtube kupitia Blackberry za mwanzo kabisa blackberry curve?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wale wataalam zaid wenye ufahamu wa ICT Mim ni mtumiaji mahiri wa simu usb cable katika simu na laptop yangu, pia natumia modern sana. Tatizo napata message hii. "usb devise not recognised...
0 Reactions
5 Replies
801 Views
Wakuu naombeni msaada jinsi ya ku edit biss key za IRIB kwenye decorder ya best hd 4u, nimehangaika nimekwama kabisa
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Imekua kero kwa watumiaji wengi wa vodacom kupata mb 8 tu ambazo ni chache mno ukilinganisha na 50mb walizokuwa wakitoa zamani, hizi mb 8 inabidi utumie kwa matumizi ya kawaida sana, kama unataka...
3 Reactions
20 Replies
6K Views
Hodi hodi humu wana jamii, jamani Leo nnashida naulizia bei ya nokia lumia 730 au 735 ntapata wapi na sh. ngapi. Nisaidieni.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wakuu, Mixxx is an open source computer program for DJing music. The software is specifically suited to the style of mixing known as beatmatching. Mixxx is cross-platform, natively supports...
1 Reactions
1 Replies
578 Views
Nina toshiba satellite A200 series. Inazimika ghafla,hata ungeiwasha vipi itazimika ghafla. Inawakaka,,inatoa logo ya window,ikifika inaposema "starting windows" itazima ghafla. Wakati...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu niko Arusha nahitaji mzigo wangu nitakaoagiza from eBay ufike hapa nilipo kupitia DHL nafanyaje ili kufanikisha hilo?!?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu! Kwa anayehitaji kupimiwa kiwanja au shamba na kujua ukubwa wa kiwanja chake tutamsaidia kwa gharama nafuu kabisa!!! Hapa naambatanisha picha mbili za mashamba...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanajamii, tusaidieni watu tunaoishi huku mabonde kuinama. Ninategemea kuja Dar kikazi hivi karibuni. Nikiwa huko ninahitaji kununua TV flat screen ya inches 32. TV gani ni nzuri na inauzwaje...
1 Reactions
33 Replies
26K Views
hey nahitaji kununua rice-cooker lakin naomba kujua kama inaweza kutumika kukaangia chips na kukorogea uji
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Msaada tafadhari maana ni nzito na inaleta ujumbe storage space is going low.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Utafahamu namna ya kuifanya computer yako kushare internet yake katika devices nyingine mfano smartphone, tablet na hata computer nyingine bila kuunga waya wowote(wireless). Mkuu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau natumia laptop aina ya Asus core i5 tatizo lake kubwa ni speed ndogo kwan inazidiwa hata na pc zenye dual core, window ninayotumia ni window 8 na Linux, ram ina 4gb lakini inaonesha ram...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana JF wenzangu, Naombeni msaada kwenye king'amuzi cha star times most of channel are not available even TBC na channel ten nnatumia antenna yao ya kawaida (yagi ulda) na nimelipia...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Haya tena kwa wale tuliojaaliwa uvumilivu mzigo umetoka..fifa 15 na crack yake...mi sijaijaribu bado ndo naidownload saiz kwa torrent.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu, Kuna hii application cyti web application kwenye PC yangu kwanza inablock anti virus na inaruhusu spyware kwenye pc yangu. I can clearly see somebody somewhere accessing my Personal...
0 Reactions
0 Replies
766 Views
AdSense Your AdSense application status Thank you for your interest in Google AdSense. Unfortunately, after reviewing your application, we're unable to accept you into AdSense at this time.
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Back
Top Bottom