Apple announces biggest ever investment in Europe and claims in new research that it supports almost 700,000 jobs across the continent
Tim Cook unveils the Apple Watch, which is expected to...
Wakuu nimekutana na misamiati hii kitaalamu kwenye mambo ya ICT ningependa kuyajua kwa kiswahili ndo itakuwa poa zaidi. Misamiati hii ni TCP/ IP protocol, server, cybernet na internet browser...
Jamani wanajamvi kwema? kwa mara nyingine natokea hapa jamvini kuja kuomba msaada wa mawazo.
Nina simu yangu aina ya tecno p5 (android 4.2). sasa tatizo limeanza leo kuwa kila mara GPS inajiwasha...
Wakuu nina laptop ya dell Model LBL P/N DP429 A200.....Kila nkijararibu kuiwasha inaniandikia
TFGHT IS MISSING..........Suluhisho lake ni lipi?
What msaada wenu tafadhali.
Jaman nakuja humu nikijua kuna magreat thinkers watanisaidia.
Email zangu zote nikilogn in wananambia my account has been disabled..
Nifanyeje jaman afu nimetumiwa vitu vya mhimu sana.
THANKS...
Ni miezi miwili sasa tangia nimeanza kutumia hii simu(Samsung Galaxy Note 4) ila bado sijaona faida yeyote kwa kutumia hii simu...maana sioni tofauti yeyote ya kimatumizi. Kama kuna mtu yeyote...
Habari za wakati huu.
Tafadhali nisaidie kupata unlock code za Huawei y330-u11 ambayo IMEI yake ni 863963027237853.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
NB:
Uki'comment hapa au kuni'PM yote sawa.
Wakuu habari zenu. Nahitaji msaada katika javascript. Ndio kwanza beginner but nina idea kidogo. Najua css na html.
Nimetengeza page with fields.
Sasa kuna sehemu nimeweka ivi:
<select>...
Habari wanajukwaa? Natumia Solar power, converter yangu imezima ghafla ila inapokea moto wa betri kwa kushtua shtua, inshort haifanyi kazi, naomba wenye maujuzi na kifaa hiki wanipe ushauri juu ya...
Habari wakuu za majukumu?
Juzi katika pitapita zangu nikaona kuwa Vodacom wana promo nyingine ya Simu tajwa hapo. katika kutaka kujua simu hiyo INA specification IPI ndipo nikaingia katika page...
Msaada kwenye simu ya huawei ascend g510-0200 imekuwa inadisplay unfortunately, the process android. Process media has stopped.
Nimejaribu kuuninstall app zote lakini nikizima nikiwasha mambo ni...
Wanajamvi habari za saizi, kuna website mmoja nimetembea ambayo wanauza binocular bei rahisi sana, ni kampuni ya kichina, sasa wanahitaji malipo kutumia paypal.
Hivi naweza kuwaamini nikalipia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.