Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hii ni news from Reuters kwamba kuna firmware imekuwa planted na moja ya intelligence agencies katika kila hard disk zinazotoka nchini marekani. Hii firmware ina start pale unapo boot computer...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
kwa wale wataalamu wa magari. kuna tofauti gani kati ya noah new model na voxy?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naitaji kufahamu Website hosting inaweza ghalimu kiasi gani cha pesa kwa mwaka?! Na nisaidie server zipi zipo vizuri katika kuhost site zikiwemo za Tanzania na za nje ya Tanzania.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu nataka kuunganisha computer mbili zitumie printer moja. Sitaki kuset local network mpaka nipate Server.
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Weekend hii nlikua natafuta biblia ya kiswahili Android store nikakuta kama 5 hivi zote zinafanana Interface nikahisi wote watakua wamechukua code somewhere na kubadili kitu basi nimetengeneza...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama unahitaji ant virus mpya kabisa ya 2015 tafadhali nicheki kwenye hii namba 0788902931 au ni PM..asante.
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Habari za majukumu wakuu, nina Samsung Galaxy Note 10.1, 1. toka jana (16 febr 2015) imeleta mistari inayocheza cheza na kama mawingu vile kwenye screen. Nimejaribu kufuta application...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa anaye jua jinsi ya kudownload video iliyoko youtube kwa kutumia Huawei y 300 anijulishe.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar zenu wakuu .. Nina laptop dell latitude E5420 nilikua na badilisha hdd kwa bahat mbaya pin mbili zilichomoka kwenye hile hdd connector yake.. Naomba kama kuna mtu anayo connector ya haina...
0 Reactions
1 Replies
655 Views
Wadau naomba ushauri, toshiba yangu ilianza kwa kukoroma kwa spika na sasa haitoi sauti kabisa, sababu yaweza kua nin? maana uzoefu na haya mambo sina kupeleka kwa mafund wetu hawa naogopa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Katika simu yangu aina Tecno Phantom Z nime-download applications nyingi na sasa inaniambia hakuna nafasi ya kutosha (insufficient space) ninapotaka ku-update hizo applications. Kinachonisumbua...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mwaka jana nilisikia wanazitangaza sa sijui kama bado zipo? haijalishi ni dot matrix, lazer au bable jet, ila iwe nauwezo wa kutoa copy pia (photocopying). Naombeni msaada wenu, mimi sio...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Naombeni kujuzwa na yeyote mwenye ufahamu kuhusu gharama nnazoweza kukumbana nazo kuunlock blackberry passport ambayo ni factory unlocked
0 Reactions
1 Replies
872 Views
Hellow wanajamvi ?... Katika pita pita zangu madukani nimeziona hizi simu viwa x7 na max 5 nkavutiwa na specs zao especial ram ,storage,android version na size ya screen. Ila nina wasiwasi...
0 Reactions
22 Replies
12K Views
PC yangu haioneshi neno send ili nitume email, nifanyeje wadau niweze kutuma au hiyo option imejificha sehemu gani? Pia PC nyingine kwenye button iliyoandikwa ''scoll'' panawaka mwanga wa blue...
0 Reactions
0 Replies
890 Views
Ninaposema bei ndogo simaanishi bei ndogo kabisa ni around laki 4 japo inaweza kupungua kidogo, mara ya kwanza nilipoiona sikuamini vitu unavyopata na bei unayolipa. nafkiri simu hii sasa...
16 Reactions
207 Replies
50K Views
Samsung imewaonya wateja wake kuhusu kutojadili mambo yao ya kibinafsi mbele ya televisheni zao. Onyo hilo ni kwa wale watazamaji ambao hudhibiti televisheni zao kwa kutumia sauti. Baadhi ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani kila nikichomeka drive yoyote ile kwenye computer yangu iwe ni flash, memo. card, hdd na hata modem nakuta folders zote zilizo kwenye drive husika zimebadilika na kuwa shortcuts. Tatizo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna dogo alikuwa anatumia computer yangu,sasa katika utundu wake akawa ameweka password na kwa bahati mbaya haikumbuki hiyo password. Sasa naomba msaada wenu wa jinsi ya kutoa hiyo password maana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nataka kununua Samsung note 3 naombeni ushauri kwa mliowahi kuitumia.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom