Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Unakumbuka wakati ulikuwa unahitaji antivirus kwa ajili ya kutafuta virus ndani ya komputa ikishawapata itawaondoa kwa kuwafuta na pengine kufuta files ambazo zimeathirika na virus hao ? huo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi punde nilikuwa nawasha PC ila to my suprise PC ilikuwa kama vile inawaka ila haifiki mwisho na kuanza ku run OS, instead ilikuwa inatoa kama ka ALERT TONE fulani hivi Nilipo fatilia source...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa kweli mimi ni mtumiaji wa window 7 na pindi nitakapo kubadili kwenda kwenye ubuntu rafiki zangu hunambia kuwa ni ngumu kutumia na pia kila softwire lazima iwe ya ubuntu maana haingiliani na...
0 Reactions
78 Replies
9K Views
Habari wakuu, kwa wale wasioweza kuishi bila Kickass torrent site najua mna taarifa ya kuwa imefungwa. Hii ndio link ya kuipata kimya kimya: Download Torrents. Fast and Free Torrent Downloads -...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nimepita sehemu flani na kuona Trenet tv ipo online,ni chaneli ya dini ya kiswahili toka Tanzania,nimeshindwa kudadisi hata kuwauliza kwa mazingira niliyokuwa nayo.Naomba msaada je? Ipo angle...
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Since morning nashindwa kuipata kickass, nayo wamezima nini? Share your experience!!
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wakuu.. msaada Tafadhali, Nawezaje ku improve my server response time? ni njia gani nizifate ili blog server yangu iweze kurespond faster. Shukran.. Nawasilisha
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisaidie kugenerate unlocking codes 16 digits za hii modem ya ZTE. . Model: 190A IMEI: 862591014939198 EAN: 6934933041707 Nimetumia software nyingi lakini nimeshindwa sasa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta External Hard drive yenye uwezo wa 5 TB budget 400 000
0 Reactions
0 Replies
526 Views
Baada ya kukosa mechi za EPL kwa mfululizo wazo likanijia nitafute TV CARD niweze kuona TV channels kwenye TV. Sasa ipi ni nzuri na ambayo haina usumbufu kati ya TV CARD internal na external. kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za Hapa Wana Tech, Kuna kaProject kangu najaribu kukafanya, lakini nimefikia mahali nimekwama. Natengeneza webservice ambayo itakuwa ina-access na DataBase, sasa mwanzo nilizani mechanism...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Teknohama ni fani kama walivyo Madaktari, Wanasheria au Fani Nyingine. "Products & Services" za Teknohama ni kama Nyanya sokoni, au Kitenge kwa mangi au hata Maabara hospitali. Ila kuna kitu...
10 Reactions
69 Replies
7K Views
Nikifungua application ya Adobe illustrator kwenye pc yangu inanipa error ifuatayo kama inivyonyesha kwenye oicha hapo. Nimejaribu kuunstall na kuinstal upya lakini bado napata error hiyo. pia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu, habari zenu. Kuna simu ninataka kuinunua, nimeiona ktk gulio la www.amazon.com.. Swali langu ni hili, itanigharimu bei gani kwa fedha zetu za madafu kuiagiza hadi kunifikia hapa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu kuna yeyote aliyefanikiwa kupata huduma ya internet kwa simu za blackberry za verizon,kama yupo tafadhali naomba ushuhuda alifanikiwa vipi? Msaada tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Kuna some Documents nimeweka kwenye "external disk" kutoka kwa Windows user,ila baadaye nilipo taka kuzi delete zina kataa na hiyo nime jaribu kwenye windows 8 na Ubuntu 14.04... Shida hapo...
0 Reactions
4 Replies
989 Views
Nahitaji data recovery software (full version). Mwenye nayo tafadhali...
0 Reactions
2 Replies
767 Views
Waheshimiwa humu ndani naomba Kuuliza kea, Wataalamu wa magari hivi unaposikia Kuwa gari engine yake Ina VVTI maana yake ni nini? na pia faida na hasara za gari yenye engine yenye VVTI...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu Habari zenu! Naomba msaada simu yangu samsung 7580 kila nikiweka data connection ON inajizima hii ni baada yq kuiflash kwani iliingia virus. Naomba msaada kwa anaye au mwenye namna ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi wanaJF, Nimedesign wordpress cms in my local server(xamp) but nimekwama mazima kuupload kwenye godaddy server nkitumia ftp sipati server conection. Nkitumia plesk window naambiwa unsurpported...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom