Hii simu siku hz nikitaka download program play store inaandika insufficient space on device wakati nafasi ni kubwa..
sijajua tatizo nini hapa
msaada tafadhali
Habari zenu waungwana ninatatizo na simu yangu aina ya galaxy s3. Tatizo lipo katika maswala ya intanet enabling kuna kipindi simu inagoma kujiunga na intaneti na hata kitufe cha mobile data...
Tafadhali mwenye prog ya kugawa hard disc anisaidie nina laptop yangu imekuja na window 8.1 na ina ant virus ila hhd ni 1tb bt haijafanyiwa partition sitaki kugonga copy ya window coz yakujia ni...
Wadau, Zipo bunduki nyepesi za askari wa miguu lukuki katika soko la silaha ulimwenguni.. Hata hivyo kuna bunduki moja (rifle), aina ya Automatic Kalashnikov (AK) ambayo imedumu kwa mauzo na sifa...
Computer yangu ilipoteza desktop icon nikatumia app moja inaitwa recover my files baadhi ya program zimerudi lakini si zote na zilizorudi hazi function kabsa labda nyimbo angalau msaada tafadhal...
Wakuu salaam!
Ninashida ya kushindwa kupiga simu kwenye iphone 4s! Nimejaribu ku upgrade imegoma! Nimeweka version hii ya 8.1.3 ambayo ni latest!
Naweza kupokea, kutuma msg, internet n.k ila...
Habari,simu yangu tangu asubuhi inazima na kuwaka kila wakati. Ikiwaka inakaa tu kama sekunde 5 inaji Restart tena. Niliifanyia Data Wiping/Factory Reset ikakataa kufuta ma file.
Naomba msaada...
Nowadays hii teknolohia imeingia ila haijaenea sana. kwa wale wadau wa video shooting hasa sherehe za mahatusi n.k wanajua zaidi.
Kupitia uzi huu naomba tupeane hayo maarifa pamoja na kujua...
Wadau nahitaji kunua battery ya laptop kubwa zaidi ya niliyo nayo sasa ambayo ni 6 cells 44000 mAh sasa nimekutana na specification za battery kama nilivyo eleza hapo juu, je kati ya hizo ipi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.