Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari, Nimetengeneza Website hii kwa ajili ya matumizi ya IT Company. Nahitaji msaada wenu kuireview kwa sababu ipo kwenye final stages za development kabla haijaanza kutumika rasmi. I tried to...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wanajamvi la tech na wengine wenye ufahamu wa hili jambo. Niko kwenye mchakato kwa kuwa na supply Microsoft office packages (Ms2007,Ms2010,Ms2013) ,windows OS kwa makapuni au institutions...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari, Ninaomba kuuliza kama inawezekana kuirepair simu aina ya iphone 4 ambayo ilikuwa haiwezi kutumia mitandao ya hapa tanzania.ila ilikuwa ukiconnect through wi-fi unaitumia kama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wenye ufahamu wa DC++/PtokaX Hub nadhani hili suala halitakuwa geni kwao. Ningefurahi kama ningeweza ku implement hii sharing portal ili tusiwe tuna download from scratch vitu ambavyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natumai mu wazima kabisa na pole na matatizo kwa walo wote walofikwa na maswaibu mbalimbali. Lengu langu ni kuelimishwa na kujua juu ya bei (Dish, LNB, KU, Receiver) kwa pamoja na namna ya kufanya...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wadau naomba kujuzwa wapi hapa TZ naweza pata LCD screen ya Lenevo S860 na remote control ya Samsung series 4.
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Msaada jaman maana niliwasiliana na midcom wakasema hawana. Nkaenda sapna wakasema hawana sasa sijui tena nifanyaje
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba msaada wa ku uninstall apps kwenye nokia asha
0 Reactions
0 Replies
913 Views
Poleni na majukumu. Simu ya galaxy 4G LTE inanishinda kuunganisha internet, nimeingia ktk setting/mobile network, nimefanya configuration ya vodacom, pia mobile data ipo ON na neno 3G pamoja na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naombeni frequency za Emanuel TV kwenye azam..nimeangaika sana kuzitafuta naombeni mnisaidie. mods msiunganishe huu Uzi na mwingine ule, nimekua specific
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nataka kusoma vitabu kwenye cm yangu ya android, applications gani zinaweza nisaidia ambazo ni free.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Nani anayejua zinapopatikana catrridge za pixma ip3500. Pia mwenye uwezo wa kufunga ciss. Nipo Arusha.
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Habari zenu wakuu. Naombeni msaada wenu jinsi ya kupata Alfa-Network USB Adapterna ni wap na ni kwa bei gani. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Hi All, Wondering if i could get some advice/help I have a Toyota IST 2003 and it has no power socket/cigarette lighter socket. Is it possible to have one installed? (dont smoke, but handy for...
1 Reactions
2 Replies
8K Views
This is toomuch yaani karibu kila computer ninayoiona hapa bongo windows yake ipo pirated yaani imechakachuliwa itumiwe bure bado haitoshi karibu kila software kuanzia IDM, Photoshop...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaad jinsi gani nitaweza ku copy crack folder into directory.. Hii ni baada ya kujarbu ku crack idm naambiwa ni copy clack folder to directory.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nina tv ya kichina kioo chake kinaonesha picha za kupauka, ukiwasha ina rangi ya blue iliyopauka halafu maandishi yana kivuli hayasomeki vizuri. nimejaribu kufunga saketi mpya lakn bado tatizo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ndugu zangu watanzania, Leo nimejaribu kwenda kwenye Website ya PROIN nikiwa na dhamira ya kununua one movie ili ku-support watanzania wenzetu walioko kwenye hiyo tasnia. Website inadai kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nataka kujua kwanini huawei y530-U00 haina power saving mode na haina uwezo wa ku install some launchers mfano Go launcher na apps kama PicArts
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanza kabla ya kuanza nashauri ununue iPhone badala ya ku install hizi Apps, ila kama unataka kufanya experiment, show off au for fun. Hizi ndio apps zinazokuhusu iOS 7 Lockscreen Parallax HD...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom