Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani natumia Tecno h6, android 4.4.2 (kitkat), nitawezaje ku- update ili nipate android 5.0 (Lollipop)? Msaada wenu please.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii PC ni desktop,kila nikifanya windows installation inaniletea msg hii.No device drivers were found.make sure tha the installation media contains the correct drivers and then click ok. Lakini...
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Habari zenu wakuu nilikua naomba mnijulishe kama kuna uwezekano wa kuunganisha mafile ya pdf kuwa file moja. Kuna kitabu nimedownload ila kila topic na file lake. Sasa nilikua naulizia kama kuna...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Wakuu, nina shida katika Computer yangu kunakuwa na shida tajwa hapo juu kama kunakuwa kunatokea screen ya blue na computer inakuwa inajizima, mara ya kwanza ilikuwa inaingia hadi mwisho. Ukiwa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Nahitaji softwares zifuatazo na keys zake 1.UFS Micro Box 2.JAF Box 3.ATF Box 4.Z3X Box 5.NS PRO Box 6.Odin Software(for android) 7.Itune Software 8.Blackberry Desktop Software 8.Z3X Box...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa wadau wanao penda kuwa wabunifu na waundaji wa vifaaa vya kielectronics UKWELI KUHUSU UBUNIFU NA UUNDAJI WA VIFAA VYA KIELECTRONICS. Itambulike kuwa saketi za vifaa vya electronics ni...
3 Reactions
3 Replies
5K Views
Tafadhali naomba mwenye settings za Airtel internet kwenye simu anipatie. Shukran.
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Nilikuwa natumia application inayoitwa ' lock box' kuweka taarifa za muhimu ambazo sikutaka kula MTU anaetumia computer yangu asiweze ku access taarifa na documents zangu za muhimu. Jana nilikuwa...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Wanajamvi sijui kama tatizo hili lipo kwangu tu au na nyie limewakuta. Kila nikijaribu ku-log in inaonekana kukubali na inafikia hadi pale napoambiwa welcome Willy Gamba 1 then inaendelea ku-load...
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Habari wana jamvi, nina simu aina ya samsung galaxy s3 , nilijaribu kuiroot ili iwe "mpya" kwani kuna baadhi ya vitu sikuweza kuvifanya kama screen shot...baada ya kusoma baadhi ya thread kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Heshima kwa wakubwa wote wa tech! Mimi nina taaluma yangu tofauti kabisa na utaalam wa masuala ya computer!, lakini kuna jambo moja ambalo kila siku linaendelea kunivutia siku hadi siku. Nayo ni...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Kwa mwenye kufahaham tofauti ya MP3, MP4, NA MP 5 atoe darasa hapa
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Husika na kichwa cha habari, Hapo nimetengeneza programu ya mtu anaingiza muda amabao anafanya kazi na kima kwa kutumia python lengo ni kupata gross salary, niki run programu haina error haitoi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman wale wataalam wote wenye uwezo wa kufanyia simu yangu whatsapp sms recovery inbox namba yako nikupigie natoa 700000/=. za muhimu mno.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Is there any possibility to Run OnePlusOne Rom in Samsung Galaxy S3 mini.........?
0 Reactions
1 Replies
573 Views
Habari, Kwenye TV yangu , nina shida... TBC1 haitoi sauti lakini channel nyingine zote zilizobakia zinatoa sauti vizuri tu, kwa yoyote wa kuweza kunisaidia tafadhari... kisimbusi ninachotumia ni...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Jamani nina king'amuz cha Azama ila nashangaa kuna chanel kwenye chanel list hazifunguki... Nilipo nunua nilikuta NTV kenya and NTV uganda zilikua "access denied, ikaja pia pia chanel nyingine...
0 Reactions
5 Replies
10K Views
Wakuu naombeni kujua maana hasa ya International Roaming katika simu hasa kwenye upande wa Internet:what:
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Naomba kujulishwa mwenye kufahamu namna ya kutuma SMS Kutoka kwenye Computer kwenda kwenye Mobile anijulishe au ni application/software gani ninanyotakiwa niwe nayo kwenye PC yangu ili niweze kuwa...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Natumia TECNO 635 Iatumia 3G internet . Sasa nkitaka kuunganisha namba angu katka whatsApp wananiletea haya maandishi. (sms verification failed. WhasApp can also call you at 076236___ Tap "call...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Back
Top Bottom